ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Kwanini waondolewe ? kama mwenyekiti angekuwa imara haya usinge yaona nakwambia , kuna wakati watu walikuwa imara CCM wakawa hawana la kufanya, wakati ule Dr Getrude Buriani anapigwa chini na Lema pale Arusha unafikiri ilikuwa rahisi HAPANA uongozi kuanzia juu ulikuwa imara sanaWanapoondolewa wagombea wa upinzani hamuongei yakija matokeo mnakuja Kama wajinga wasiojua kuwa ccm wamepita bila kupingwa?
Wewe udhaifu wa Mbowe huoni? mpaka hapa Chama kina hali mbaya unataka alaumiwe nani? kutoka Chama cha kuunda kambi rasmi ya upinzani bungeni hadi wabunge wa COVID 19 , timu ikishindwa kufanya vizuri anatolewa kocha sio wachezaji, hivyo hivyo ni wakati wa Mbowe kukaa pembeni kuja watu ambao wanaweza kwenda na kasi ya sasa, kuendelea kumkumbatia Mbowe nikujiletea kifo kwenye ChamaUnaepiga ramli ni wewe ambae unashindwa kusema nini hasa ni udhaifu wa Mbowe. Katika siasa huyo unaemuita Mzee bado ni kijana.
Chadema wakiona Mbowe hawafai tena watamuacha kwa heshima na adabu. Na yeye mwenyewe akijiona hana jipya katika cheo alichonacho hatakigombea katika uchaguzi ujao.
Amandla...
Huyu Mbowe anawatesa sana. Mmetangaza kifo cha chama chake lakini wamo. Mmewafunga, mmewapiga risasi, mmewapiga matofali, mmewazushia mambo lakini bado hamjiamini kuwa mnaweza kushinda bila mkono wa Mungu! Ni jambo la aibu.Wewe udhaifu wa Mbowe huoni? mpaka hapa Chama kina hali mbaya unataka alaumiwe nani? kutoka Chama cha kuunda kambi rasmi ya upinzani bungeni hadi wabunge wa COVID 19 , timu ikishindwa kufanya vizuri anatolewa kocha sio wachezaji, hivyo hivyo ni wakati wa Mbowe kukaa pembeni kuja watu ambao wanaweza kwenda na kasi ya sasa, kuendelea kumkumbatia Mbowe nikujiletea kifo kwenye Chama
Hizi sio zama zile. Hao viongozi imara unaowasema wameisha unga juhudi. Waliobaki ni wakina Mbowe ambao ni wabishi. Na hilo linawasumbua sana.Kwanini waondolewe ? kama mwenyekiti angekuwa imara haya usinge yaona nakwambia , kuna wakati watu walikuwa imara CCM wakawa hawana la kufanya, wakati ule Dr Getrude Buriani anapigwa chini na Lema pale Arusha unafikiri ilikuwa rahisi HAPANA uongozi kuanzia juu ulikuwa imara sana
😆😆😆limbwataChadema hawashauriki haswa ukimtaja mbowe wao ndio unawatibua zaidi kwaio ni kuwaacha tu
Mbowe hana ubishi wowote kwasasa ndio maana Chama kimerudi enzi ya kale, apishe watu wengine walete mawazo mapyaHizi sio zama zile. Hao viongozi imara unaowasema wameisha unga juhudi. Waliobaki ni wakina Mbowe ambao ni wabishi. Na hilo linawasumbua sana.
Amandla...
Wewe unaleta ushabiki , mimi nakupa uhalisia ni wakati sahihi sasa Mbowe kupisha watu wengine kufanya maamuzi juu ya ChamaHuyu Mbowe anawatesa sana. Mmetangaza kifo cha chama chake lakini wamo. Mmewafunga, mmewapiga risasi, mmewapiga matofali, mmewazushia mambo lakini bado hamjiamini kuwa mnaweza kushinda bila mkono wa Mungu! Ni jambo la aibu.
Amandla...
Tupe mfano wa hayo mawazo mapya.Mbowe hana ubishi wowote kwasasa ndio maana Chama kimerudi enzi ya kale, apishe watu wengine walete mawazo mapya
Shabiki ni wewe maana zaidi ya kulalama haujatoa mchango wowote wa maana. Swali ni hao wengine ni wakina nani wakati wote wako pamoja nae! Na hayo mawazo mbadala ni yapi?Wewe unaleta ushabiki , mimi nakupa uhalisia ni wakati sahihi sasa Mbowe kupisha watu wengine kufanya maamuzi juu ya Chama
Ngoja tuone minyukano hii itaishajeKwanini waondolewe ? kama mwenyekiti angekuwa imara haya usinge yaona nakwambia , kuna wakati watu walikuwa imara CCM wakawa hawana la kufanya, wakati ule Dr Getrude Buriani anapigwa chini na Lema pale Arusha unafikiri ilikuwa rahisi HAPANA uongozi kuanzia juu ulikuwa imara sana
Demokrasia ni endelevu hata Marekani bado hajakomaa kidemokrasia.Kwamba miaka thelathini ya uwenyekiti wake haijatosha kuimarisha Demokrasia?
anzisha chama chako au chenu..uimara wa chadema ni uongoz wa mbowe... uimara wa ccm ni matumizi ya polisiUkitaka uonekane huna akili na mazombi ya Mbowe, wewe sema Mbowe atoke pale kwenye uenyekiti, mimi naungana na wadau wengine muda umefika Mbowe kupisha akili mpya
Uzuri ni kwamba, kwenye ushindi wa Serikali za mitaa, je, VAR zilizokuwepo zinaonyesha wazi kosa liko ndani ya 18 au nje ya box? Kama zimeonyesha sahihi, basi yawezekana ni kama kamera za Azam kwenye ligi kuu. Hazinaga ushawishi kwa refaMbowe bado anahitajika Chadema kwa usalama na uhai wake. Mawakala wa CCM ndio wanataka Mbowe aondoke, asiondoke abaki hadi demokrasia itengemae nchini.
Wanatumia nguvu kubwa kwenye mambo madogoHivi kwa structures za sasa, kuna mtu alitegemea matokea tofauti na tunayoyaona?
Mimi ntamshangaa mwana CCM kufurahia haya matokeo. It was expected. No surprises.
Mbuzi hawezi pata ushindi mahakama ya fisi,wanatia aibu kwa taifaUzuri ni kwamba, kwenye ushindi wa Serikali za mitaa, je, VAR zilizokuwepo zinaonyesha wazi kosa liko ndani ya 18 au nje ya box? Kama zimeonyesha sahihi, basi yawezekana ni kama kamera za Azam kwenye ligi kuu. Hazinaga ushawishi kwa refa
Nakuunga mikono yote na miguuKatiba mpya bora ni muhimu ili tuwe na chaguzi huru na haki kweri kweri !
Au nasema uongo ndugu zanguni ???!!
SawaNa kimsingi yanareflect kitu kuhusu CCM na si CDM.
Miaka karibu 8 ya CDM kutaabishwa bado ikiingia kwenye uchaguzi inapata viti?
CCM wanapaswa kujitafakari sana.
Uimara huko wapi chama kinaelekea kuzimu? amka wewe Chama kinakufaanzisha chama chako au chenu..uimara wa chadema ni uongoz wa mbowe... uimara wa ccm ni matumizi ya polisi