binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Na kimsingi yanareflect kitu kuhusu CCM na si CDM.Hivi kwa structures za sasa, kuna mtu alitegemea matokea tofauti na tunayoyaona?
Mimi ntamshangaa mwana CCM kufurahia haya matokeo. It was expected. No surprises.
Miaka karibu 8 ya CDM kutaabishwa bado ikiingia kwenye uchaguzi inapata viti?
CCM wanapaswa kujitafakari sana.