Kwa kila unachomfanyia mtu ujue Mungu yupo

Kwa kila unachomfanyia mtu ujue Mungu yupo

SweetyCandy kipenz,,,dont take things personal,,jifunze kudharau mambo,,kama kuna mtu anakuchukulia poa,,atatokea mwengine atakufanya kipaumbele chake

Kuna sweet guys around here labda bado tu huja wajua,,so usipoteze mda wako na nguvu yako kwa mtu ambaye hana mda na wewe,,wekeza hisia zako kwa mtu anayestahili upendo wako

Be patient mda wako utakuja
Ni meshahama humu kitamboo
 
Basi limpaji mungu limefunguliwa uzi, limefuraaaaahi... Bichwa kubwa kama nyumba hapo, leo Ataenda kuandika kwenye diary huyu mtambo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Cc Mpaji Mungu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Oi Mzee mwenzangu nipo hapa around Ilala mtaa wa Arusha, nakunywa Alkasusu. Vipi gari la mshahara leo unalipitia???

20240724_180937.jpg
 
😂 😂 😂
Muslimah naomba hata kazi ya Ukondakta basi
 
Back
Top Bottom