Kwa Kitendo cha Basi letu Simba SC jana kurudi Kinyumenyume tukibatizwa Jina baya tuwe Wavumilivu tu

Kwa Kitendo cha Basi letu Simba SC jana kurudi Kinyumenyume tukibatizwa Jina baya tuwe Wavumilivu tu

Shabiki uchwara wewe,ko basi huwa halirudi nyuma ???watu wengine akili sjui huwa ziko matakoni asee
 
Ni mbwembwe tu za mchezo, anyesema ni uchawi basi na yeye ni mchawi.
Kwani gia ya reverse imewekwa kwa ajiri gani ?
 
Star Times wana Channel yao Moja niipendayo ya ( ihusuyo ) Wanyama na Maisha yao na kuna Siku niliona Simba Jike anarudi Kinyumenyume vile vile tayari kwa Shughuli Maalum na Simba Dume.

Na kinachoniumiza zaidi MINOCYCLINE ni Kitendo cha Jana Basi la Simba SC kurudi Kinyumenyume vile huku tukiwa tunaenda Kukutana na Waarabu ambao ni Watekelezaji wazuri wa Watu wanaopenda kurudi Kinyumenyume vile.

Hiki Kitendo cha Basi la Simba SC lililobeba Wachezaji wa Simba SC jana kuendeshwa ( kurudi ) Kinyumenyume vile wana Simba SC tujiandae Kubatizwa Majina mabaya na ya Kuudhi ila tuwe Wavumilivu kwani Waliotuponza na Viongozi wetu Waandamizi kwani Wao badala ya Kuiandaa Timu Kisayansi na Kimkakati wakaamua Kuwekeza muda wao mwingi katika Ulozi / Uchawi.

Tumejidhalilisha, tumejidhalilisha nchi na tumeuchafua mno Mpira wetu kwani baada ya lile Tukio la Aibu tulilofanya Afrika Kusini la Kuwasha Moto Kiuchawi katikati ya Uwanja ( na bado tukafungwa Gongo Nne ) jana kwa Upumbavu ule ule tumefanya Kituko kingine cha Basi kurejea ( kurudi ) Kinyumenyume na bado Mwarabu Katukandamizia Goli za Idadi ya Condoms katika Pakiti yake.

Tumebakiza Kunya tu kwa Mkapa.

Hovyo kabisa.....!!!!!!
Nyie Makolo tunawajueni siku nyingi ulozi na nyie ni sawa na uji na mgonjwa😂
 
Star Times wana Channel yao Moja niipendayo ya ( ihusuyo ) Wanyama na Maisha yao na kuna Siku niliona Simba Jike anarudi Kinyumenyume vile vile tayari kwa Shughuli Maalum na Simba Dume.

Na kinachoniumiza zaidi MINOCYCLINE ni Kitendo cha Jana Basi la Simba SC kurudi Kinyumenyume vile huku tukiwa tunaenda Kukutana na Waarabu ambao ni Watekelezaji wazuri wa Watu wanaopenda kurudi Kinyumenyume vile.

Hiki Kitendo cha Basi la Simba SC lililobeba Wachezaji wa Simba SC jana kuendeshwa ( kurudi ) Kinyumenyume vile wana Simba SC tujiandae Kubatizwa Majina mabaya na ya Kuudhi ila tuwe Wavumilivu kwani Waliotuponza na Viongozi wetu Waandamizi kwani Wao badala ya Kuiandaa Timu Kisayansi na Kimkakati wakaamua Kuwekeza muda wao mwingi katika Ulozi / Uchawi.

Tumejidhalilisha, tumejidhalilisha nchi na tumeuchafua mno Mpira wetu kwani baada ya lile Tukio la Aibu tulilofanya Afrika Kusini la Kuwasha Moto Kiuchawi katikati ya Uwanja ( na bado tukafungwa Gongo Nne ) jana kwa Upumbavu ule ule tumefanya Kituko kingine cha Basi kurejea ( kurudi ) Kinyumenyume na bado Mwarabu Katukandamizia Goli za Idadi ya Condoms katika Pakiti yake.

Tumebakiza Kunya tu kwa Mkapa.

Hovyo kabisa.....!!!!!!
Mpira ni kuwekeza, uchawi haufanyi kazi.
 
Waarabu wanapenda Sana michezo ya nyuma, kosa kubwa mlilofanya Simba ni kumpa ishara mwarab atumie mitandao yote, naye bila hiyana katumia kweli.
 
Tumejidhalilisha, tumejidhalilisha nchi na tumeuchafua mno Mpira wetu kwani baada ya lile Tukio la Aibu tulilofanya Afrika Kusini la Kuwasha Moto Kiuchawi katikati ya Uwanja ( na bado tukafungwa Gongo Nne ) jana kwa Upumbavu ule ule tumefanya Kituko kingine cha Basi kurejea ( kurudi ) Kinyumenyume
Juzi uliandika hivi:

Kwa tulichokifanya Mwenyezi Mungu tunakuomba utusamehe kwani hakuna namna tunahitaji Ushindi Kesho.
 
Mnamtegea makalio waarabu nyie😅😅😅 kha mna roho ngumu sana....
Ila mna mambo ya kiwaki nyiee...kwahyo waarabu walikula moshi wa lile basi? Maana lilikua kalio la basi sio kalio la mtu...au mtu ndo alikua anarudi kinyume nyume...
 
  • Kicheko
Reactions: Exy
Star Times wana Channel yao Moja niipendayo ya ( ihusuyo ) Wanyama na Maisha yao na kuna Siku niliona Simba Jike anarudi Kinyumenyume vile vile tayari kwa Shughuli Maalum na Simba Dume.

Na kinachoniumiza zaidi MINOCYCLINE ni Kitendo cha Jana Basi la Simba SC kurudi Kinyumenyume vile huku tukiwa tunaenda Kukutana na Waarabu ambao ni Watekelezaji wazuri wa Watu wanaopenda kurudi Kinyumenyume vile.

Hiki Kitendo cha Basi la Simba SC lililobeba Wachezaji wa Simba SC jana kuendeshwa ( kurudi ) Kinyumenyume vile wana Simba SC tujiandae Kubatizwa Majina mabaya na ya Kuudhi ila tuwe Wavumilivu kwani Waliotuponza na Viongozi wetu Waandamizi kwani Wao badala ya Kuiandaa Timu Kisayansi na Kimkakati wakaamua Kuwekeza muda wao mwingi katika Ulozi / Uchawi.

Tumejidhalilisha, tumejidhalilisha nchi na tumeuchafua mno Mpira wetu kwani baada ya lile Tukio la Aibu tulilofanya Afrika Kusini la Kuwasha Moto Kiuchawi katikati ya Uwanja ( na bado tukafungwa Gongo Nne ) jana kwa Upumbavu ule ule tumefanya Kituko kingine cha Basi kurejea ( kurudi ) Kinyumenyume na bado Mwarabu Katukandamizia Goli za Idadi ya Condoms katika Pakiti yake.

Tumebakiza Kunya tu kwa Mkapa.

Hovyo kabisa.....!!!!!!
Kwahiyo Thimba siku hizi ni kinyume na ..,
 
Ila mna mambo ya kiwaki nyiee...kwahyo waarabu walikula moshi wa lile basi? Maana lilikua kalio la basi sio kalio la mtu...au mtu ndo alikua anarudi kinyume nyume...
Ni watu wa Simba
 
Back
Top Bottom