Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
sidanganyiki ng'ooo 😂Huo mtego kama hujui🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sidanganyiki ng'ooo 😂Huo mtego kama hujui🤣🤣
Nimeipenda hiiSweetyCandy mamii pole sana but huyo anakuonea wivu ndio maana anakuita majina ya ovyo but mpotezee hakuongezei chochote kwenye maisha yako fanya unachoona kinakupa amani ya moyo wanadamu wasikurudishe nyuma, jipende kwanza wewe, jipe thamani wewe automatically nao watakuja kuheshimu.
Acha uchonganishi na wewe! Dunia hii ya leo bado upo kizamani namna hiyo?!Hii nmetag ili aone usije ukafuta😂😂😂 ugomvi umenunuliwa huku si mnaona Manyanza na Mpaji Mungu
Ni story ndefu jana kaambiwa anapishana na gari la mshahara 😂😂😂ishu ile ile ya mguu alotuma jamvini au kuna kingine au umewaza mguu gani🙄🤣🤣😂
😂😂😂😂😂😂M bado npo BCAcha uchonganishi na wewe! Dunia hii ya leo bado upo kizamani namna hiyo?!
Mi bado msinisahau vijana🤣 🤣 🤣
Mpaji Mungu tayari kashatunukiwa bado Mimi nitunuku tu 🤗🤗🤗
🤣🤣😂😂 WoooiiiNi story ndefu jana kaambiwa anapishana na gari la mshahara 😂😂😂
Ila mshenga wangu,,jana ulinisuta ile mbaya aisee,,daah sio poa,,au ndo ulikuwq unamfurahisha ephen_Ndugu yangu nakupenda kinoooma, kwenye nafasi ya udugu pale kwenye ventriko ya juu wewe ni nambari 1.
Nakupenda sana! Sasa Etugrul Bey anaona wivu kila muda ananifata na mimi nishamwambia wewe kwangu ni namba 1☺️Ndugu yangu nakupenda kinoooma, kwenye nafasi ya udugu pale kwenye ventriko ya juu wewe ni nambari 1.
Umetisha 😂😂😂😂😂😂😂M bado npo BC
Umeitiwa gari la mishahara ukakimbia 🤣🤣🤣Mi bado msinisahau vijana
ila sijamaanisha uchonganishi ndugu angu ni katika moja na mbili tu😂😂Umetisha 😂
Sina shida na hilo mumy kabisa yan,,,tatizo sikujua kama mshenga wangu anajua kusuta namna ile,,,Nakupenda sana! Sasa Etugrul Bey anaona wivu kila muda ananifata na mimi nishamwambia wewe kwangu ni namba 1☺️
Mkuu nlikuwa nakimbia foleni ya karume 😁Umeitiwa gari la mishahara ukakimbia 🤣🤣🤣
Unataka nini gari la takataka???
Humu mbona sielewi mkuu maana mlengwa ni wewe.Hebu nipe a b c jamaanguMtambo gn sheikh?
🤣🤣Akifungua BoT naverify accountBasi limpaji mungu limefunguliwa uzi, limefuraaaaahi... Bichwa kubwa kama nyumba hapo, leo Ataenda kuandika kwenye diary huyu mtambo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Cc Mpaji Mungu