Kwa kipekee kabisa naipongeza Serikali kwa kuanzisha kodi ya kizalendo kwenye miamala ya simu. Naomba Watanzania tuiunge mkono

Kwa kipekee kabisa naipongeza Serikali kwa kuanzisha kodi ya kizalendo kwenye miamala ya simu. Naomba Watanzania tuiunge mkono

Na huku JF kuna watu mmelipwa kuja kupush ajenda?
Hayo ni mawazo yangu binafsi wala sijalipwa chochote mkuu na kama kuna mtu kwa namna moja au nyingine amekwazika na wasilisho langu basi nitumie nafasi hii pia kuomba radhi na kazi iendelee
 
Sipo miongoni mwao mimi ni mwananchi wa kawaida kabisa na wala sijatumwa na mtu yeyote isipokuwa ni maoni yangu binafsi kuunga mkono kodi ya mshikamano ili kama taifa tuweze kusonga mbele kwa sababu pesa itakayokusanywa kupitia hii kodi kama ambavyo serikali imesisitiza itaenda kusaidia kutatua kama sio kumaliza kabisa changamoto ya bara bara zetu za vijijini. Kwahiyo ndugu watanzania wenzangu tusilalamike kwa sababu kodi hii ina manufaa makubwa kwetu na matunda yake tutakuja tuyaone baadae. Solidarity forever!
 
Hulka yetu watanzania tuliowengi hatupendi kulipa kodi kwa hiari ila ni wa kwanza kuilamu serikali pale inaposhindwa kuleta huduma za maendeleo.

Yaani tunafikiri pengine maendeleo yanakuja tu kama mvua ishukavyo kutoka mawinguni au labda kwamba nchi inaweza kujiendesha yenyewe pasipo watu kulipa kodi, jambo ambalo si kweli.

Inashangaza kwamba leo tunalia kwa sababu serikali imetuwekea kodi ya uzalendo kwenye miamala ya simu lakini tunasahau kwamba taifa letu bado ni changa na linakabiliwa na changamoto lukuki zikiwemo changamoto za ubovu wa bara bara mjini na vijijini, changamoto ya maji safi na salama, changamoto ya madawati, changamoto ya walimu, hospitali, madawa, umeme n.k

Kimsingi wa kutatua changamoto hizi ni sisi wenyewe, tusitegemee kwamba kuna mtu kutoka taifa lingine wa kuja kututatulia changamoto zetu. Kumbe sasa inatupasa kufunga mikanda na vibwebwe kisawa sawa ili tuweze kuzitatua, na njia pekee ya kuzitatua ni kupitia kodi.

Hata mataifa yaliyoendelea kama marekani, uingereza, na china hayakufika hapo yalipo hivi hivi nao walipitia ugumu kidogo kama ambavyo sisi tunaona taabu kulipa kodi ya uzalendo kwenye miamala ya simu lakini baada ya muda fulani walizoea na kuona kwamba kulipa kodi ni suala la kawaida na ndio maana wameweza kupiga hatua kubwa kiuchumi na kuwa hapo walipo hii leo. Hata sisi kwakuwa ndio tunaanza mwanzo utakuwa mgumu lakini baadaye tutazoea na hii kodi ya kizalendo tutakuja kuona ni suala la kawaida kabisa.

Nachotaka kuwambia Watanzania wenzangu, tuonyeshe uzalendo tulipe kodi kwa maendeleo ya Taifa letu kwa sababu bila kodi.

• Hakuna bara bara itajengwa
Hakuna hospitali itajengwa,
Hakuna shule itajengwa

• Watoto wetu wataendelea kukaa chini

• Hakutakuwa na pesa za kununua madawa

• Watumishi wa umma watashindwa kupandishwa madaraja ambayo hayajapanda kwa miaka zaidi ya mitano

• Watoto wetu watakosa vipindi kwa sababu serikali haitakuwa na uwezo wa kuajiri walimu

• Mama zetu hospitali watashindwa kujifungua salama kwa sababu serikali haitakuwa na pesa za kuboresha huduma za afya

• Vile vile hata miradi mikubwa tuliyoanzisha kama SGR, SG n.k itakwama kwa sababu ili ikamilike kunahitajika fedha ambazo zinapatikana kupitia wananchi kodi ya wananchi.

Kwahivyo watanzania wenzangu tusione kama serikali haina nia njema na sisi, La hasha! tulipe kodi na tukishalipa kodi sisi kama wananchi tuchukue jukumu la kuisimamia serikali ili kusudi kodi tuliyolipa isipotee bure au kuishia kwenye mifuko ya wachache bali itumike katika malengo yaliyokusudiwa na matunda yake yaonekane.

KODI YA UZALENDO KWA MAENDLEO YA TAIFA.

Naomba kuwasilisha.
Naungana na wewe mkuu, saizi serikali ikisema ianze kukamata watu wasiodai risiti na kutoa risiti mbona watajuta?

Kwanza unaweza kushitakiwa kwa uhujumu uchumi au kutozwa adhabu ya Kati ya 1,000,000 hadi 3,000,000 kwa kitendo tu cha kutodai risiti au kutoa risiti.

Mbaya zaidi watu huwa hawajisumbui kudai risiti na wauzaji hawatoi risiti kwa hiyo kodi stahiki ya serikali inapotea kwa kushirikiana Kati ya mnunuzi na muuzaji.

Sasa kwa tozo za miamala na mafuta itafidia haya mapato yanayopotea vinginevyo watu wachague Kati ya zile adhabu na kukatwa kodi za miamala.

Mwisho hii nchi ina watu walalamishi Sana na wasiotaka kuchangia maendeleo,hao hao wanaolia Lia hapa huko mtaani wanakunywa pombe,wanachangia harusi,wanaenda saruni,wanabadili nguo nk hasa watu wa mjini.

Huko Vijijini ambako Serikali inataka kutumia pesa hizi kutoa unafuu kwa watu wa huko eti wa mjini hawataki.. Serikali msisikilize kelele za wapuuzi wachache ni lazima tujenge utamaduni wa kulipa kodi na Kisha tuulizane tija ya kodi zetu.
 
Hulka yetu watanzania tuliowengi hatupendi kulipa kodi kwa hiari ila ni wa kwanza kuilamu serikali pale inaposhindwa kuleta huduma za maendeleo.

Yaani tunafikiri pengine maendeleo yanakuja tu kama mvua ishukavyo kutoka mawinguni au labda kwamba nchi inaweza kujiendesha yenyewe pasipo watu kulipa kodi, jambo ambalo si kweli.

Inashangaza kwamba leo tunalia kwa sababu serikali imetuwekea kodi ya uzalendo kwenye miamala ya simu lakini tunasahau kwamba taifa letu bado ni changa na linakabiliwa na changamoto lukuki zikiwemo changamoto za ubovu wa bara bara mjini na vijijini, changamoto ya maji safi na salama, changamoto ya madawati, changamoto ya walimu, hospitali, madawa, umeme n.k

Kimsingi wa kutatua changamoto hizi ni sisi wenyewe, tusitegemee kwamba kuna mtu kutoka taifa lingine wa kuja kututatulia changamoto zetu. Kumbe sasa inatupasa kufunga mikanda na vibwebwe kisawa sawa ili tuweze kuzitatua, na njia pekee ya kuzitatua ni kupitia kodi.

Hata mataifa yaliyoendelea kama marekani, uingereza, na china hayakufika hapo yalipo hivi hivi nao walipitia ugumu kidogo kama ambavyo sisi tunaona taabu kulipa kodi ya uzalendo kwenye miamala ya simu lakini baada ya muda fulani walizoea na kuona kwamba kulipa kodi ni suala la kawaida na ndio maana wameweza kupiga hatua kubwa kiuchumi na kuwa hapo walipo hii leo. Hata sisi kwakuwa ndio tunaanza mwanzo utakuwa mgumu lakini baadaye tutazoea na hii kodi ya kizalendo tutakuja kuona ni suala la kawaida kabisa.

Nachotaka kuwambia Watanzania wenzangu, tuonyeshe uzalendo tulipe kodi kwa maendeleo ya Taifa letu kwa sababu bila kodi.

• Hakuna bara bara itajengwa
Hakuna hospitali itajengwa,
Hakuna shule itajengwa

• Watoto wetu wataendelea kukaa chini

• Hakutakuwa na pesa za kununua madawa

• Watumishi wa umma watashindwa kupandishwa madaraja ambayo hayajapanda kwa miaka zaidi ya mitano

• Watoto wetu watakosa vipindi kwa sababu serikali haitakuwa na uwezo wa kuajiri walimu

• Mama zetu hospitali watashindwa kujifungua salama kwa sababu serikali haitakuwa na pesa za kuboresha huduma za afya

• Vile vile hata miradi mikubwa tuliyoanzisha kama SGR, SG n.k itakwama kwa sababu ili ikamilike kunahitajika fedha ambazo zinapatikana kupitia wananchi kodi ya wananchi.

Kwahivyo watanzania wenzangu tusione kama serikali haina nia njema na sisi, La hasha! tulipe kodi na tukishalipa kodi sisi kama wananchi tuchukue jukumu la kuisimamia serikali ili kusudi kodi tuliyolipa isipotee bure au kuishia kwenye mifuko ya wachache bali itumike katika malengo yaliyokusudiwa na matunda yake yaonekane.

KODI YA UZALENDO KWA MAENDLEO YA TAIFA.

Naomba kuwasilisha.
Na bahati nzuri wapiga kelele humu hata huwa hawafuatilii bajeti,, Serikali ilikuawa clear kabisa kwamba wanategemea kukusanya takribani Tilioni 1 kutoka kwenye tozo hizi ambako Kati ya hizo b 600 zinaenda kumtua mama ndoo na zinazobakia zinaenda kujenga madarasa na vituo vya kutolea huduma za afya.

Tozo ya mafuta inaenda kujenga barabara za Vijijini via Tarura sasa kelele za nini?
 
Waangalie namna ya kubalance serikali kupunguza matumizi lakini Kama kila kinachoingia wahuni wanachota, juz bot watu wamechota na hatusikii wakiadhibiwa hela itachukuliwa na bado cha msingi hakitafanyika washenzi tu.
Waliochota si walisimamishwa na PM au? Afu sio kila kinachoenezwa mitandaoni ni sahihi.. wengine ni wahuni wanafanya siasa
 
Tatizo siyo kulipa kodi! Tunachotaka ni Serikali kujisafisha kwanza kabla ya kutuletea hiyo mikodi yao!

Serikali ya CCM kwa miaka mingi inachezea hizo kodi zetu kwa mambo mengi ya kipuuzi. Mfano kununua magari ya kifahari, kuitisha uchaguzi wa marudio, kuendelea kuvikumbatia vyeo vya wakuu wa mikoa, wilaya, nk. Kutamalaki kwa ufisadi, vitendo vya rushwa, utakatishaji fedha, uhujumu uchumi, ubadhirifu na matumizi mabaya ya madaraka, nk.

Mambo haya ndiyo yanayo tufanya tupinge hizi tozo na kodi kandamizi.
Ni kweli lakini tozo za mwaka huu zimeelekezwa kwenye specific areas haziingii kwenye matumizi ya jumla ambapo ni rahisi kuzichezea.
 
Ningeamini hiyo kodi ina umuhimu na maana endapo tu.

Wabunge wangekubali kwa hiari yao wakatwe mshara wa mwezi + posho(Millioni 12)

Walau wafikie mshahara wa mwalimu (500k-700k) minimum.

Pia kwenye mshahara huo wabunge wakubali ukatwe kodi pia kama wakatwavyo walimu.

Na posho za kikao ziwe walau 30k

Hayo mamilioni yatakayobaki ndio uzalendo huo ! Na tunaweza kufanyia issue zingine nyingi za msingi.
Hili ni kundi tawala ambapo kokote kule Duniani wanajipendelea..lakini tukikataa wao hawaumii maana Wana magari, watoto wao wanasoma vizuri,wanawatafutia Kazi kwa hiyo sisi wa chini lazima tujichange kwa stahili hiyo
 
Waambieni Wabunge waonyeshe uzalendo Kwanza kwa kukatwa Kodi.
Hulka yetu watanzania tuliowengi hatupendi kulipa kodi kwa hiari ila ni wa kwanza kuilamu serikali pale inaposhindwa kuleta huduma za maendeleo.

Yaani tunafikiri pengine maendeleo yanakuja tu kama mvua ishukavyo kutoka mawinguni au labda kwamba nchi inaweza kujiendesha yenyewe pasipo watu kulipa kodi, jambo ambalo si kweli.

Inashangaza kwamba leo tunalia kwa sababu serikali imetuwekea kodi ya uzalendo kwenye miamala ya simu lakini tunasahau kwamba taifa letu bado ni changa na linakabiliwa na changamoto lukuki zikiwemo changamoto za ubovu wa bara bara mjini na vijijini, changamoto ya maji safi na salama, changamoto ya madawati, changamoto ya walimu, hospitali, madawa, umeme n.k

Kimsingi wa kutatua changamoto hizi ni sisi wenyewe, tusitegemee kwamba kuna mtu kutoka taifa lingine wa kuja kututatulia changamoto zetu. Kumbe sasa inatupasa kufunga mikanda na vibwebwe kisawa sawa ili tuweze kuzitatua, na njia pekee ya kuzitatua ni kupitia kodi.

Hata mataifa yaliyoendelea kama marekani, uingereza, na china hayakufika hapo yalipo hivi hivi nao walipitia ugumu kidogo kama ambavyo sisi tunaona taabu kulipa kodi ya uzalendo kwenye miamala ya simu lakini baada ya muda fulani walizoea na kuona kwamba kulipa kodi ni suala la kawaida na ndio maana wameweza kupiga hatua kubwa kiuchumi na kuwa hapo walipo hii leo. Hata sisi kwakuwa ndio tunaanza mwanzo utakuwa mgumu lakini baadaye tutazoea na hii kodi ya kizalendo tutakuja kuona ni suala la kawaida kabisa.

Nachotaka kuwambia Watanzania wenzangu, tuonyeshe uzalendo tulipe kodi kwa maendeleo ya Taifa letu kwa sababu bila kodi.

• Hakuna bara bara itajengwa
Hakuna hospitali itajengwa,
Hakuna shule itajengwa

• Watoto wetu wataendelea kukaa chini

• Hakutakuwa na pesa za kununua madawa

• Watumishi wa umma watashindwa kupandishwa madaraja ambayo hayajapanda kwa miaka zaidi ya mitano

• Watoto wetu watakosa vipindi kwa sababu serikali haitakuwa na uwezo wa kuajiri walimu

• Mama zetu hospitali watashindwa kujifungua salama kwa sababu serikali haitakuwa na pesa za kuboresha huduma za afya

• Vile vile hata miradi mikubwa tuliyoanzisha kama SGR, SG n.k itakwama kwa sababu ili ikamilike kunahitajika fedha ambazo zinapatikana kupitia wananchi kodi ya wananchi.

Kwahivyo watanzania wenzangu tusione kama serikali haina nia njema na sisi, La hasha! tulipe kodi na tukishalipa kodi sisi kama wananchi tuchukue jukumu la kuisimamia serikali ili kusudi kodi tuliyolipa isipotee bure au kuishia kwenye mifuko ya wachache bali itumike katika malengo yaliyokusudiwa na matunda yake yaonekane.

KODI YA UZALENDO KWA MAENDLEO YA TAIFA.

Naomba kuwasilisha.
 
Naungana na wewe mkuu, saizi serikali ikisema ianze kukamata watu wasiodai risiti na kutoa risiti mbona watajuta?

Kwanza unaweza kushitakiwa kwa uhujumu uchumi au kutozwa adhabu ya Kati ya 1,000,000 hadi 3,000,000 kwa kitendo tu cha kutodai risiti au kutoa risiti.

Mbaya zaidi watu huwa hawajisumbui kudai risiti na wauzaji hawatoi risiti kwa hiyo kodi stahiki ya serikali inapotea kwa kushirikiana Kati ya mnunuzi na muuzaji.

Sasa kwa tozo za miamala na mafuta itafidia haya mapato yanayopotea vinginevyo watu wachague Kati ya zile adhabu na kukatwa kodi za miamala.

Mwisho hii nchi ina watu walalamishi Sana na wasiotaka kuchangia maendeleo,hao hao wanaolia Lia hapa huko mtaani wanakunywa pombe,wanachangia harusi,wanaenda saruni,wanabadili nguo nk hasa watu wa mjini.

Huko Vijijini ambako Serikali inataka kutumia pesa hizi kutoa unafuu kwa watu wa huko eti wa mjini hawataki.. Serikali msisikilize kelele za wapuuzi wachache ni lazima tujenge utamaduni wa kulipa kodi na Kisha tuulizane tija ya kodi zetu.
Watanzania hatuna dogo mkuu

Watu wanalalamika kulipa kodi lakini wakati huo wanataka nchi ijiendeshe kwa mapato ya ndani.

Serikali ikikopa kutoka nje wanalalamika kwamba nchi inauzwa kwa mabeberu

Tunalalamika kulipa kodi lakini tunataka tulingane na mataifa makubwa kama england, japan, china, USA, canada n.k

Kulipa kodi tunalalamika lakini kwenye kudai maendeleo na huduma za kijamii ni wa kwanza.

Hivi yote haya yatafikiwa vipi kama watu hawako tayari kushikamana kulipa kodi?

Tuache kulalamika watanzania wenzangu, nchi yetu itajengwa na sisi wenyewe
 
Hakuna hela isiyopigwa chini ya utawala wa ccm!! Wananchi tulishapoteza imani kitambo na hawa watawala.
Kwahiyo unashauri nini kifanyike maana ukisema watu wagomee kulipa kodi bado watakaoathirika ni sisi wa hali ya chini kwa sababu ukiuguliwa ukaenda hospitali ukakosa madawa unayeathirika ni wewe hawa wenzako walishajitengenezea brand akiuguliwa nachukua mgonjwa wake anaenda kutibiwa ulaya kwahiyo mambo mengine tujiongeze tu ndugu zangu...Tulipe kodi kwa msitakabali wa maisha yetu na taifa letu
 
Kwahiyo unashauri nini kifanyike maana ukisema watu wagomee kulipa kodi bado watakaoathirika ni sisi wa hali ya chini kwa sababu ukiuguliwa ukaenda hospitali ukakosa madawa unayeathirika ni wewe hawa wenzako walishajitengenezea brand akiuguliwa nachukua mgonjwa wake anaenda kutibiwa ulaya kwahiyo mambo mengine tujiongeze tu ndugu zangu...Tulipe kodi kwa msitakabali wa maisha yetu na taifa letu
Lini ulienda huko hospitali ukakuta dawa? Na ni hospitali gani hiyo!!!
 
Lini ulienda huko hospitali ukakuta dawa? Na ni hospitali gani hiyo!!!
Unamaanisha hospitali zetu zote hazina dawa? Na hao waliolazwa mawodini hadi muda huu wanahudumiwaje kama hamna dawa ?
 
Watu wenye mawazo kama yako ndo wanasababisha waafrika tunaonekana viazi.
 
Hulka yetu watanzania tuliowengi hatupendi kulipa kodi kwa hiari ila ni wa kwanza kuilamu serikali pale inaposhindwa kuleta huduma za maendeleo.

Yaani tunafikiri pengine maendeleo yanakuja tu kama mvua ishukavyo kutoka mawinguni au labda kwamba nchi inaweza kujiendesha yenyewe pasipo watu kulipa kodi, jambo ambalo si kweli.

Inashangaza kwamba leo tunalia kwa sababu serikali imetuwekea kodi ya uzalendo kwenye miamala ya simu lakini tunasahau kwamba taifa letu bado ni changa na linakabiliwa na changamoto lukuki zikiwemo changamoto za ubovu wa bara bara mjini na vijijini, changamoto ya maji safi na salama, changamoto ya madawati, changamoto ya walimu, hospitali, madawa, umeme n.k

Kimsingi wa kutatua changamoto hizi ni sisi wenyewe, tusitegemee kwamba kuna mtu kutoka taifa lingine wa kuja kututatulia changamoto zetu. Kumbe sasa inatupasa kufunga mikanda na vibwebwe kisawa sawa ili tuweze kuzitatua, na njia pekee ya kuzitatua ni kupitia kodi.

Hata mataifa yaliyoendelea kama marekani, uingereza, na china hayakufika hapo yalipo hivi hivi nao walipitia ugumu kidogo kama ambavyo sisi tunaona taabu kulipa kodi ya uzalendo kwenye miamala ya simu lakini baada ya muda fulani walizoea na kuona kwamba kulipa kodi ni suala la kawaida na ndio maana wameweza kupiga hatua kubwa kiuchumi na kuwa hapo walipo hii leo. Hata sisi kwakuwa ndio tunaanza mwanzo utakuwa mgumu lakini baadaye tutazoea na hii kodi ya kizalendo tutakuja kuona ni suala la kawaida kabisa.

Nachotaka kuwambia Watanzania wenzangu, tuonyeshe uzalendo tulipe kodi kwa maendeleo ya Taifa letu kwa sababu bila kodi.

• Hakuna bara bara itajengwa
Hakuna hospitali itajengwa,
Hakuna shule itajengwa

• Watoto wetu wataendelea kukaa chini

• Hakutakuwa na pesa za kununua madawa

• Watumishi wa umma watashindwa kupandishwa madaraja ambayo hayajapanda kwa miaka zaidi ya mitano

• Watoto wetu watakosa vipindi kwa sababu serikali haitakuwa na uwezo wa kuajiri walimu

• Mama zetu hospitali watashindwa kujifungua salama kwa sababu serikali haitakuwa na pesa za kuboresha huduma za afya

• Vile vile hata miradi mikubwa tuliyoanzisha kama SGR, SG n.k itakwama kwa sababu ili ikamilike kunahitajika fedha ambazo zinapatikana kupitia wananchi kodi ya wananchi.

Kwahivyo watanzania wenzangu tusione kama serikali haina nia njema na sisi, La hasha! tulipe kodi na tukishalipa kodi sisi kama wananchi tuchukue jukumu la kuisimamia serikali ili kusudi kodi tuliyolipa isipotee bure au kuishia kwenye mifuko ya wachache bali itumike katika malengo yaliyokusudiwa na matunda yake yaonekane.

KODI YA UZALENDO KWA MAENDLEO YA TAIFA.

Naomba kuwasilisha.
Mpuuz we
 
Back
Top Bottom