Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah...kumbe kumiliki gari ni lazima uwe tajiriKuna kipato Fulani ukimiliki gari, lenyewe linakukataa, yaani haufanani nalo kuanzia mavazi, makazi na chakula unachokula.... Unamiliki gari huku dukani unadaiwa dagaa wa 2000.
Vijana tuwekeze kwenye kilimo na viwanda vidogovidogo.
Rudia kusoma vizuri comment yangu.... Mfano binamu yako au jirani anapiga simu saa nane za usiku kuomba msaada apelekwe hospital, wewe unajibu gari halina mafuta. Hilo gari linakuwa limekununua wewe.Daah...kumbe kumiliki gari ni lazima uwe tajiri
Rudia kusoma vizuri comment yangu.... Mfano binamu yako au jirani anapiga simu saa nane za usiku kuomba msaada apelekwe hospital, wewe unajibu gari halina mafuta. Hilo gari linakuwa limekununua wewe.
Kwa hiyo kula dagaa na mchicha ni umasikini!??? So Hawa ma-doctor wanatudanganya!!???Acha na hiyo story. Kama Unataka ule mchicha na dagaa kila siku endelea
Wewe Ni masikini bado. Hudumia familia kwanza
Huo umbali watu wanatembea tena hata lisaa halifiki yeye anataka apande gari duuuh!! 😂 😂Unajitafutia stress tu wew,KM 5 ndio umbali wa kutumia gari?tena cc2500