mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,297
- 13,678
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe una faili milembeImeshapenya hiyo Kudadadeki zako.
Lako lilifutwa lini?Kumbe una faili milembe
Nyie Makolo tunawajueni siku nyingi ulozi na nyie ni sawa na uji na mgonjwa😂Star Times wana Channel yao Moja niipendayo ya ( ihusuyo ) Wanyama na Maisha yao na kuna Siku niliona Simba Jike anarudi Kinyumenyume vile vile tayari kwa Shughuli Maalum na Simba Dume.
Na kinachoniumiza zaidi MINOCYCLINE ni Kitendo cha Jana Basi la Simba SC kurudi Kinyumenyume vile huku tukiwa tunaenda Kukutana na Waarabu ambao ni Watekelezaji wazuri wa Watu wanaopenda kurudi Kinyumenyume vile.
Hiki Kitendo cha Basi la Simba SC lililobeba Wachezaji wa Simba SC jana kuendeshwa ( kurudi ) Kinyumenyume vile wana Simba SC tujiandae Kubatizwa Majina mabaya na ya Kuudhi ila tuwe Wavumilivu kwani Waliotuponza na Viongozi wetu Waandamizi kwani Wao badala ya Kuiandaa Timu Kisayansi na Kimkakati wakaamua Kuwekeza muda wao mwingi katika Ulozi / Uchawi.
Tumejidhalilisha, tumejidhalilisha nchi na tumeuchafua mno Mpira wetu kwani baada ya lile Tukio la Aibu tulilofanya Afrika Kusini la Kuwasha Moto Kiuchawi katikati ya Uwanja ( na bado tukafungwa Gongo Nne ) jana kwa Upumbavu ule ule tumefanya Kituko kingine cha Basi kurejea ( kurudi ) Kinyumenyume na bado Mwarabu Katukandamizia Goli za Idadi ya Condoms katika Pakiti yake.
Tumebakiza Kunya tu kwa Mkapa.
Hovyo kabisa.....!!!!!!
Mpira ni kuwekeza, uchawi haufanyi kazi.Star Times wana Channel yao Moja niipendayo ya ( ihusuyo ) Wanyama na Maisha yao na kuna Siku niliona Simba Jike anarudi Kinyumenyume vile vile tayari kwa Shughuli Maalum na Simba Dume.
Na kinachoniumiza zaidi MINOCYCLINE ni Kitendo cha Jana Basi la Simba SC kurudi Kinyumenyume vile huku tukiwa tunaenda Kukutana na Waarabu ambao ni Watekelezaji wazuri wa Watu wanaopenda kurudi Kinyumenyume vile.
Hiki Kitendo cha Basi la Simba SC lililobeba Wachezaji wa Simba SC jana kuendeshwa ( kurudi ) Kinyumenyume vile wana Simba SC tujiandae Kubatizwa Majina mabaya na ya Kuudhi ila tuwe Wavumilivu kwani Waliotuponza na Viongozi wetu Waandamizi kwani Wao badala ya Kuiandaa Timu Kisayansi na Kimkakati wakaamua Kuwekeza muda wao mwingi katika Ulozi / Uchawi.
Tumejidhalilisha, tumejidhalilisha nchi na tumeuchafua mno Mpira wetu kwani baada ya lile Tukio la Aibu tulilofanya Afrika Kusini la Kuwasha Moto Kiuchawi katikati ya Uwanja ( na bado tukafungwa Gongo Nne ) jana kwa Upumbavu ule ule tumefanya Kituko kingine cha Basi kurejea ( kurudi ) Kinyumenyume na bado Mwarabu Katukandamizia Goli za Idadi ya Condoms katika Pakiti yake.
Tumebakiza Kunya tu kwa Mkapa.
Hovyo kabisa.....!!!!!!
Kama iliyowapa hela za kodi janaSerikali ya gamboshi au serikali gani?
Juzi uliandika hivi:Tumejidhalilisha, tumejidhalilisha nchi na tumeuchafua mno Mpira wetu kwani baada ya lile Tukio la Aibu tulilofanya Afrika Kusini la Kuwasha Moto Kiuchawi katikati ya Uwanja ( na bado tukafungwa Gongo Nne ) jana kwa Upumbavu ule ule tumefanya Kituko kingine cha Basi kurejea ( kurudi ) Kinyumenyume
Kwa tulichokifanya Mwenyezi Mungu tunakuomba utusamehe kwani hakuna namna tunahitaji Ushindi Kesho.
Mnamtegea makalio waarabu nyie😅😅😅 kha mna roho ngumu sana....Kama iliyowapa hela za kodi jana
Ila mna mambo ya kiwaki nyiee...kwahyo waarabu walikula moshi wa lile basi? Maana lilikua kalio la basi sio kalio la mtu...au mtu ndo alikua anarudi kinyume nyume...Mnamtegea makalio waarabu nyie😅😅😅 kha mna roho ngumu sana....
Kwahiyo Thimba siku hizi ni kinyume na ..,Star Times wana Channel yao Moja niipendayo ya ( ihusuyo ) Wanyama na Maisha yao na kuna Siku niliona Simba Jike anarudi Kinyumenyume vile vile tayari kwa Shughuli Maalum na Simba Dume.
Na kinachoniumiza zaidi MINOCYCLINE ni Kitendo cha Jana Basi la Simba SC kurudi Kinyumenyume vile huku tukiwa tunaenda Kukutana na Waarabu ambao ni Watekelezaji wazuri wa Watu wanaopenda kurudi Kinyumenyume vile.
Hiki Kitendo cha Basi la Simba SC lililobeba Wachezaji wa Simba SC jana kuendeshwa ( kurudi ) Kinyumenyume vile wana Simba SC tujiandae Kubatizwa Majina mabaya na ya Kuudhi ila tuwe Wavumilivu kwani Waliotuponza na Viongozi wetu Waandamizi kwani Wao badala ya Kuiandaa Timu Kisayansi na Kimkakati wakaamua Kuwekeza muda wao mwingi katika Ulozi / Uchawi.
Tumejidhalilisha, tumejidhalilisha nchi na tumeuchafua mno Mpira wetu kwani baada ya lile Tukio la Aibu tulilofanya Afrika Kusini la Kuwasha Moto Kiuchawi katikati ya Uwanja ( na bado tukafungwa Gongo Nne ) jana kwa Upumbavu ule ule tumefanya Kituko kingine cha Basi kurejea ( kurudi ) Kinyumenyume na bado Mwarabu Katukandamizia Goli za Idadi ya Condoms katika Pakiti yake.
Tumebakiza Kunya tu kwa Mkapa.
Hovyo kabisa.....!!!!!!
Ni watu wa SimbaIla mna mambo ya kiwaki nyiee...kwahyo waarabu walikula moshi wa lile basi? Maana lilikua kalio la basi sio kalio la mtu...au mtu ndo alikua anarudi kinyume nyume...