Kumbe wafanyakazi WA nchi hii ni hamnazo!!!Wanapangiwa jinsi ya kuendesha MAISHÀ.Ndo maana hatuna maendeleo makubwa.Acheni swaga basi,labda ujinga wangu kwani hicho KIKOKOTOO walimu wamo kweli[emoji848].
Mnatuzuga tu,by the way kama ulishindwa kufanya vya maana Kwa take home basi hataweza chochote kile.
Serikali imegundua wastaafu wanakufaga mapema Kwa presha ya mzigo au kijicho Cha waliomzunguka Kwa kuona ana mpunga wa uzeeni.
Siku akifa,hela itatoka yote kwenye mirathi.
So,naona kama wameamua kunyoosha pande zote mbili.
Acheni mstaafu aendelee kulipwa akiwa home,sio apewe zote matokeo yake anaanza kuhaha afanye Nini.
Ndo unakuta anakimbilia kujenga majengo,biashara,kilimo,wakati hivyo vituo hana uzoefu navyo.
Kufumbua macho zimeisha,anakufa Kwa presha maana hana pakushika.
Ukishindwa kumeneji takehome basi wewe ni hakuna kitu.
Serikali Iko sahihi kabisa,maana mnastafu mkiwa vilema wa fikra mnaanza kutia huluma mitaani.
OVER.
Msuguri ana miaka 100. Anakula penshen tu.Je kama mstaafu ameendelea kuishi hata baada ya hiyo miaka 12.5 iliyokadiriwa nini kinatokea kuhusu mafao yake?
Khahahahahahaha we ulidhani Kuna watu au.Kumbe wafanyakazi WA nchi hii ni hamnazo!!!Wanapangiwa jinsi ya kuendesha MAISHÀ.Ndo maana hatuna maendeleo makubwa.
Ndio mjinga Mimi.Mjinga wewe,Sasa mstaafu akifa yanakuhusu Nini??
😂😂😂😂😂Mchango wa hovyo sana huu, mstaafu akipewa pesa yake ikaila imaisha inakuhusu nini,? Leo ccm wanajifanya wanapenda wastaafu , ujinga mtupu wapeni pesa zao acheni wizi
Nimekuelewa mkuu ,hacha wakome😂😂😂😂😂
Mkuu hao hao ndo wanaoiwezesha Ccm kuendelea kutawala.Wao na ccm ni damu damu.
Ukinikandia mm unanionea tu mkuu.
Acha wakomae tu,maana hawasemi bali wanapiga vifijo na ndelemo.
Ila wanalalamika gizani tu.
🙏🙏🙏🙏Nimekuelewa mkuu ,hacha wakome
Umeandika mengi, ila ni upupu mtupu usio na muelekeo wowote. Mfumo wenyewe wa pension tumekopi huko Magharibi unapofikiria hawajui vizuri.Kwa maelezo hayo mfumo wa pension ni ‘defined benefit’ scheme, with 33% ‘commuted option’. Wewe unachangia asimilia gani ya mshahara wako kila mwaka na mwajiri asilimia ngapi? Ujaelezea hayo.
Hata hivyo hizo ndio hesabu za ‘defined benefit’ pension kote duniani sio Tanzania tu, well almost (tofauti, labda kwengine pension is for life).
Serikali labda iruhusu mashirika yatakayowapa ‘defined contribution schemes’ watu wapate hizo option wanazotaka za ‘drawdowns ya hela zote au kupata annuity’ muone madhara ya pension funds za hovyo kama Enron. Vinginevyo utaratibu huo aupo kwenye ‘defined benefit schemes’.
Sasa mkilitewa hizo pension mnazotaka watu wakienda kuwekeza hela zenu kwenye investment za hovyo zikapotea hakuna wakumlaumu pia.
Shida ya watanzania ni kupenda kujazana upepo kama kwenye zile mada za UTT Amis ukisoma mule watu wanavyopiga hesabu zao za marejesho na maelezo yao ya risk appetite unajiuliza hiyo mutual fund ina operate kama zingine duniani au hii ni special na ya kipekee duniani.
Hivi hesabu hizi zinawagusa Wanajeshi na polisi?
Wapi nimesema huko magharibi hawajui vizuri? Zaidi ya kuelezea approach mbili tu pensions schemes.Umeandika mengi, ila ni upupu mtupu usio na muelekeo wowote. Mfumo wenyewe wa pension tumekopi huko Magharibi unapofikiria hawajui vizuri.
Si maumivu kidogo, bali maumivu makali sana!Kuwa mtumishi wa Serikali ni maumivu kidogo☹️
Sure..it’s very painfulSi maumivu kidogo, bali maumivu makali sana!
Hesabu ndefuNifanyie hesabu:
Mshahara 2,800,000 kukaa nao miaka mitano
Miaka 31