Kwa Kitendo cha Basi letu Simba SC jana kurudi Kinyumenyume tukibatizwa Jina baya tuwe Wavumilivu tu

Kwa Kitendo cha Basi letu Simba SC jana kurudi Kinyumenyume tukibatizwa Jina baya tuwe Wavumilivu tu

Star Times wana Channel yao Moja niipendayo ya ( ihusuyo ) Wanyama na Maisha yao na kuna Siku niliona Simba Jike anarudi Kinyumenyume vile vile tayari kwa Shughuli Maalum na Simba Dume.

Na kinachoniumiza zaidi MINOCYCLINE ni Kitendo cha Jana Basi la Simba SC kurudi Kinyumenyume vile huku tukiwa tunaenda Kukutana na Waarabu ambao ni Watekelezaji wazuri wa Watu wanaopenda kurudi Kinyumenyume vile.

Hiki Kitendo cha Basi la Simba SC lililobeba Wachezaji wa Simba SC jana kuendeshwa ( kurudi ) Kinyumenyume vile wana Simba SC tujiandae Kubatizwa Majina mabaya na ya Kuudhi ila tuwe Wavumilivu kwani Waliotuponza na Viongozi wetu Waandamizi kwani Wao badala ya Kuiandaa Timu Kisayansi na Kimkakati wakaamua Kuwekeza muda wao mwingi katika Ulozi / Uchawi.

Tumejidhalilisha, tumejidhalilisha nchi na tumeuchafua mno Mpira wetu kwani baada ya lile Tukio la Aibu tulilofanya Afrika Kusini la Kuwasha Moto Kiuchawi katikati ya Uwanja ( na bado tukafungwa Gongo Nne ) jana kwa Upumbavu ule ule tumefanya Kituko kingine cha Basi kurejea ( kurudi ) Kinyumenyume na bado Mwarabu Katukandamizia Goli za Idadi ya Condoms katika Pakiti yake.

Tumebakiza Kunya tu kwa Mkapa.

Hovyo kabisa.....!!!!!!
Unarudi kinyumenyume ukiwa unaelekea aliko muarabu, UNATEGEMEA NINI..!!??

CC Bantu Lady , Kalpana
 
Ndiyo alikuwa Dereva wa Basi la Jana la Simba SC lililokuwa likirudi Kinyumenyume vile huku Mwarabu akisubiri Kushindilia zote Tatu Fasta Fasta au?
Wacha mpigwe kabisa Simba na Yanga maana nyie humu nchini huwa mnashinda kwa michongo lkn mkienda Kimataifa ndo hivyo.......kwa namna hiyo mpira hauwez kuendelea Tz kamwe hatuwezi na leo Yanga nae atapigwa nyingi tu kuanzia 2
 
Wacha mpigwe kabisa Simba na Yanga maana nyie humu nchini huwa mnashinda kwa michongo lkn mkienda Kimataifa ndo hivyo.......kwa namna hiyo mpira hauwez kuendelea Tz kamwe hatuwezi na leo Yanga nae atapigwa nyingi tu kuanzia 2
We usifananishe Yanga na vitu vya kijinga..!!! Unatufananishaje na madunduka? Unatufananishe na wa nguvu moja kwenda kinyumenyume?
 
Hivi kuna nyanja katika jamii yetu ambapo ushirikina haufanyiki? Unafki tu wa Watanzania. Au kwa kuwa hili limefanyika waziwazi?
 
Star Times wana Channel yao Moja niipendayo ya ( ihusuyo ) Wanyama na Maisha yao na kuna Siku niliona Simba Jike anarudi Kinyumenyume vile vile tayari kwa Shughuli Maalum na Simba Dume.

Na kinachoniumiza zaidi MINOCYCLINE ni Kitendo cha Jana Basi la Simba SC kurudi Kinyumenyume vile huku tukiwa tunaenda Kukutana na Waarabu ambao ni Watekelezaji wazuri wa Watu wanaopenda kurudi Kinyumenyume vile.

Hiki Kitendo cha Basi la Simba SC lililobeba Wachezaji wa Simba SC jana kuendeshwa ( kurudi ) Kinyumenyume vile wana Simba SC tujiandae Kubatizwa Majina mabaya na ya Kuudhi ila tuwe Wavumilivu kwani Waliotuponza na Viongozi wetu Waandamizi kwani Wao badala ya Kuiandaa Timu Kisayansi na Kimkakati wakaamua Kuwekeza muda wao mwingi katika Ulozi / Uchawi.

Tumejidhalilisha, tumejidhalilisha nchi na tumeuchafua mno Mpira wetu kwani baada ya lile Tukio la Aibu tulilofanya Afrika Kusini la Kuwasha Moto Kiuchawi katikati ya Uwanja ( na bado tukafungwa Gongo Nne ) jana kwa Upumbavu ule ule tumefanya Kituko kingine cha Basi kurejea ( kurudi ) Kinyumenyume na bado Mwarabu Katukandamizia Goli za Idadi ya Condoms katika Pakiti yake.

Tumebakiza Kunya tu kwa Mkapa.

Hovyo kabisa.....!!!!!!
Sema tu unataka kuitungia jina timu yako
 
Star Times wana Channel yao Moja niipendayo ya ( ihusuyo ) Wanyama na Maisha yao na kuna Siku niliona Simba Jike anarudi Kinyumenyume vile vile tayari kwa Shughuli Maalum na Simba Dume.

Na kinachoniumiza zaidi MINOCYCLINE ni Kitendo cha Jana Basi la Simba SC kurudi Kinyumenyume vile huku tukiwa tunaenda Kukutana na Waarabu ambao ni Watekelezaji wazuri wa Watu wanaopenda kurudi Kinyumenyume vile.

Hiki Kitendo cha Basi la Simba SC lililobeba Wachezaji wa Simba SC jana kuendeshwa ( kurudi ) Kinyumenyume vile wana Simba SC tujiandae Kubatizwa Majina mabaya na ya Kuudhi ila tuwe Wavumilivu kwani Waliotuponza na Viongozi wetu Waandamizi kwani Wao badala ya Kuiandaa Timu Kisayansi na Kimkakati wakaamua Kuwekeza muda wao mwingi katika Ulozi / Uchawi.

Tumejidhalilisha, tumejidhalilisha nchi na tumeuchafua mno Mpira wetu kwani baada ya lile Tukio la Aibu tulilofanya Afrika Kusini la Kuwasha Moto Kiuchawi katikati ya Uwanja ( na bado tukafungwa Gongo Nne ) jana kwa Upumbavu ule ule tumefanya Kituko kingine cha Basi kurejea ( kurudi ) Kinyumenyume na bado Mwarabu Katukandamizia Goli za Idadi ya Condoms katika Pakiti yake.

Tumebakiza Kunya tu kwa Mkapa.

Hovyo kabisa.....!!!!!!
DC58F39E-FA40-4CB6-916D-3FE53DE7A11C.jpeg


Kwa match zilibaki hii ndio option ya pekee
Imagine team nzima inaenda kwa ajili ya hili🤣🤣🤣🤣
 
Genta wewe una ID ngapi hapa JF?Halafu ni rahisi sana kujulikana kutokàna na uandishi wako na mapenzi yako kwa Simba.
Jinsi popoma ameandika uzi imekaa kisomi sana dizaini ni kama vile ni mwanaYanga aliejivisha ngozi ya Simba! Kwa desturi wanasimba hujisifia sana kuwa wako fit hadi dakika ya mwisho Mnyama Yuko kibla anachinjwa Bado ananguruma tu!!

Popoma Ameandika lugha mbaya ambayo mwananchi hawezi kuandika kuiponda utopolo yake halikadhalika kwa Makolo fc.

Inawezekana Popoma Mino amehamia Yanga kinyemela baada ya Babu Onyango Jana kutokana na ulevi wake wa asili wa mirungi kukosa akili ya mpira na kushindwa kukaba mpira na badala yake kuishia kumshika mtu

na kama Popoma amehamia Utopolo akili ziko sawa na Wala si ajabu sana yeye kuhamia UTO , wako kina Senzo, Barbara ( mdomoni Simba moyoni Yanga + Hersi), Manara, Diamond Platnumz, Magu ( moyoni) etc, hawa ni watu wanaojitambua Huwa hawashabikii ujinga na vitu vibovu kama Simba hii!
 
Back
Top Bottom