anti-negative energy
Senior Member
- Apr 13, 2019
- 114
- 71
👊Statistics zinasemaje kuhusu kuongezeka kwa population kati ya hizo generation na hii generation? Ukipata jibu hapo utajua kua ni generation ipi ndio ilikua na hizo nguvu za kiume.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
👊Statistics zinasemaje kuhusu kuongezeka kwa population kati ya hizo generation na hii generation? Ukipata jibu hapo utajua kua ni generation ipi ndio ilikua na hizo nguvu za kiume.
Hii generation ndiyo iliindoka na nguvu za kiume Afrika
........😀shenzi wewe kwaiyo sisi tumebaki na nguvu za kutembelea au?Hii generation ndiyo iliindoka na nguvu za kiume Afrika
Hii generation ndiyo iliindoka na nguvu za kiume Afrika
naweza kukusumbua kukupa maswali mawili matatu maana unaonekana ni history scholar mzuri sana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji126]
mkuu kwani umepatwa na nini mbona kama una jazba sana.Hii generation ndiyo iliindoka na nguvu za kiume Afrika
sahihi kabisa.ukiwa na bwawa ni ngumu sana kupata size yako kwa sasa
Baada ya wao kufanya uvunjifu wa kupindukia wa haki za binadamu wakajenga uchumi na miji yao ndo wanatuletae mambo ya: Uhuru wa habari, haki ya kujieleza, wanafunzi wafanye ngono na waruhusiwe madarasani, ngono za jinsia moja, kukataza viboko mashuleni, n.k. Kimsingi haki inaenda na wajibu na kizazi ufundishwa na kuridhishwa, jambo ambalo si lelemama! Maendeleo hayaji kwa kuchekacheka lazima nidhamu na mipaka ya Uhuru iheshimiwe
Hii generation ndiyo iliindoka na nguvu za kiume Afrika
kwakweli inasikitisha ila mimi namlaumu boyfriend/mumeo kakufanyia nini leo mbona kama hauko sawa...Inasikitisha sana kuwaona kaka zangu mko radhi hata kutafuna jongoo mbichi mkisikia anaongeza nguvu za kiume.
kweli ngozi nyeusi imetumika kwa namna moja au nyingine kukuza uchumi wa America na Ulaya
Slave trade ndiyo ilichangia ndoa za mitala. Uwiano wa wanawake na wanaume ulikuwa na pengo kubwa.Siku zote huwa najiuliza kuwa, what if slave trade isingekuwepo! Africa leo tungekuwa kiasi gani by Population?
Sent using Jamii Forums mobile app
whatever but the point is how many?Not only Europe they were also transported to South and North America and in Arab countries.
haikuwa bishara ile dada angu kwa upande wetu Africa ivi njia walizotumia kutupata ni za kibiashara? Ambush , and kidnapping is it trade?Slave trade ndiyo ilichangia ndoa za mitala. Uwiano wa wanawake na wanaume ulikuwa na pengo kubwa.