jooohs
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 2,524
- 10,287
Tuseme per day unatumia mafuta ya 7000 hapo kwa mwezi ni 210,000 bado gharama za service kwa haraka haraka ukitoa matumizi ya gari kwenye huo mshahara kwa mwezi utakuwa unabaki na laki 3 na kitu.
Hiyo laki 3 kwa matumizi tu ya pachelor anatoboa mwezi kwa mbinde na sijui kama unafamilia
Hiyo laki 3 kwa matumizi tu ya pachelor anatoboa mwezi kwa mbinde na sijui kama unafamilia