Kwa Kitendo cha Basi letu Simba SC jana kurudi Kinyumenyume tukibatizwa Jina baya tuwe Wavumilivu tu

Kwa Kitendo cha Basi letu Simba SC jana kurudi Kinyumenyume tukibatizwa Jina baya tuwe Wavumilivu tu

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Star Times wana Channel yao Moja niipendayo ya ( ihusuyo ) Wanyama na Maisha yao na kuna Siku niliona Simba Jike anarudi Kinyumenyume vile vile tayari kwa Shughuli Maalum na Simba Dume.

Na kinachoniumiza zaidi MINOCYCLINE ni Kitendo cha Jana Basi la Simba SC kurudi Kinyumenyume vile huku tukiwa tunaenda Kukutana na Waarabu ambao ni Watekelezaji wazuri wa Watu wanaopenda kurudi Kinyumenyume vile.

Hiki Kitendo cha Basi la Simba SC lililobeba Wachezaji wa Simba SC jana kuendeshwa ( kurudi ) Kinyumenyume vile wana Simba SC tujiandae Kubatizwa Majina mabaya na ya Kuudhi ila tuwe Wavumilivu kwani Waliotuponza na Viongozi wetu Waandamizi kwani Wao badala ya Kuiandaa Timu Kisayansi na Kimkakati wakaamua Kuwekeza muda wao mwingi katika Ulozi / Uchawi.

Tumejidhalilisha, tumejidhalilisha nchi na tumeuchafua mno Mpira wetu kwani baada ya lile Tukio la Aibu tulilofanya Afrika Kusini la Kuwasha Moto Kiuchawi katikati ya Uwanja ( na bado tukafungwa Gongo Nne ) jana kwa Upumbavu ule ule tumefanya Kituko kingine cha Basi kurejea ( kurudi ) Kinyumenyume na bado Mwarabu Katukandamizia Goli za Idadi ya Condoms katika Pakiti yake.

Tumebakiza Kunya tu kwa Mkapa.

Hovyo kabisa.....!!!!!!
 
Star Times wana Channel yao Moja niipendayo ya ( ihusuyo ) Wanyama na Maisha yao na kuna Siku niliona Simba Jike anarudi Kinyumenyume vile vile tayari kwa Shughuli Maalum na Simba Dume.

Na kinachoniumiza zaidi MINOCYCLINE ni Kitendo cha Jana Basi la Simba SC kurudi Kinyumenyume vile huku tukiwa tunaenda Kukutana na Waarabu ambao ni Watekelezaji wazuri wa Watu wanaopenda kurudi Kinyumenyume vile.

Hiki Kitendo cha Basi la Simba SC lililobeba Wachezaji wa Simba SC jana kuendeshwa ( kurudi ) Kinyumenyume vile wana Simba SC tujiandae Kubatizwa Majina mabaya na ya Kuudhi ila tuwe Wavumilivu kwani Waliotuponza na Viongozi wetu Waandamizi kwani Wao badala ya Kuiandaa Timu Kisayansi na Kimkakati wakaamua Kuwekeza muda wao mwingi katika Ulozi / Uchawi.

Tumejidhalilisha, tumejidhalilisha nchi na tumeuchafua mno Mpira wetu kwani baada ya lile Tukio la Aibu tulilofanya Afrika Kusini la Kuwasha Moto Kiuchawi katikati ya Uwanja ( na bado tukafungwa Gongo Nne ) jana kwa Upumbavu ule ule tumefanya Kituko kingine cha Basi kurejea ( kurudi ) Kinyumenyume na bado Mwarabu Katukandamizia Goli za Idadi ya Condoms katika Pakiti yake.

Tumebakiza Kunya tu kwa Mkapa.

Hovyo kabisa.....!!!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana aisee [emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana aisee [emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Ukicheka Wewe ndiyo Furaha yangu MINOCYCLINE nikiamini nimekuongezea Siku zako za Kuishi.
 
Genta wewe una ID ngapi hapa JF?Halafu ni rahisi sana kujulikana kutokàna na uandishi wako na mapenzi yako kwa Simba.
Yeye ni Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer na Mimi ni Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person sasa itakuwaje akawa ni Mtu Mmoja?
 
Star Times wana Channel yao Moja niipendayo ya ( ihusuyo ) Wanyama na Maisha yao na kuna Siku niliona Simba Jike anarudi Kinyumenyume vile vile tayari kwa Shughuli Maalum na Simba Dume.

Na kinachoniumiza zaidi MINOCYCLINE ni Kitendo cha Jana Basi la Simba SC kurudi Kinyumenyume vile huku tukiwa tunaenda Kukutana na Waarabu ambao ni Watekelezaji wazuri wa Watu wanaopenda kurudi Kinyumenyume vile.

Hiki Kitendo cha Basi la Simba SC lililobeba Wachezaji wa Simba SC jana kuendeshwa ( kurudi ) Kinyumenyume vile wana Simba SC tujiandae Kubatizwa Majina mabaya na ya Kuudhi ila tuwe Wavumilivu kwani Waliotuponza na Viongozi wetu Waandamizi kwani Wao badala ya Kuiandaa Timu Kisayansi na Kimkakati wakaamua Kuwekeza muda wao mwingi katika Ulozi / Uchawi.

Tumejidhalilisha, tumejidhalilisha nchi na tumeuchafua mno Mpira wetu kwani baada ya lile Tukio la Aibu tulilofanya Afrika Kusini la Kuwasha Moto Kiuchawi katikati ya Uwanja ( na bado tukafungwa Gongo Nne ) jana kwa Upumbavu ule ule tumefanya Kituko kingine cha Basi kurejea ( kurudi ) Kinyumenyume na bado Mwarabu Katukandamizia Goli za Idadi ya Condoms katika Pakiti yake.

Tumebakiza Kunya tu kwa Mkapa.

Hovyo kabisa.....!!!!!!
Simba acheni uchawi. Fanyeni uwekezaji
 
Star Times wana Channel yao Moja niipendayo ya ( ihusuyo ) Wanyama na Maisha yao na kuna Siku niliona Simba Jike anarudi Kinyumenyume vile vile tayari kwa Shughuli Maalum na Simba Dume.

Na kinachoniumiza zaidi MINOCYCLINE ni Kitendo cha Jana Basi la Simba SC kurudi Kinyumenyume vile huku tukiwa tunaenda Kukutana na Waarabu ambao ni Watekelezaji wazuri wa Watu wanaopenda kurudi Kinyumenyume vile.

Hiki Kitendo cha Basi la Simba SC lililobeba Wachezaji wa Simba SC jana kuendeshwa ( kurudi ) Kinyumenyume vile wana Simba SC tujiandae Kubatizwa Majina mabaya na ya Kuudhi ila tuwe Wavumilivu kwani Waliotuponza na Viongozi wetu Waandamizi kwani Wao badala ya Kuiandaa Timu Kisayansi na Kimkakati wakaamua Kuwekeza muda wao mwingi katika Ulozi / Uchawi.

Tumejidhalilisha, tumejidhalilisha nchi na tumeuchafua mno Mpira wetu kwani baada ya lile Tukio la Aibu tulilofanya Afrika Kusini la Kuwasha Moto Kiuchawi katikati ya Uwanja ( na bado tukafungwa Gongo Nne ) jana kwa Upumbavu ule ule tumefanya Kituko kingine cha Basi kurejea ( kurudi ) Kinyumenyume na bado Mwarabu Katukandamizia Goli za Idadi ya Condoms katika Pakiti yake.

Tumebakiza Kunya tu kwa Mkapa.

Hovyo kabisa.....!!!!!!
Wewe nawe kila dakika unafungua useless thread
 
Back
Top Bottom