Kwa kilichomtokea Niffer, naanza kupata mashaka kuhusu mafanikio ya kipesa ya hawa celebrity entrepreneurs wetu wa kibongo

Kwa kilichomtokea Niffer, naanza kupata mashaka kuhusu mafanikio ya kipesa ya hawa celebrity entrepreneurs wetu wa kibongo

Nimemjua kupitia hii ishu,nimeulizia habari zake inshort ni mpambanaji sana haya makosa madogo madogo anayofanya nadhani ni utoto bado na exposure ya kutosha hana (elimu).kama kaamua kuwa mtu maarufu na ana wafuasi achunge sana,awe na mwanasheria,msemaji,muendesha accounts zake za social media.Anatakiwa kujua ukishakuwa na pesa usiruhusu kuwa vulnerable sababu utarushiwa mishale toka kila kona ,watu wanazitaka hzo pesa.
Unakumbuka yule Demu aliyechomwa kisu Mwaka huu Kule Goba?

Walisemw hivyo hivyo....ni Mpambanaji.

Kwa mimi ambaye nawajua wanawake vizuri naelewa sana

Cerebrities ndio kazi zao. Show off pia ni kazi.

Wema alikuwa akizawadiwa Ma range na maprado siku za Biryhday.....Uwo ndio alikuwa hatari.

Tuendelee kupambana na maisha tupate ugali wetu.
 
Hao masupastaa wenu niliacha kuwaamini siku nawakuta wananunua chips vumbi usiku mchana wanatamba kwenye TV zetu.
Juzi kati nimepita makongo nimekutana na ugomvi kati ya dereva bajaji na Hemed PHD wanazozana kisa Hemed kashindwa kulipa nauli ya bajaji ambayo ni shilingi elfu 7,yeye alikua anaforce kulipa elfu 3.nikajisemea huyu jamaa si huwa anajimwambafai kuwa yuko vizuri kiuchumi iweje ashindwe kulipa elfu 7!
 
Habarini,

Ninaposema celebrity entrepreneurs, namaanisha vijana maarufu wanaotrend mitandaoni kwa kuwa na hela nyingi kama kina chief godlove, Ontario/ sirjeff Dennis wa forex, Niffer, na wanaofanana na hao.

Huenda alichofanya Niffer kukusanya michango ya maafa kariakoo kina nia njema 100%, au pia kina lengo la upigaji, kwa hapa nipo 50/50 maana sina ushahidi usio na shaka.

Ila nimewaza kama mtu unaonesha mitandaoni una range rover 2, unaishi nyumba ya ghorofa,una biashara successful, plate number ya gari umeweka jina lako, kwanini usitoe let's say tsh million 50, au bidhaa zenye thamani ya million 50 kwa wahanga wa kariakoo, kwanza 50 million tsh nyingi, tsh million 5 tu inatosha, uka post pay slip kwenye wall yako ya insta, na ku-motivate followers wako wapeleke misaada ya hali na mali pale, mpaka utoe account no. hela zipite kwako 🤔

Same goes to chief godlove, kama wewe ni tajiri kwanini uwaambie watu wachangie 100,000 tsh ili waingie kwenye group uwafundishe jinsi ya kupata utajiri🤔na haijulikani chief godlove anafanya biashara gani.

Sirjeff Dennis kuna kipindi alichangisha elf 40 kila mtu, alikuwa naota darasa jinsi ya kufanya forex utajirike. Mitandaoni anajionesha anaendesha jaguar, na anafanya large scale farming

Celebrity entrepreneur pekee ninaeona hapa Tanzania aliekuepo, na biashara zake zinaeleweka, ni the late Reginald Mengi, bidhaa zake za bonite za soda, na maji ya Kilimanjaro yanayouzika nchi nzima zilikuwa zinajulikana na kampuni ya bonite obviously inaingiza pesa nyingi, alikua akitoa msaada mara nyingi ni 100million tsh to billions of tsh kila mwaka, hakuwahi omba watu wamchangie , ingawa media zake kama itv hazipati faida na zinachelewesha kulipa mishahara, lakini kibiashara na ki-lifestyle, ni celebrity entrepreneur aliekua anaeleweka kuliko hawa celebrity entrepreneurs vijana wanaotrend insta.
Kukosa Exposure
 
Habarini,

Ninaposema celebrity entrepreneurs, namaanisha vijana maarufu wanaotrend mitandaoni kwa kuwa na hela nyingi kama kina chief godlove, Ontario/ sirjeff Dennis wa forex, Niffer, na wanaofanana na hao.

Huenda alichofanya Niffer kukusanya michango ya maafa kariakoo kina nia njema 100%, au pia kina lengo la upigaji, kwa hapa nipo 50/50 maana sina ushahidi usio na shaka.

Ila nimewaza kama mtu unaonesha mitandaoni una range rover 2, unaishi nyumba ya ghorofa,una biashara successful, plate number ya gari umeweka jina lako, kwanini usitoe let's say tsh million 50, au bidhaa zenye thamani ya million 50 kwa wahanga wa kariakoo, kwanza 50 million tsh nyingi, tsh million 5 tu inatosha, uka post pay slip kwenye wall yako ya insta, na ku-motivate followers wako wapeleke misaada ya hali na mali pale, mpaka utoe account no. hela zipite kwako 🤔

Same goes to chief godlove, kama wewe ni tajiri kwanini uwaambie watu wachangie 100,000 tsh ili waingie kwenye group uwafundishe jinsi ya kupata utajiri🤔na haijulikani chief godlove anafanya biashara gani.

Sirjeff Dennis kuna kipindi alichangisha elf 40 kila mtu, alikuwa naota darasa jinsi ya kufanya forex utajirike. Mitandaoni anajionesha anaendesha jaguar, na anafanya large scale farming

Celebrity entrepreneur pekee ninaeona hapa Tanzania aliekuepo, na biashara zake zinaeleweka, ni the late Reginald Mengi, bidhaa zake za bonite za soda, na maji ya Kilimanjaro yanayouzika nchi nzima zilikuwa zinajulikana na kampuni ya bonite obviously inaingiza pesa nyingi, alikua akitoa msaada mara nyingi ni 100million tsh to billions of tsh kila mwaka, hakuwahi omba watu wamchangie , ingawa media zake kama itv hazipati faida na zinachelewesha kulipa mishahara, lakini kibiashara na ki-lifestyle, ni celebrity entrepreneur aliekua anaeleweka kuliko hawa celebrity entrepreneurs vijana wanaotrend insta.

Yanga Bingwa”
 
Habarini,

Ninaposema celebrity entrepreneurs, namaanisha vijana maarufu wanaotrend mitandaoni kwa kuwa na hela nyingi kama kina chief godlove, Ontario/ sirjeff Dennis wa forex, Niffer, na wanaofanana na hao.

Huenda alichofanya Niffer kukusanya michango ya maafa kariakoo kina nia njema 100%, au pia kina lengo la upigaji, kwa hapa nipo 50/50 maana sina ushahidi usio na shaka.

Ila nimewaza kama mtu unaonesha mitandaoni una range rover 2, unaishi nyumba ya ghorofa,una biashara successful, plate number ya gari umeweka jina lako, kwanini usitoe let's say tsh million 50, au bidhaa zenye thamani ya million 50 kwa wahanga wa kariakoo, kwanza 50 million tsh nyingi, tsh million 5 tu inatosha, uka post pay slip kwenye wall yako ya insta, na ku-motivate followers wako wapeleke misaada ya hali na mali pale, mpaka utoe account no. hela zipite kwako 🤔

Same goes to chief godlove, kama wewe ni tajiri kwanini uwaambie watu wachangie 100,000 tsh ili waingie kwenye group uwafundishe jinsi ya kupata utajiri🤔na haijulikani chief godlove anafanya biashara gani.

Sirjeff Dennis kuna kipindi alichangisha elf 40 kila mtu, alikuwa naota darasa jinsi ya kufanya forex utajirike. Mitandaoni anajionesha anaendesha jaguar, na anafanya large scale farming

Celebrity entrepreneur pekee ninaeona hapa Tanzania aliekuepo, na biashara zake zinaeleweka, ni the late Reginald Mengi, bidhaa zake za bonite za soda, na maji ya Kilimanjaro yanayouzika nchi nzima zilikuwa zinajulikana na kampuni ya bonite obviously inaingiza pesa nyingi, alikua akitoa msaada mara nyingi ni 100million tsh to billions of tsh kila mwaka, hakuwahi omba watu wamchangie , ingawa media zake kama itv hazipati faida na zinachelewesha kulipa mishahara, lakini kibiashara na ki-lifestyle, ni celebrity entrepreneur aliekua anaeleweka kuliko hawa celebrity entrepreneurs vijana wanaotrend insta.
Hata Billgates na utajiri wake wote bado anachangisha ela ili kufanya shughuli za hisani.
 
kwanini usitoe let's say tsh million 50, au bidhaa zenye thamani ya million 50 kwa wahanga wa kariakoo, kwanza 50 million tsh nyingi, tsh million 5 tu inatosha, uka post pay slip kwenye wall yako ya insta, na ku-motivate followers wako wapeleke misaada ya hali na mali pale, mpaka utoe account no. hela zipite kwako 🤔
Mtu gani afanye hivyo mtz au 😄

Ova
 
Wabongo wanababaika na majina..wakiambiwa changa/toa wanatoaaaa

Ova
 
Ila nimewaza kama mtu unaonesha mitandaoni una range rover 2, unaishi nyumba ya ghorofa,una biashara successful, plate number ya gari umeweka jina lako, kwanini usitoe let's say tsh million 50, au bidhaa zenye thamani ya million 50 kwa wahanga wa kariakoo, kwanza 50 million tsh nyingi, tsh million 5 tu inatosha, uka post pay slip kwenye wall yako ya insta, na ku-motivate followers wako wapeleke misaada ya hali na mali pale, mpaka utoe account no. hela zipite kwako 🤔
Andiko zuri sana,

Hao ni mabilionea wa show off kwenye socia media.

Pesa haitaki kelele!
 
Huyo ni tapeli ndugu

JamiiForums




Ni sahihi kwa Celebrity Niffer Kusema ana strong army likiwa ni jibu kwa Waziri Mkuu baada ya maagizo?​

overlay-clever
close
Logo
First Prev5 of 5
Jump to newUnsubscribe
•••
[IMG alt="PAGAN"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/241/241513.jpg?1588884958[/IMG]

PAGAN

JF-Expert Member​


Hilo ndio jambo linalomuumiza kichwa ndugu Waziri. Anaona kitumbua chao kinamegwa mbele macho yao

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Vishu Mtata"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/578/578540.jpg?1623313460[/IMG]

Vishu Mtata

JF-Expert Member​

Angeachana na simu aisee, itamletea matatizo.
Hata akifanikiwa kupita hili asilizungumzie kwa matext marefu namna hiyo, asijetukana wakulu akapoteza vyote..

Hawa watu usoni wana nuru ila mioyoni ni wanyama.

Thanks Quote Reply
Report
Reactions:You
U

ubarinolutu

JF-Expert Member​

Ila Binti ana uchu sana wa mafanikio, yeye na boyfriend wake Wana kesi police haya mambo , walichukua mil 64 Kwa wateja kuweka oda za simu na vitu vingine wakawachukulie watu CHINNA, watu wakalipa ila pesa zikapigwa , sijui walipigwaje Sasa, kesi IPO polisi mpaka Leo. So ana kautapeli flani hivi, na muda alifanya biashara na Sasa anenda kufungua mall kunawalakini katika upataji wake wa pesa, mama hata record za huku TRA haioneshi ni mlipa Kodi wa kiwango angalau Cha kati, so it is either anahongwa na kufanya utapeli.

Hawa mabinti kama niffer wanaharibu sana vijana wetu, wakiona life lao wanajua life is that simple kbe behind the scene

Wewe biashara sio rahis hivyo
Kwa uzuri alionao Niffer ningekuwa nae ningemkabidhi ATM yangu Mshahara wangu awe anapokea yeye, mm kazi yangu ni moja tu.. ! kula papuchi basi.
 
Back
Top Bottom