ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Sijakuelewa!Unazuga kama hujaona hv
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakuelewa!Unazuga kama hujaona hv
Kwa mujibu wa mlalamikaji baada ya mm kumtolea chafu mtu wake wa karibu ali-like hicho kitu kilimuuma sana, ndo maana mi nlibold kwenye comment yakoSijakuelewa!
😆🤣🤣🤣Maana ya garasa ni kitu chochote ambacho hakina utamu ...........au hakina hadhi machoni pako tu..........maana mbovu kwako kwa mwingine mpya.........mreta bandiko kama unachura hudhulia pm ........kuna maneno ya kutia moyo
Unafungamana na upande wowote, wemye sababu zozote, unaompiga matukio Bi dada sio?Sijasoma mada ila kama umepigwa tukio bc namuunga mkono jamaa 😎
Mpaji Mungu huyuhuyu mstaarabu anaeuza kitimoto choma pale kimara?Mpaji Mungu aliniiita geresa ambaye hafai kutambulishwa nyumbani kwa wakwe.
Hii iliniuma sana why ni madharau na ukiangalia sijawahi mlazimisha mtu aje kwangu kwa lazima.
Kilichoniuma zaidi ni mtu wangu wa karibu sana akalike hiyo comment kama kweli alikuwa ananiona mie kitu cha ajabu kwake si angesema . Mie anamakasoro kibao ila sijawahi hata kumwambia. Wala kumsema kwa mtu yeyote ila nilimchukulia kama rafiki, sio mpenzi maana si kumwona kama ni type ile nataka anamengi ambayo ., alinionyesha kuwa mie sio best yake ni ligeresa fulani ila anajiona sana . Ila kiukweli anamadhaifu kiukweli.
Ila mie nimewafichia siri mtu unachart mahali anatisha sana ila husemi , amepauka hana afya upo kimya ila wao wakirudi humu wananisema kama nimelala nao nanichartings.
Humu sijawahi kupenda sana ila matarajio yalikuwepo .
Yakuwa na mtu ila bado sijawahi kumpenda mtu kwa moyo.
😁😁😁Mi tupo wote kariakoo, kimara wapo Babu na bibiMpaji Mungu huyuhuyu mstaarabu anaeuza kitimoto choma pale kimara?
😳Sijasoma mada ila kama umepigwa tukio bc namuunga mkono jamaa 😎
Sitak kujua sababu, kama amepigwa tukio kwa namna yoyote ile bc naunga mkono 😂Unafungamana na upande wowote, wemye sababu zozote, unaompiga matukio Bi dada sio?
Lakin na huyu dada mnafahamiana? Mbona umesambaratisha moyo wake laivu?😁😁😁Mi tupo wote kariakoo, kimara wapo Babu na bibi
Sifahamiani naeLakin na huyu dada mnafahamiana? Mbona umesambaratisha moyo wake laivu?
Hayuko sawa kisaikolojia huyouna mfululizo wa nyuzi zilizojaa malalamiko na maumivu ndani yake, hebu funguka nini tatizo hasa?
You are the friend of her who, always against her ambitions at all.Sitak kujua sababu, kama amepigwa tukio kwa namna yoyote ile bc naunga mkono 😂
Uongo sinasikia ni ana maduka 10 kariakooMpaji Mungu huyuhuyu mstaarabu anaeuza kitimoto choma pale kimara?
Ayatoe wapi? Huyu ni kukileUongo sinasikia ni ana maduka 10 kariakoo