Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mm ni kama ww tu nimefika eneo la tukio naskia tu jina linatajwa ila sielewiHumu mbona sielewi mkuu maana mlengwa ni wewe.Hebu nipe a b c jamaangu
Jana alifanya kukufurahisha,namuheshimu sana kama mshenga wangu,,lkn sikutegemea kama gentleman aseme maneno yaleSio kwamba alikua anataka kunifurahisha ila yeye hunifurahisha kila siku
Mwambie nafasi imejaa, hivyo awe mpole. 1 ni 1 tu, ukiiSQUARE bado ni moja tu, mwambie ze chance yu a lukin for iz okopaid bai makaveli, plizi try anadha plesi. 😄 🤣Nakupenda sana! Sasa Etugrul Bey anaona wivu kila muda ananifata na mimi nishamwambia wewe kwangu ni namba 1☺️
Kuwa mpole kuwa mpole mufti. 😄 🤣Ila mshenga wangu,,jana ulinisuta ile mbaya aisee,,daah sio poa,,au ndo ulikuwq unamfurahisha ephen_
Anaumia, muoneshe shimo la choo apige mchomo humo, au tumpe pupa la tindikali ajichovye 😄 🤣Sio kwamba alikua anataka kunifurahisha ila yeye hunifurahisha kila siku
Ulipewa self golden chance lakini 🤣🤣🤣Mkuu nlikuwa nakimbia foleni ya karume 😁
Jiongeze punguza wenge. Ukipendwa indirect nenda direct. A Man acts 💪Mkuu mm ni kama ww tu nimefika eneo la tukio naskia tu jina linatajwa ila sielewi
Mwambie nafasi imejaa, hivyo awe mpole. 1 ni 1 tu, ukiiSQUARE bado ni moja tu, mwambie ze chance yu a lukin for iz okopaid bai makaveli, plizi try anadha plesi. 😄 🤣
Ndugu yangu! Mtu akinichokoza lazima nikuite uje kumpa vipande vyake😂Anaumia, muoneshe shimo la choo apige mchomo humo, au tumpe pupa la tindikali ajichovye 😄 🤣
Naitwa marwa, kutoka tarime.Ndugu yangu! Mtu akinichokoza lazima nikuite uje kumpa vipande vyake😂
Mzaramo si mzaramo mpemba si mpemba
☺️Nikiwaambia mimi ni mkurya wanabishaNaitwa marwa, kutoka tarime.
Wacha wabishe.☺️Nikiwaambia mimi ni mkurya wanabisha
Siku hz chance zipo kibaoUlipewa self golden chance lakini 🤣🤣🤣
☺️Wacha wabishe.
Sio kwa Muslimah lakini 😅😅😅Siku hz chance zipo kibao
Mshenga sasaJiongeze punguza wenge. Ukipendwa indirect nenda direct. A Man acts 💪
Ndo umtag gari la mshahara sheikhSio kwa Muslimah Aaliyyah lakini 😅😅😅
Nipo hapaMshenga sasa
Namimi kuna mtu namtaka unaeza niunganisha?Nipo hapa