Kwa kitendo cha kuwachukua ma handsome boys wetu walaaniwe Waarabu na Wazungu

Kwa kitendo cha kuwachukua ma handsome boys wetu walaaniwe Waarabu na Wazungu

Imaana hujawai kukutana anaekutosheleza mpaka unatynanga wote humu kana kwamba ulishatembea na sisi wote humu, shika abadu yako nayo ukushike kisawasawa kuna siku na saa usoijua wala kuitarajia utakutana na mwenye hizo nguvu za kiume pichu utavaalia sebreni nakuambia we zaidisha dharau tu
Hii generation ndiyo iliindoka na nguvu za kiume Afrika
 
mkuu kwani umepatwa na nini mbona kama una jazba sana.
Inasikitisha sana kuwaona kaka zangu mko radhi hata kutafuna jongoo mbichi mkisikia anaongeza nguvu za kiume.
 
Wapumbafu sana hawa watu weupe sasaivi ndo wanajua kuna haki za binadam wakat wao ndo wezi wa ralimali zetu bara la afrika lote utajili wao wqmeuiba kweti laiki leo wanajimwambafay na matamko kila mara yasiyo na mashiko ushoga huko huko kwenu mtuache.... Nina mengi ya kiandika ila ngoja niishie hapa nahis machoz kunidondoka[emoji22][emoji22]
Baada ya wao kufanya uvunjifu wa kupindukia wa haki za binadamu wakajenga uchumi na miji yao ndo wanatuletae mambo ya: Uhuru wa habari, haki ya kujieleza, wanafunzi wafanye ngono na waruhusiwe madarasani, ngono za jinsia moja, kukataza viboko mashuleni, n.k. Kimsingi haki inaenda na wajibu na kizazi ufundishwa na kuridhishwa, jambo ambalo si lelemama! Maendeleo hayaji kwa kuchekacheka lazima nidhamu na mipaka ya Uhuru iheshimiwe
 
Inasikitisha sana kuwaona kaka zangu mko radhi hata kutafuna jongoo mbichi mkisikia anaongeza nguvu za kiume.
kwakweli inasikitisha ila mimi namlaumu boyfriend/mumeo kakufanyia nini leo mbona kama hauko sawa...
 
Back
Top Bottom