Kwa kipekee kabisa naipongeza Serikali kwa kuanzisha kodi ya kizalendo kwenye miamala ya simu. Naomba Watanzania tuiunge mkono

Kwa kipekee kabisa naipongeza Serikali kwa kuanzisha kodi ya kizalendo kwenye miamala ya simu. Naomba Watanzania tuiunge mkono

Hulka yetu watanzania tuliowengi hatupendi kulipa kodi kwa hiari ila ni wa kwanza kuilamu serikali pale inaposhindwa kuleta huduma za maendeleo.

Yaani tunafikiri pengine maendeleo yanakuja tu kama mvua ishukavyo kutoka mawinguni au labda kwamba nchi inaweza kujiendesha yenyewe pasipo watu kulipa kodi, jambo ambalo si kweli.

Inashangaza kwamba leo tunalia kwa sababu serikali imetuwekea kodi ya uzalendo kwenye miamala ya simu lakini tunasahau kwamba taifa letu bado ni changa na linakabiliwa na changamoto lukuki zikiwemo changamoto za ubovu wa bara bara mjini na vijijini, changamoto ya maji safi na salama, changamoto ya madawati, changamoto ya walimu, hospitali, madawa, umeme n.k

Kimsingi wa kutatua changamoto hizi ni sisi wenyewe, tusitegemee kwamba kuna mtu kutoka taifa lingine wa kuja kututatulia changamoto zetu. Kumbe sasa inatupasa kufunga mikanda na vibwebwe kisawa sawa ili tuweze kuzitatua, na njia pekee ya kuzitatua ni kupitia kodi.

Hata mataifa yaliyoendelea kama marekani, uingereza, na china hayakufika hapo yalipo hivi hivi nao walipitia ugumu kidogo kama ambavyo sisi tunaona taabu kulipa kodi ya uzalendo kwenye miamala ya simu lakini baada ya muda fulani walizoea na kuona kwamba kulipa kodi ni suala la kawaida na ndio maana wameweza kupiga hatua kubwa kiuchumi na kuwa hapo walipo hii leo. Hata sisi kwakuwa ndio tunaanza mwanzo utakuwa mgumu lakini baadaye tutazoea na hii kodi ya kizalendo tutakuja kuona ni suala la kawaida kabisa.

Nachotaka kuwambia watanzania wenzangu, tuonyeshe uzalendo tulipe kodi kwa maendeleo ya Taifa letu kwa sababu bila kodi,

• Hakuna bara bara itajengwa
Hakuna hospitali itajengwa,
Hakuna shule itajengwa

• Watoto wetu wataendelea kukaa chini

• Hakutakuwa na pesa za kununua madawa

• Watumishi wa umma watashindwa kupandishwa madaraja ambayo hayajapanda kwa miaka zaidi ya mitano

• Watoto wetu watakosa vipindi kwa sababu serikali haitakuwa na uwezo wa kuajiri walimu

• Mama zetu hospitali watashindwa kujifungua salama kwa sababu serikali haitakuwa na pesa za kuboresha huduma za afya

• Vile vile hata miradi mikubwa tuliyoanzisha kama SGR, SG n.k itakwama kwa sababu ili ikamilike kunahitajika fedha ambazo zinapatikana kupitia wananchi kodi ya wananchi.

Kwahivyo watanzania wenzangu tusione kama serikali haina nia njema na sisi, La hasha! tulipe kodi na tukishalipa kodi sisi kama wananchi tuchukue jukumu la kuisimamia serikali ili kusudi kodi tuliyolipa isipotee bure au kuishia kwenye mifuko ya wachache bali itumike katika malengo yaliyokusudiwa na matunda yake yaonekane.

KODI YA UZALENDO KWA MAENDLEO YA TAIFA.

Naomba kuwasilisha.
Tumekusikia Mwigulu Nchemba. Chezeeni tu kodi zetu lakini siku yaja na haiko mbali sana tutawaadhibu.
 
Hulka yetu watanzania tuliowengi hatupendi kulipa kodi kwa hiari ila ni wa kwanza kuilamu serikali pale inaposhindwa kuleta huduma za maendeleo.

Yaani tunafikiri pengine maendeleo yanakuja tu kama mvua ishukavyo kutoka mawinguni au labda kwamba nchi inaweza kujiendesha yenyewe pasipo watu kulipa kodi, jambo ambalo si kweli.

Inashangaza kwamba leo tunalia kwa sababu serikali imetuwekea kodi ya uzalendo kwenye miamala ya simu lakini tunasahau kwamba taifa letu bado ni changa na linakabiliwa na changamoto lukuki zikiwemo changamoto za ubovu wa bara bara mjini na vijijini, changamoto ya maji safi na salama, changamoto ya madawati, changamoto ya walimu, hospitali, madawa, umeme n.k

Kimsingi wa kutatua changamoto hizi ni sisi wenyewe, tusitegemee kwamba kuna mtu kutoka taifa lingine wa kuja kututatulia changamoto zetu. Kumbe sasa inatupasa kufunga mikanda na vibwebwe kisawa sawa ili tuweze kuzitatua, na njia pekee ya kuzitatua ni kupitia kodi.

Hata mataifa yaliyoendelea kama marekani, uingereza, na china hayakufika hapo yalipo hivi hivi nao walipitia ugumu kidogo kama ambavyo sisi tunaona taabu kulipa kodi ya uzalendo kwenye miamala ya simu lakini baada ya muda fulani walizoea na kuona kwamba kulipa kodi ni suala la kawaida na ndio maana wameweza kupiga hatua kubwa kiuchumi na kuwa hapo walipo hii leo. Hata sisi kwakuwa ndio tunaanza mwanzo utakuwa mgumu lakini baadaye tutazoea na hii kodi ya kizalendo tutakuja kuona ni suala la kawaida kabisa.

Nachotaka kuwambia watanzania wenzangu, tuonyeshe uzalendo tulipe kodi kwa maendeleo ya Taifa letu kwa sababu bila kodi,

• Hakuna bara bara itajengwa
Hakuna hospitali itajengwa,
Hakuna shule itajengwa

• Watoto wetu wataendelea kukaa chini

• Hakutakuwa na pesa za kununua madawa

• Watumishi wa umma watashindwa kupandishwa madaraja ambayo hayajapanda kwa miaka zaidi ya mitano

• Watoto wetu watakosa vipindi kwa sababu serikali haitakuwa na uwezo wa kuajiri walimu

• Mama zetu hospitali watashindwa kujifungua salama kwa sababu serikali haitakuwa na pesa za kuboresha huduma za afya

• Vile vile hata miradi mikubwa tuliyoanzisha kama SGR, SG n.k itakwama kwa sababu ili ikamilike kunahitajika fedha ambazo zinapatikana kupitia wananchi kodi ya wananchi.

Kwahivyo watanzania wenzangu tusione kama serikali haina nia njema na sisi, La hasha! tulipe kodi na tukishalipa kodi sisi kama wananchi tuchukue jukumu la kuisimamia serikali ili kusudi kodi tuliyolipa isipotee bure au kuishia kwenye mifuko ya wachache bali itumike katika malengo yaliyokusudiwa na matunda yake yaonekane.

KODI YA UZALENDO KWA MAENDLEO YA TAIFA.

Naomba kuwasilisha.
mafisadi wanaoiba hela wanaachiwa, marais wastaafu wanajengewa mahekalu, wengine wanapewa mabenzi. wote hao tunawachangia sisi. hebu acheni ujinga
 
Kuna Watu mkisha shiba fedha za kodi kwa ubadhirifu wenu huko Serikalini mnakuja kutapika matapishi yenu huku
 
Hulka yetu watanzania tuliowengi hatupendi kulipa kodi kwa hiari ila ni wa kwanza kuilamu serikali pale inaposhindwa kuleta huduma za maendeleo.

Yaani tunafikiri pengine maendeleo yanakuja tu kama mvua ishukavyo kutoka mawinguni au labda kwamba nchi inaweza kujiendesha yenyewe pasipo watu kulipa kodi, jambo ambalo si kweli.

Inashangaza kwamba leo tunalia kwa sababu serikali imetuwekea kodi ya uzalendo kwenye miamala ya simu lakini tunasahau kwamba taifa letu bado ni changa na linakabiliwa na changamoto lukuki zikiwemo changamoto za ubovu wa bara bara mjini na vijijini, changamoto ya maji safi na salama, changamoto ya madawati, changamoto ya walimu, hospitali, madawa, umeme n.k

Kimsingi wa kutatua changamoto hizi ni sisi wenyewe, tusitegemee kwamba kuna mtu kutoka taifa lingine wa kuja kututatulia changamoto zetu. Kumbe sasa inatupasa kufunga mikanda na vibwebwe kisawa sawa ili tuweze kuzitatua, na njia pekee ya kuzitatua ni kupitia kodi.

Hata mataifa yaliyoendelea kama marekani, uingereza, na china hayakufika hapo yalipo hivi hivi nao walipitia ugumu kidogo kama ambavyo sisi tunaona taabu kulipa kodi ya uzalendo kwenye miamala ya simu lakini baada ya muda fulani walizoea na kuona kwamba kulipa kodi ni suala la kawaida na ndio maana wameweza kupiga hatua kubwa kiuchumi na kuwa hapo walipo hii leo. Hata sisi kwakuwa ndio tunaanza mwanzo utakuwa mgumu lakini baadaye tutazoea na hii kodi ya kizalendo tutakuja kuona ni suala la kawaida kabisa.

Nachotaka kuwambia watanzania wenzangu, tuonyeshe uzalendo tulipe kodi kwa maendeleo ya Taifa letu kwa sababu bila kodi,

• Hakuna bara bara itajengwa
Hakuna hospitali itajengwa,
Hakuna shule itajengwa

• Watoto wetu wataendelea kukaa chini

• Hakutakuwa na pesa za kununua madawa

• Watumishi wa umma watashindwa kupandishwa madaraja ambayo hayajapanda kwa miaka zaidi ya mitano

• Watoto wetu watakosa vipindi kwa sababu serikali haitakuwa na uwezo wa kuajiri walimu

• Mama zetu hospitali watashindwa kujifungua salama kwa sababu serikali haitakuwa na pesa za kuboresha huduma za afya

• Vile vile hata miradi mikubwa tuliyoanzisha kama SGR, SG n.k itakwama kwa sababu ili ikamilike kunahitajika fedha ambazo zinapatikana kupitia wananchi kodi ya wananchi.

Kwahivyo watanzania wenzangu tusione kama serikali haina nia njema na sisi, La hasha! tulipe kodi na tukishalipa kodi sisi kama wananchi tuchukue jukumu la kuisimamia serikali ili kusudi kodi tuliyolipa isipotee bure au kuishia kwenye mifuko ya wachache bali itumike katika malengo yaliyokusudiwa na matunda yake yaonekane.

KODI YA UZALENDO KWA MAENDLEO YA TAIFA.

Naomba kuwasilisha.
Serikali inakusanya tozo halafu inalipa wahuni wachache kuja kupush ajenda ya wizi mitandaoni.

A failed state
 
Hekoooo!!!!👍👍👍👍👍👍👍

Umewaza kama mimi.

Maza kaupiga mwingi sanaa hapo😂
 
Nina uhakika kabisa wewe ni mwajiriwa. Inawezekana unaishi kwenye nyumba ya serikali na umepewa usafiri. Vocha unawekewa kila mwezi. Hakika huwezi ukaona uchungu wa hiyo kodi.

Ili nikuunge mkono kwenye hoja yako, naomba angalau uniambie KWA MWAKA 2020 SERIKALI ILIKUSANYA SHS NGAPI KAMA KODI, NA KATIKA HAYO MAKUSANYO, SHS NGAPI ZILIENDA KWENYE MISHAHARA NA MARUPURUPU NA NGAPI ZILIENDA KWENYE MAENDELEO?

Baada ya hapo niambie kwanini unaamini hii kodi itaenda kwenye maendeleo.
Kama waimba mapambio wengine hana uwezo kabisa wa KUKUELEWA. Hayo mavyeo ya mapambo ni MUHIMU kwenye ushindi wa kulazimisha.
 
Bora ingehalalisha kilimo cha bangi kuliko kodi za dhulumati
 
Uzalendo wa kichwa chako


Hujakosea kusoma wala usishangae, tena ngoja nikariri kabisa

UZALENDO WA KICHWA CHAKO
 
Mkuu unajua unachokiongea lakini! Badala kulalamikia serikali imepandisha tozo wewe unaipongeza.. aisee!
 
Aisee wewe jamaa umenipa hasira... Kwel yaan... Ungekuwa kalbu yangu ningekuzaba hata kofi la baba wa kambo. Yaan kodi zote hzi zilizoongezwa na bdo ww unatetea.
 
Uzalendo upi wa wanasiasa kuibia wananchi kwa nguvu kisha kutakatisha walichoiba kwa kulipana posho?
 
Sawa, endelea kuwapongeza.

Hatutatumia mitandao ya simu kutuma pesa hiyo kodi mtaitolea wapi?

Maana nyinyi kuiweka ni kitu kimoja, na sisi kutumia ili mtukate ni kitu kingine. Watumiaji ndo kama hivi tumeamua kuacha kutumiana hela kwa simu, tumegundua wote tupo mjini hapa hapa, tutaifuata hiyo hela kwa daladala.

Wale wa mikoani tutawatumia kwa basi au kwa bank.

Hii kodi inaenda kuwaacha wazi
 
Hulka yetu watanzania tuliowengi hatupendi kulipa kodi kwa hiari ila ni wa kwanza kuilamu serikali pale inaposhindwa kuleta huduma za maendeleo.

Yaani tunafikiri pengine maendeleo yanakuja tu kama mvua ishukavyo kutoka mawinguni au labda kwamba nchi inaweza kujiendesha yenyewe pasipo watu kulipa kodi, jambo ambalo si kweli.

Inashangaza kwamba leo tunalia kwa sababu serikali imetuwekea kodi ya uzalendo kwenye miamala ya simu lakini tunasahau kwamba taifa letu bado ni changa na linakabiliwa na changamoto lukuki zikiwemo changamoto za ubovu wa bara bara mjini na vijijini, changamoto ya maji safi na salama, changamoto ya madawati, changamoto ya walimu, hospitali, madawa, umeme n.k

Kimsingi wa kutatua changamoto hizi ni sisi wenyewe, tusitegemee kwamba kuna mtu kutoka taifa lingine wa kuja kututatulia changamoto zetu. Kumbe sasa inatupasa kufunga mikanda na vibwebwe kisawa sawa ili tuweze kuzitatua, na njia pekee ya kuzitatua ni kupitia kodi.

Hata mataifa yaliyoendelea kama marekani, uingereza, na china hayakufika hapo yalipo hivi hivi nao walipitia ugumu kidogo kama ambavyo sisi tunaona taabu kulipa kodi ya uzalendo kwenye miamala ya simu lakini baada ya muda fulani walizoea na kuona kwamba kulipa kodi ni suala la kawaida na ndio maana wameweza kupiga hatua kubwa kiuchumi na kuwa hapo walipo hii leo. Hata sisi kwakuwa ndio tunaanza mwanzo utakuwa mgumu lakini baadaye tutazoea na hii kodi ya kizalendo tutakuja kuona ni suala la kawaida kabisa.

Nachotaka kuwambia Watanzania wenzangu, tuonyeshe uzalendo tulipe kodi kwa maendeleo ya Taifa letu kwa sababu bila kodi.

• Hakuna bara bara itajengwa
Hakuna hospitali itajengwa,
Hakuna shule itajengwa

• Watoto wetu wataendelea kukaa chini

• Hakutakuwa na pesa za kununua madawa

• Watumishi wa umma watashindwa kupandishwa madaraja ambayo hayajapanda kwa miaka zaidi ya mitano

• Watoto wetu watakosa vipindi kwa sababu serikali haitakuwa na uwezo wa kuajiri walimu

• Mama zetu hospitali watashindwa kujifungua salama kwa sababu serikali haitakuwa na pesa za kuboresha huduma za afya

• Vile vile hata miradi mikubwa tuliyoanzisha kama SGR, SG n.k itakwama kwa sababu ili ikamilike kunahitajika fedha ambazo zinapatikana kupitia wananchi kodi ya wananchi.

Kwahivyo watanzania wenzangu tusione kama serikali haina nia njema na sisi, La hasha! tulipe kodi na tukishalipa kodi sisi kama wananchi tuchukue jukumu la kuisimamia serikali ili kusudi kodi tuliyolipa isipotee bure au kuishia kwenye mifuko ya wachache bali itumike katika malengo yaliyokusudiwa na matunda yake yaonekane.

KODI YA UZALENDO KWA MAENDLEO YA TAIFA.

Naomba kuwasilisha.
We bado kijana mdogo hizi stori ukiwa mkubwa utaelewa na utajua kabisa ushenzi ni mwingi kwenye matumizi ya kodi zetu.
Wabunge hawalipi kodi kwenye mishahara yao
Bila shaka hata Rais hakatwi kodi
Mwalimu wa grade IIIA salary ya laki 4 wanakata kodi.
 
Unafiki kiwango cha sgr.
Hivi kwanini huu uzalendo huwa mnaung'ang'aniza kwa watu wa kipato cha chini tu?
 
KMNNAAA
IMG-20210715-WA0012.jpeg
 
Mwigulu elimu yake ni ya kuungaunga na hali ni hiyo hiyo kwenye ngazi zote za uongozi ndani ya CCM miaka yote. Unamkuta mtu toka anaanza shule hadi anaingia sekondari ni mweupe kama theluji kichwani . Ghafla bin vuu anaibuka ni daktari , ana PhD na anaitumikia CCM.

Ukifanya utafiti kidogo tu unakuta majina aliyotumia huko nyuma yana utata, elimu anayodai anayo ina utata, sifa alizo nazo zina utata...sasa huo uwezo, hekima na busara atatoa wapi? Akiachana na utumishi ndani ya CCM huyooo ni waziri tena kapewa wizara nyeti kama fedha!

CCM ni kambi ya vilaza na ukiona mtu anakimbilia CCM, ujue tu kuna historia ya mapungufu makubwa kwenye uwezo, elimu, akili na fikra zake kimaisha. Na CCM inawahusudu sana watu wa aina hiyo kwani inajulikana mtaji wa CCM ni ujinga na mtoa mada ni mfano halisi wa hao watu.

Siku Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itakapoachana na CCM ndipo itaweza kupiga hatua yoyote ya maana kimaendeleo kwani chama hicho ni dampo la watendaji waliochoka kiakili. Na mathalani bunge sasa limehatamiwa na hao vilaza watupu hatma ya taifa letu iko mashakani.

Adui nambari wani wa taifa ni CCM...

Madelu ugoni.png


Huyu...yaani huyu huyu!​
 
Back
Top Bottom