Kwa kilio hiki cha Kenya kwa Tanzania: Kweli sindano imegusa mfupa

Kwa kilio hiki cha Kenya kwa Tanzania: Kweli sindano imegusa mfupa

Hawa jirani ni wapuuzi sana kwenye reasoning yao, eti Tanzania imekuwa outlier kutokana na approach yetu ya kupambana na Covid-19. Kwani ukiwa outlier ni kosa?

Sasa mbona Dunia nzima imeanza kuamini ila kuingia Tanzania, mashirika ya ndege yote makubwa yako fully booked na watalii wansokuja TZ.

Hakika hili liwe somo kwa Kenya na jirani wengine na jirani wengine wenye kiherehere.

I fully support BASA ijadikiwe upya kwa KQ na ATCL kupewa equal number of flights in respective countries.


Hii post ni ya News24.co.za mkuuu!
 
Ahsante. Wewe ni mtu unayefuata facts bila mafeelings. Kwa Kiingereza tunasema wewe ni mtu "objective". Yaani unaheshimu ukweli hata kama inauma bado unaikubali. Waeleze Watanzania wenzako. Pengine watakuelewa kwa sababu wewe ni Mtanzania kama wao.

Bwana mdogo Tony, ukiona mwenzako ana behave tofauti na kawaida yake. Kwanza waweza kumchunguza shida ni nini!!!! Baada ya hapo angalia upande wako. Kama unahusiana naye jichunguze kwa moyo mkunjufu jinsi unavyomtendea kama ni sawa au la. Pengine kuna jambo haliko sawa.

Kama maandiko yanavyosema unalotaka wengine wakufanyie, basi wafanyie wengine pia. Usilopenda wengine wakufanyie, basi usiwafanyie na wengine pia. Hii kanuni ni ya msingi sana katika uhusiano wetu kati ya mtu na mtu au jamii na jamii.
 
1596734134494.png


1596734161452.png



Jirani anasema matatizo yote yamekwisha lakini bado analialia nyau. Thats what you get from the No.1 Tanzanian, aka JPM

1596734289428.png


Make Tanzania Great Again aka (MATAGA)
 
Ndugu Macharia na anko Kenyata hawana hamu, mpaka sasa KQ haisomeki anga ya Tz! Walibip kidogo wakapigiwa😂
 
Bwana mdogo Tony, ukiona mwenzako ana behave tofauti na kawaida yake. Kwanza waweza kumchunguza shida ni nini!!!! Baada ya hapo angalia upande wako. Kama unahusiana naye jichunguze kwa moyo mkunjufu jinsi unavyomtendea kama ni sawa au la. Pengine kuna jambo haliko sawa.

Kama maandiko yanavyosema unalotaka wengine wakufanyie, basi wafanyie wengine pia. Usilopenda wengine wakufanyie, basi usiwafanyie na wengine pia. Hii kanuni ni ya msingi sana katika uhusiano wetu kati ya mtu na mtu au jamii na jamii.
South Africa hatujawaruhusu kuja huku. Mbona hawajapiga nduru kama nyie?
 
South Africa hatujawaruhusu kuja huku. Mbona hawajapiga nduru kama nyie?
SA wanasoma namba tu, ugonjwa huu umekuwa unaua wengi bondeni. Waje wajifunze kujifukiza.
 
SA wanasoma namba tu, ugonjwa huu umekuwa unaua wengi bondeni. Waje wajifunze kujifukiza.

Ukipiga nyungu, halafu ukawa unagonga tangawizi na limao kwa ukawaida. My friend you will be safe. Kitu ambacho watu wa mataifa mengine hawajakijua.
 
Give us the exact population of whites living in Kenya.

Give us their wealth status too. Unadhani Kenya ni South Africa?? Rudia historia
Siyo suala LA idadi ya wazungu Bali ni ile sehemu ya uchumi Wa Kenya wanayomiliki. Sehemu kubwa ya ardhi ya Kenya inamilikiwa na wazungu wachache na waafrika wachache hasa ukoo Wa Kenyatta!

Sehemu kubwa ya wakenya hawana ardhi na wanaishi kama vibarua kwenye mashamba ya matajiri wachache wazungu na waafrika wachache. Hii ndiyo tofauti kubwa ya Kenya na Tanzania. Assuming that if the boarder between us is completely closed, of course both of us will suffer, but to completely different extent! For Kenya it is a matter of life and death! but not to us. Honestly Kenya can't afford for the boarder to remain closed completely for just one month!! Former experience shows so!!

Kama Kenya ingekuwa in Tanzania na Tanzania in Kenya, mngetutesa sana maana kwenu unyang'au unatangulizwa kuliko utu!! Lakini sisi hatua tunazochukua dhidi ya Kenya ni za kumkumbusha tu kuwa unaishi kwenye nyumba ya kioo Kwa hiyo usiwe Wa kwanza kupiga nyumba za watu Kwa mawe maana ya kwako wataipiga pia na huna ujanja katika hili na ndivyo inavyotokea!
 
Huyo rais wenu akiondoka 2025 halafu mupate rais mstaarabu, muungwana kama rais mpendwa Jakaya Kikwete, mwanadiplomasia mashuhuri ndio tutaanza kuongea tena. Kwa sasa hamna haja ya kulazimisha mahusiano kama yamekataa.
Na ni bora tuendelee na magufuli ili azidi kuwashughulikia bila ajizi.
 
Ukipiga nyungu, halafu ukawa unagonga tangawizi na limao kwa ukawaida. My friend you will be safe. Kitu ambacho watu wa mataifa mengine hawajakijua.
Wacha wale kiburi chao. Hasa yule wa SA aliyejifanya kuitisha vikao na wenzake na huyu wa Kenya. Wanaisoma number.
 
Mkuu

Unacheka as kana kwamba nchi mbili zikiwa zinachukiana ni kama ugomvi wa mke na mume kwenye majumba yenu..

Not really..

Mzee,hapa hu-deal na nchi za kipumbavu kama uchafu Burundi,au Sudani Kusini au Rwanda au mavi mengine..

Una-deal na serious country yenye clout na yenye uzito na yenye soft and hard powers put together!

It is very sad tunapoona Kenya ni mavi kama mavi mengine bila kuelewa hawa watu wana power kiasi gani....

Too bad hawa ni economic giants wa hapa East Africa,wa pili ambao ni sisi,ni half ya their capacity...hilo si tatizo sana

Kenya ina soft power more than any country in this region,with the global superpowers au hapa hapa...

Rwanda,Uganda,etc hapa EA wanamheshimu Kenya zaidi kuliko TZ maana economically Kenya ana volume kubwa ya trade nao kuliko sisi,hiyo pia sio ishu sana

Uhuru kama Uhuru ana demand more respect than Mawe and all others put together by the shear weight ya Kenya...

Wakubwa wa dunia wanamuona Kenya kwanza hapa EA halafu baadae sana ndio waulize TZ ni mavi gani....Mezani popote Kenya ana demand weight than anybody hapa EA,thats the FACT!Muulize Kikwete

Baada ya hapo,kuna international missions zetu aidha UN au AU au popote tunapoenda kufatilia maslahi yetu huko duniani,kuna camps,iwapo Kenya atasema asikusapoti kwa lolote na wanaoelewana nae hawakusapoti unabaki kama TZ of which hutoboi popote!

Kenya amefanya ban ya whatever alichofanya,then ni very unfortunate wale wote Kenya alio na influence nao wakifata atakachowaaambia,then we are doomed na mavi yetu tutabaki hapa DSM kujitapa na sijui tuna mahindi,sijui tuna maharage,etc..blah blah

Usijifanye wewe ndio una influence hapa duniani hujui Kenya anayo zaidi yetu na it is the matter of pulling strings.....

Ila ugomvi wote huu does not benefit anybody,kibaya ni kwamba sisi masikini zaidi yao ndio huu ugomvi utatuletea hasara zaidi yao wao...

Effects zinauma zaidi kwa masikini kuliko tajiri...

Rai yangu ni kwamba,tujibu hoja zao,tuwa-convince waelewe...ugomvi waweke kando tujenge pesa..There is more money to be made for everybody....
You are very wrong!! Sisi sio maskini kumlinganisha na Kenya!! Watu wa Kenya walio wengi Ni maskini Sana. Uchumi wa Kenya unamilikiwa na watu wachache wanaomiliki ardhi na viwanda. Wakenya walio wengi Ni vibarua kwenye mashamba na viwanda vya wazungu wachache na wakenya wachache Sana Hass wakikuyu!

Kwenye nyanja za kimataifa Tanzania inaheshimika Sana kutokana na msimamo wake wa kutoyumbishwa na makaburu!!! Wazungu wanadharau Sana viongozi ambao Ni vibaraka wao.

Nikupe mfano, Marekani amejitahidi Sana kutupiga Vita ili watalii wasije kwa kutoa tshadhari ya Corona a kuwataka wamarekani waondokeTanzania. Kinyume chakewstalii wengi wakiwemo wamarekani wanamiminika kwa mania kuja kutalii Tanzania bara na Zanzibar!

Kenya mmejaribu pia kufanya maamuzi ya kutaka tutengwe kinyume chake hakuna mlichofanikiwa!
 
You are very wrong!! Sisi sio maskini kumlinganisha na Kenya!! Watu wa Kenya walio wengi Ni maskini Sana. Uchumi wa Kenya unamilikiwa na watu wachache wanaomiliki ardhi na viwanda. Wakenya walio wengi Ni vibarua kwenye mashamba na viwanda vya wazungu wachache na wakenya wachache Sana Hass wakikuyu!

Kwenye nyanja za kimataifa Tanzania inaheshimika Sana kutokana na msimamo wake wa kutoyumbishwa na makaburu!!! Wazungu wanadharau Sana viongozi ambao ni vibaraka wao.

Nikupe mfano, Marekani amejitahidi Sana kutupiga Vita ili watalii wasije kwa kutoa tshadhari ya Corona a kuwataka wamarekani waondokeTanzania. Kinyume chakewstalii wengi wakiwemo wamarekani wanamiminika kwa mania kuja kutalii Tanzania bara na Zanzibar!

Kenya mmejaribu pia kufanya maamuzi ya kutaka tutengwe kinyume chake hakuna mlichofanikiwa!
Makelele sana yaani.

Kumbe wewe unaangalia kwa macho yako unapoona?

Uchumi hauangaliwi kwa vimacho vyako binafsi,uchumi unaangaliwa kwa numbers rasmi za kiuchumi.

Kwa macho Zanzibar ingekua ni tajiri zaidi ya Bara...hatuendi kwa macho mzee!

Weka official economic numbers hapa acha stori
 
Makelele sana yaani...

Kumbe wewe unaangalia kwa macho yako unapoona?

Uchumi hauangaliwi kwa vimacho vyako binafsi,uchumi unaangaliwa kwa numbers rasmi za kiuchumi..

Kwa macho Zanzibar ingekua ni tajiri zaidi ya Bara...hatuendi kwa macho mzee!

Weka official economic numbers hapa acha stori

Wee mwenyewe you just talk the empty words, huku ukidai emperical evidence from others.
 
Makelele sana yaani...

Kumbe wewe unaangalia kwa macho yako unapoona?

Uchumi hauangaliwi kwa vimacho vyako binafsi,uchumi unaangaliwa kwa numbers rasmi za kiuchumi..

Kwa macho Zanzibar ingekua ni tajiri zaidi ya Bara...hatuendi kwa macho mzee!

Weka official economic numbers hapa acha stori
Economical numbers do not portray the reality on the ground! Kwa mfano settler mmoja hapo Kenya anaweza kuwa mashamba kubwa la mauana anauza na kusingizia fedha nyingi!! Hizi zitaonekana kwenye namba, lakini mkazi wa kibera hazimsaidii chochote yeye atabaki kwenye Lindi la umaskini wake. Sana Sana atakuwa kibarua kwenye shamba la huyo mlowezi wa kizungu.

Kenya ina maskini wengi Sana ambao hawana hata kipande kidogo cha ardhi!! Ardhi inamilikiwa na wtu wachache Sana akiwemo Kenya! Wewe mwenyewe hapo huenda huna hata eka moja ya ardhi! Huku Tanzania kila mtu anamiliki ardhi ya kutosha na bado ipo nyingi tu ambayo haimilikiwi na mtu yeyote yule!
 
Economical numbers do not portray the reality on the ground!
Wewe macho yako binafsi ndio yana "REALITY ON THE GROUND"?

Tukuamini kiazi mwenzangu kama nani hasa?

You are not qualified to give that observation!

Go to hell!
 
Wewe macho yako binafsi ndio yana "REALITY ON THE GROUND"?

Tukuamini kiazi mwenzangu kama nani hasa?

You are not qualified to give that observation!

Go to hell!

Guy bring the facts and figures, stop yapping and give the empty words full of emotions. Otherwise you will never be invited to attend real men's meetings.

😛😝😜
 
Economical numbers do not portray the reality on the ground! Kwa mfano settler mmoja hapo Kenya anaweza kuwa mashamba kubwa la mauana anauza na kusingizia fedha nyingi!! Hizi zitaonekana kwenye namba, lakini mkazi wa kibera hazimsaidii chochote yeye atabaki kwenye Lindi la umaskini wake. Sana Sana atakuwa kibarua kwenye shamba la huyo mlowezi wa kizungu!

Kenya ina maskini wengi Sana ambao hawana hata kipande kidogo cha ardhi!! Ardhi inamilikiwa na wtu wachache Sana akiwemo Kenya! Wewe mwenyewe hapo huenda huna hata eka moja ya ardhi! Huku Tanzania kila mtu anamiliki ardhi ya kutosha na bado ipo nyingi tu ambayo haimilikiwi na mtu yeyote yule!

Huyu hawezi akaelewa the fundamental question "why the GDP is not a good measure of economic development and citizens welfare?".
 
Back
Top Bottom