Kwa kikotoo kile hakuna siku utalipwa mafao yote

Kwa kikotoo kile hakuna siku utalipwa mafao yote

Nisaidie kupiga napata ngapi Mimi Nina mshahara milioni 5, muda miaka 34
 
Ngoja nkapitie makabrasha yangu ntawaletea nondo za uhakika kutoka psssf doc
 
Serikali Inapopigana Vita Vya Uchumi Na Waajiriwa Wake Imekusudia Kuwauwa
 
Nisaidie kupiga napata ngapi Mimi Nina mshahara milioni 5, muda miaka 34
Mleta mada ameweka formuła ni kitu kiłę kiłę

Lump sum = 1/580 x (34 x 60,000,000)x 12.5 x 33% = 14,508,621

Remaining pension = 1/580 x (34 x 60,000,000 x 12.5) x 0.67 = 29,456,897

Monthly = (29,456,897/12.5)*1/12 = 196,379
 
Hesabu ndefu

Mshahara wa mwaka = (2800000x12)
Time benefit = 12.5 years
Years of contribution = 31
Commuted (paid lump sum) = 33%

Annual Entitlement = (2800000x12)x 31 x 1/580= 1,795,862

Total entitlement = 1795862 x 12.5 = 22,448,276

Payable lump sum = 22448276 x 0.33 = 7,407,931

Remaining pension for 12.5 years = 22448276 - 7407931 = 15,040,345

Kwa mwaka = 15040345/12.5 = 1,203,228

Pension kwa mwezi = 1203228/12 = 100,268

Shida kubwa ni hayo malipo 1/580 on career average revalued earnings (CARE) ni ndogo sana.
Lazima hujazidisha Kwa 10, kwenye figure
 
Acheni swaga basi,labda ujinga wangu kwani hicho KIKOKOTOO walimu wamo kweli🤔.
Mnatuzuga tu,by the way kama ulishindwa kufanya vya maana Kwa take home basi hataweza chochote kile.

Serikali imegundua wastaafu wanakufaga mapema Kwa presha ya mzigo au kijicho Cha waliomzunguka Kwa kuona ana mpunga wa uzeeni.

Siku akifa,hela itatoka yote kwenye mirathi.

So,naona kama wameamua kunyoosha pande zote mbili.
Acheni mstaafu aendelee kulipwa akiwa home,sio apewe zote matokeo yake anaanza kuhaha afanye Nini.
Ndo unakuta anakimbilia kujenga majengo,biashara,kilimo,wakati hivyo vituo hana uzoefu navyo.
Kufumbua macho zimeisha,anakufa Kwa presha maana hana pakushika.

Ukishindwa kumeneji takehome basi wewe ni hakuna kitu.

Serikali Iko sahihi kabisa,maana mnastafu mkiwa vilema wa fikra mnaanza kutia huluma mitaani.

OVER.
Mbona wastaafu wa zaman wanalipwa kila mwezi ila ujinga ndo unaokusumbua
 
Mbona wastaafu wa zaman wanalipwa kila mwezi ila ujinga ndo unaokusumbua
Ujinga wangu uko wapi labda mkuu🤔.Nada inasemaje kwani.

Au hujasoma maudhui ya mleta mads
Mbona wastaafu wa zaman wanalipwa kila mwezi ila ujinga ndo unaokusumbua
Ujinga wangu uko wapi mkuu,au umeelewa Uzi inasemaje na Mimi nimekoment nn labda.

Soma Kwanza Uzi.Afu ndo uweze kuniambia kama Nina ujinga ama wewe ndo mjinga ambaye hajaelewa Uzi unazungumzia nn
 
Ndio maana kuna Mwl mmoja ni Mkuu wa Shule yupo Mkoa fulani Kaskazini siku hizi kapoa kawa na heshima sana sababu target yake kubwa ilikuwa kwenye hayo mafao ya kustaafu ili awatambie majirani zake sasa tangu story na uhalisia wa hiki kikokotoe kitoke naona kawa baridi sana.
Personal attack inakusaidia nn? Kwani kikokotoo ni cha walimu tu?
 
Tatizo ni kuwa,
Wanaofanya maamuzi ya kikokotoo wenyewe hawakitumii (hakiwahusu)
 
Back
Top Bottom