Kwa kipato cha Tsh. 600,000 naruhusiwa kumiliki gari?

Kwa kipato cha Tsh. 600,000 naruhusiwa kumiliki gari?

rkid49

Member
Joined
Sep 24, 2014
Posts
13
Reaction score
16
Kwa kipato cha Tsh 600k kwa mwezi naruhusiwa kumiliki gari au niachane na mbwembwe.

Kama naruhusiwa kumiliki gari kwa mizunguko isiyozidi 5 kilometer kwa siku ni sawa kununua gari yenye 2500 cc?

Natanguliza shukrani kwa ushauri wenu.
 
Kwa kipato cha Tsh 600k kwa mwezi naruhusiwa kumiliki gari au niachane na mbwembwe.

Kama naruhusiwa kumiliki gari kwa mizunguko isiyozidi 5kilometer kwa siku ni sawa kununua gari yenye 2500cc

Natanguliza shukrani kwa ushauri wenu.
Acha na hiyo story. Kama Unataka ule mchicha na dagaa kila siku endelea
Wewe Ni masikini bado. Hudumia familia kwanza
 
Unaweza kumiliki gari mtu asikukatishe tamaa!
Ningekua mimi ndio wewe na kipato changu cha laki 6 na ninataka kumiliki gari ningemiliki kwa utaratibu ufuatao

Ningenunua na sio kukopa gari
Ningempa mtu gari alifanye uber kila siku anipe kiasi fulani malipo kwa kila wiki
Asubuhi ananipeleka kazini na ndinga langu, siku nikiwa na dharula muhimu nachukua ndinga kuenda nayo

Kiufupi, kipato chako miliki gari inayokuingizia hela na sio wewe utoe hela kwenye 600k kuhudumia gari.
 
Kwa kipato cha Tsh 600k kwa mwezi naruhusiwa kumiliki gari au niachane na mbwembwe.

Kama naruhusiwa kumiliki gari kwa mizunguko isiyozidi 5kilometer kwa siku ni sawa kununua gari yenye 2500cc

Natanguliza shukrani kwa ushauri wenu.
Kama unaishi kijijini na familia inawezekana, kama ni mjini achana na hayo mawazo
 
Unaweza kumiliki gari mtu asikukatishe tamaa!
Ningekua mimi ndio wewe na kipato changu cha laki 6 na ninataka kumiliki gari ningemiliki kwa utaratibu ufuatao

Ningenunua na sio kukopa gari
Ningempa mtu gari alifanye uber kila siku anipe kiasi fulani malipo kwa kila wiki
Asubuhi ananipeleka kazini na ndinga langu, siku nikiwa na dharula muhimu nachukua ndinga kuenda nayo

Kiufupi, kipato chako miliki gari inayokuingizia hela na sio wewe utoe hela kwenye 600k kuhudumia gari.
Dogo hebu oga chap uwahi lecture
 
Unaweza kumiliki gari mtu asikukatishe tamaa!
Ningekua mimi ndio wewe na kipato changu cha laki 6 na ninataka kumiliki gari ningemiliki kwa utaratibu ufuatao

Ningenunua na sio kukopa gari
Ningempa mtu gari alifanye uber kila siku anipe kiasi fulani malipo kwa kila wiki
Asubuhi ananipeleka kazini na ndinga langu, siku nikiwa na dharula muhimu nachukua ndinga kuenda nayo

Kiufupi, kipato chako miliki gari inayokuingizia hela na sio wewe utoe hela kwenye 600k kuhudumia gari.
Very good una mawazo ya biashara may God bless you
 
Unaweza kumiliki gari mtu asikukatishe tamaa!
Ningekua mimi ndio wewe na kipato changu cha laki 6 na ninataka kumiliki gari ningemiliki kwa utaratibu ufuatao

Ningenunua na sio kukopa gari
Ningempa mtu gari alifanye uber kila siku anipe kiasi fulani malipo kwa kila wiki
Asubuhi ananipeleka kazini na ndinga langu, siku nikiwa na dharula muhimu nachukua ndinga kuenda nayo

Kiufupi, kipato chako miliki gari inayokuingizia hela na sio wewe utoe hela kwenye 600k kuhudumia gari.
Wewe ni genius 👏
 
Back
Top Bottom