Kwa kizazi hiki inawezekana kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu?

Kwa kizazi hiki inawezekana kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu?

Sister Abigail

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2020
Posts
2,886
Reaction score
9,088
Salaam wakuu,

Imenibidi nihoji maana generetion yetu sio poa.sio walio kwenye ndoa sio walio kwenye mahusiano ya kawaida, sio wachumba kukosa uaminifu imekuwa kitu Cha kawaida sana.hadi naogopa.

Kuna visa nimesoma na kushuhudia vingi,zaidi sana matukio vinanifikirisha

Kucheat imekuwa kitu Cha kawaida sana,kupasiana maradhi imekuwa kitu Cha kawaida sana,hasa Kwa Sasa magonjwa ni mengi sanaa. Mara pangusa, mara HIV, gonorrhea, na mengine mengi utaponea wapi ukiwa na mwenza asiejua uaminifu?

Kupakazia mimba imekuwa kawaida wengi wanalea watotot sio wao ila hawajui (poleni wanaume)

Ni sawa binadamu kaumbiwa moyo wenye kutamani,sawa.basi mlinde angalau mwenzio.

Unaopoa changudoa unapiga bila Kinga unarudi nyumbani unampasia mkeo gonjwa ulookota huko.
Sawa una shida ya pesa labda au umependa kijana huko nje umechepuka tumia Kinga unakuja kumbwagia mwenzio ndani mimba sio yake huku unajua kabisa.

Ukiacha magonjwa au mimba Kuna vifo. Ukosefu wa uaminifu ni matokeo ya migogoro endelevu Kwa baadhi hupelekea kufanyiana ukatili.

TUWE NA UTU.KAMA HUWEZI KUJIZUIA CHUKUA TAHADHARI BASI.MLINDE MWENZA WAKO NA JITAHIDI KUFICHA UHUNI WAKO
 
Salaam wakuu
Imenibidi nihoji maana generetion yetu sio poa.sio walio kwenye ndoa sio walio kwenye mahusiano ya kawaida,sio wachumba kukosa uaminifu imekuwa kitu Cha kawaida sana.hadi naogopa.
Kuna visa nimesoma na kushuhudia vingi,zaidi sana matukio vinanifikirisha
Kucheat imekuwa kitu Cha kawaida sana,kupasiana maradhi imekuwa kitu Cha kawaida sana,hasa Kwa Sasa magonjwa ni mengi sanaa.mara pangusa,mara HIV, gonorrhea,Na mengine mengi utaponea wapi ukiwa na mwenza asiejua uaminifu?
Kupakazia mimba imekuwa kawaida wengi wanalea watotot sio wao ila hawajui (poleni wanaume)

Ni sawa binadamu kaumbiwa moyo wenye kutamani,sawa.basi mlinde angalau mwenzio.
Unaopoa changudoa unapiga bila Kinga unarudi nyumbani unampasia mkeo gonjwa ulookota huko.
Sawa una shida ya pesa labda au umependa kijana huko nje umechepuka tumia Kinga unakuja kumbwagia mwenzio ndani mimba sio yake huku unajua kabisa.

Ukiacha magonjwa au mimba Kuna vifo.ukosefu wa uaminifu ni matokeo ya migogoro endelevu Kwa baadhi hupelekea kufanyiana ukatili.

TUWE NA UTU.KAMA HUWEZI KUJIZUIA CHUKUA TAHADHARI BASI.MLINDE MWENZA WAKO NA JITAHIDI KUFICHA UHUNI WAKO
Hatari sana... ila raha ya haya mambo huwa kunakua na unafuu sana mkipatana wote mnavibe mfanano yaani urafiki wenu ni mkubwa kuliko wa nje so kuna namna fulani hivi ya mianya inakua rahisi kuzibwa.
 
Salaam wakuu
Imenibidi nihoji maana generetion yetu sio poa.sio walio kwenye ndoa sio walio kwenye mahusiano ya kawaida,sio wachumba kukosa uaminifu imekuwa kitu Cha kawaida sana.hadi naogopa.
Kuna visa nimesoma na kushuhudia vingi,zaidi sana matukio vinanifikirisha
Kucheat imekuwa kitu Cha kawaida sana,kupasiana maradhi imekuwa kitu Cha kawaida sana,hasa Kwa Sasa magonjwa ni mengi sanaa.mara pangusa,mara HIV, gonorrhea,Na mengine mengi utaponea wapi ukiwa na mwenza asiejua uaminifu?
Kupakazia mimba imekuwa kawaida wengi wanalea watotot sio wao ila hawajui (poleni wanaume)

Ni sawa binadamu kaumbiwa moyo wenye kutamani,sawa.basi mlinde angalau mwenzio.
Unaopoa changudoa unapiga bila Kinga unarudi nyumbani unampasia mkeo gonjwa ulookota huko.
Sawa una shida ya pesa labda au umependa kijana huko nje umechepuka tumia Kinga unakuja kumbwagia mwenzio ndani mimba sio yake huku unajua kabisa.

Ukiacha magonjwa au mimba Kuna vifo.ukosefu wa uaminifu ni matokeo ya migogoro endelevu Kwa baadhi hupelekea kufanyiana ukatili.

TUWE NA UTU.KAMA HUWEZI KUJIZUIA CHUKUA TAHADHARI BASI.MLINDE MWENZA WAKO NA JITAHIDI KUFICHA UHUNI WAKO
Wa kazi gani sasa huyo mmoja mwaminifu?
 
Kuna tofauti ya cheat na lier,zamani kulikuwa hakuna mitandao ya kijamii ndiyo maana tunadhani ulaghai katika mapenzi haukuwepo. Ila kwa sasa mitandao ya kijamii inafanya tuone kuwa wapenzi wa kweli hawapo. Ashakum, si tusi! Ila ukweli ni kwamba watu waamifu wapo wengi na wamejaa na walaghai wapo wengi wamejaa.
 
Kuna girlfriend wangu leo kanpgia anaomba tuonane kanimiss na aliolewa na ana mtoto mmoja sshv ,nmemuambia lkn c umeshaolewa!? Anajbu mm nliolewa na mtu nisiempenda.

Hvo bdo ananihtaji sana, sasa nikawaza hv na mm nkj kuoa kuna ujinga wa hv tena daah!! Yan mtu yupo ndoani unamuomba akuzalie na anakubali! Nyie had naogopa.
 
Salaam wakuu
Imenibidi nihoji maana generetion yetu sio poa.sio walio kwenye ndoa sio walio kwenye mahusiano ya kawaida,sio wachumba kukosa uaminifu imekuwa kitu Cha kawaida sana.hadi naogopa.
Kuna visa nimesoma na kushuhudia vingi,zaidi sana matukio vinanifikirisha
Kucheat imekuwa kitu Cha kawaida sana,kupasiana maradhi imekuwa kitu Cha kawaida sana,hasa Kwa Sasa magonjwa ni mengi sanaa.mara pangusa,mara HIV, gonorrhea,Na mengine mengi utaponea wapi ukiwa na mwenza asiejua uaminifu?
Kupakazia mimba imekuwa kawaida wengi wanalea watotot sio wao ila hawajui (poleni wanaume)

Ni sawa binadamu kaumbiwa moyo wenye kutamani,sawa.basi mlinde angalau mwenzio.
Unaopoa changudoa unapiga bila Kinga unarudi nyumbani unampasia mkeo gonjwa ulookota huko.
Sawa una shida ya pesa labda au umependa kijana huko nje umechepuka tumia Kinga unakuja kumbwagia mwenzio ndani mimba sio yake huku unajua kabisa.

Ukiacha magonjwa au mimba Kuna vifo.ukosefu wa uaminifu ni matokeo ya migogoro endelevu Kwa baadhi hupelekea kufanyiana ukatili.

TUWE NA UTU.KAMA HUWEZI KUJIZUIA CHUKUA TAHADHARI BASI.MLINDE MWENZA WAKO NA JITAHIDI KUFICHA UHUNI WAKO
Ni possible kabisa, wapo watu safi na wema , changamoto is wapo wachache, na demand yao ni kubwa
 
Kuna girlfriend wangu leo kanpgia anaomba tuonane kanimiss na aliolewa na ana mtoto mmoja sshv ,nmemuambia lkn c umeshaolewa!? Anajbu mm nliolewa na mtu nisiempenda.

Hvo bdo ananihtaji sana, sasa nikawaza hv na mm nkj kuoa kuna ujinga wa hv tena daah!! Yan mtu yupo ndoani unamuomba akuzalie na anakubali! Nyie had naogopa.
Ukiskia umeoa mke wa mtu ndio hii sasa. Swala la mahusiano halijawahi kueleweka na halitowahi kueleweka abadani.
 
Haya mambo yalikuwepo toka kitambo tu,sema vijana wa siku hizi hawajui kutunza siri,

Ushahidi upo hata humu JF mtu hata akikutana na mdada wa JF tu nje ya JF anakuja kumfungulia uzi,

Zamani watoto wa nje ya ndoa walijulikana pale anapofariki Baba yao,pia maradhi hayakua mengi,

Sababu nyingine,wakati huu ni wakati wa utandawazi,mambo yamekua rahisi sana kupata mwingine muda wowote ule,ni hela yako tu.
 
Back
Top Bottom