Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wao ilikuwa biashara yenye faida ziadi ya 100%haikuwa bishara ile dada angu kwa upande wetu Africa ivi njia walizotumia kutupata ni za kibiashara? Ambush , and kidnapping is it trade?
Sent using Jamii Forums mobile app
During imperialist ilikuwa sawa tu walikuwa wanatafuta pakutuachia.Wapumbafu sana hawa watu weupe sasaivi ndo wanajua kuna haki za binadam wakat wao ndo wezi wa ralimali zetu bara la afrika lote utajili wao wqmeuiba kweti laiki leo wanajimwambafay na matamko kila mara yasiyo na mashiko ushoga huko huko kwenu mtuache.... Nina mengi ya kiandika ila ngoja niishie hapa nahis machoz kunidondoka[emoji22][emoji22]
We cheka tu. Siku wakidinyu mpaka basi . Usije kuniona kwa kuwa ni daktari utashonwa nyuzi 6[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji126]
biashara kiaje kwani walinunua hao watumwa au waliwakamata tu?Kwa wao ilikuwa biashara yenye faida ziadi ya 100%
Hata Arabuni waliuzwa na walihasiwa ndiyo maana hawakuzaliana kama Marekani. Ulaya wengi walifanywa shields kwenye WWIHistory yangu ya form 2 nakumbuka waarabu walikuwa wanawateka au kuwalaghai hafu ndo wanauzwa kwa wazungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Slave trade ndiyo ilichangia ndoa za mitala. Uwiano wa wanawake na wanaume ulikuwa na pengo kubwa.
Hii generation ndiyo iliindoka na nguvu za kiume Afrika
We mshenzi sana! Huo uhuru wa kujieleza ndio uliokuweka hapa unajigamba mitandaoni na hiyo tekno yako chafu!Baada ya wao kufanya uvunjifu wa kupindukia wa haki za binadamu wakajenga uchumi na miji yao ndo wanatuletae mambo ya: Uhuru wa habari, haki ya kujieleza, wanafunzi wafanye ngono na waruhusiwe madarasani, ngono za jinsia moja, kukataza viboko mashuleni, n.k. Kimsingi haki inaenda na wajibu na kizazi ufundishwa na kuridhishwa, jambo ambalo si lelemama! Maendeleo hayaji kwa kuchekacheka lazima nidhamu na mipaka ya Uhuru iheshimiwe
Mbona huko Tanganyika kuna mashoga kibao wamejaa kila kona ya nchi!Wapumbafu sana hawa watu weupe sasaivi ndo wanajua kuna haki za binadam wakat wao ndo wezi wa ralimali zetu bara la afrika lote utajili wao wqmeuiba kweti laiki leo wanajimwambafay na matamko kila mara yasiyo na mashiko ushoga huko huko kwenu mtuache.... Nina mengi ya kiandika ila ngoja niishie hapa nahis machoz kunidondoka[emoji22][emoji22]
Sisi je?Hii generation ndiyo iliindoka na nguvu za kiume Afrika
Dada yangu bado unaangaika na nguvu za kiume? Duh! Mbona wanaume lijali tupo wengi? Nikikubananisha kwenye 18 mbona utaomba poo! Acha kutunanga wanaume bwana! Uoni population ya watz inaongezeka mpaka 60mil. Hii ni kazi yetu mabaharia aturembeshi tuko kazini! Njooo PM tuyajenge!Hii generation ndiyo iliindoka na nguvu za kiume Afrika
Unajua sisi Waafrica tuna upumbafu mwingi sana kichwani, matatizo mengi tunayo yasababisha sisi lawama tunawatupia wazunguMbona huko Tanganyika kuna mashoga kibao wamejaa kila kona ya nchi!
Unaposema "wazungu wabaki na ushoga wao" unamaanisha nini!
Hawa mashoga ninaowaona humo Tanganyika ni wahamiaji haramu kutoka kwa mabeberu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli inashangaza!Unajua sisi Waafrica tuna upumbafu mwingi sana kichwani, matatizo mengi tunayo yasababisha sisi lawama tunawatupia wazungu
Sent from my iPhone 12 using Jamiiforums App
Baada ya wao kufanya uvunjifu wa kupindukia wa haki za binadamu wakajenga uchumi na miji yao ndo wanatuletae mambo ya: Uhuru wa habari, haki ya kujieleza, wanafunzi wafanye ngono na waruhusiwe madarasani, ngono za jinsia moja, kukataza viboko mashuleni, n.k. Kimsingi haki inaenda na wajibu na kizazi ufundishwa na kuridhishwa, jambo ambalo si lelemama! Maendeleo hayaji kwa kuchekacheka lazima nidhamu na mipaka ya Uhuru iheshimiwe