Kwa Kitendo cha Kocha wa Kagera Sugar FC Baraza Kupiga Picha leo na Makocha wa Yanga SC Nabi na Kaze, kuna haja ya Kusubiria Matokeo?

Kwa Kitendo cha Kocha wa Kagera Sugar FC Baraza Kupiga Picha leo na Makocha wa Yanga SC Nabi na Kaze, kuna haja ya Kusubiria Matokeo?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Naomba Mdau yoyote yule mwenye Picha za Makocha wa Timu za Ligi za Ulaya au hata tu za Misri na Afrika Kusini ambao wakiwa wanacheza Kesho yake basi hukutana kwa kupiga stori Mbili Tatu na kama pia Kimchezo huwa inaruhusiwa.

Asante sana Kocha Mkuu wa Kagera Sugar FC Baraza kwa Kutuandaa mapema Kisaikolojia kwa Matokeo ya Kesho ambapo Watu wa Mpira ( tena huu wa Kibongo na wenye Umafia mwingi ) akina Mightier tumeshajua kuwa Kesho Yanga SC anashinda ila idadi tu ya Magoli ndiyo hatujaijua.

Halafu mnataka Soka la Bongo likue!!!!
 
Cha umbea umeeudi. Utaandika sana uzi msimu huu. Umeacha kuleta uzi wako uliotoa ahadi utaleta ya jikoni kuhusu uongozi wako wa Simba mbovu yamekushinda unadandia mambo ya Yanga. Msimu huu kazi unayo
Kwa kikosi kile cha Simba Huyu ataandia mpka vidole vichubuke.Hakuna chochote anachojua ni mropokaji tu huyu na ukute ashasahau alichoropoka
 
Cha umbea umeeudi. Utaandika sana uzi msimu huu. Umeacha kuleta uzi wako uliotoa ahadi utaleta ya jikoni kuhusu uongozi wako wa Simba mbovu yamekushinda unadandia mambo ya Yanga. Msimu huu kazi unayo
Kumbe Wapumbavu Waandamizi mliokuwa mnasubiria kwa hamu zote nije na hiyo Taarifa niliyowaahidi ( ikiwa ni sehemu yangu ya Mkakati wa Kisaikolojia wa Kuhamisha Akili za wana Yanga SC wengi waliokuwa Wamenipania hapa JamiiForums ) mpo na mlikuwa wengi mno wakiongozwa na Wewe? Pole na Poleni sana.
 
Na vile Mwamedi anavyopenda mapicha picha, it's a matter of time kabla nae hajaomba kupiga picha na Khalid Aucho, huku Barbara nae akitaka picha na Djigui Diarra!
 
Mbona me sijaona hiyo picha? Embu ilete shekhe.
Nikichosikia ni kwamba Baraza anajisifia kuwa match ya Makolo na Yanga kwao Huwa rahisi. Tuletee picha mkuu
 
Kumbe Wapumbavu Waandamizi mliokuwa mnasubiria kwa hamu zote nije na hiyo Taarifa niliyowaahidi ( ikiwa ni sehemu yangu ya Mkakati wa Kisaikolojia wa Kuhamisha Akili za wana Yanga SC wengi waliokuwa Wamenipania hapa JamiiForums ) mpo na mlikuwa wengi mno wakiongozwa na Wewe? Pole na Poleni sana.
Hata kama hiyo ndio ilikua nia yako aibadilishi matokeo ya kile kimoko cha fiston mayele
 
Na vile Mwamedi anavyopenda mapicha picha, it's a matter of time kabla nae hajaomba kupiga picha na Khalid Aucho, huku Barbara nae akitaka picha na Djigui Diarra!
naskia kashazira huko.
 
Back
Top Bottom