Kwa kila unachomfanyia mtu ujue Mungu yupo

Kwa kila unachomfanyia mtu ujue Mungu yupo

Maana ya garasa ni kitu chochote ambacho hakina utamu ...........au hakina hadhi machoni pako tu..........maana mbovu kwako kwa mwingine mpya.........mreta bandiko kama unachura hudhulia pm ........kuna maneno ya kutia moyo
😆🤣🤣🤣
 
Mpaji Mungu aliniiita geresa ambaye hafai kutambulishwa nyumbani kwa wakwe.
Hii iliniuma sana why ni madharau na ukiangalia sijawahi mlazimisha mtu aje kwangu kwa lazima.

Kilichoniuma zaidi ni mtu wangu wa karibu sana akalike hiyo comment kama kweli alikuwa ananiona mie kitu cha ajabu kwake si angesema . Mie anamakasoro kibao ila sijawahi hata kumwambia. Wala kumsema kwa mtu yeyote ila nilimchukulia kama rafiki, sio mpenzi maana si kumwona kama ni type ile nataka anamengi ambayo ., alinionyesha kuwa mie sio best yake ni ligeresa fulani ila anajiona sana . Ila kiukweli anamadhaifu kiukweli.

Ila mie nimewafichia siri mtu unachart mahali anatisha sana ila husemi , amepauka hana afya upo kimya ila wao wakirudi humu wananisema kama nimelala nao nanichartings.

Humu sijawahi kupenda sana ila matarajio yalikuwepo .
Yakuwa na mtu ila bado sijawahi kumpenda mtu kwa moyo.
Mpaji Mungu huyuhuyu mstaarabu anaeuza kitimoto choma pale kimara?
 
Back
Top Bottom