realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 3,925
- 8,853
Tunajaribu kuona kama itawezekanaHaya mambo yalikuwepo toka kitambo tu,sema vijana wa siku hizi hawajui kutunza siri,
Ushahidi upo hata humu JF mtu hata akikutana na mdada wa JF tu nje ya JF anakuja kumfungulia uzi,
Zamani watoto wa nje ya ndoa walijulikana pale anapofariki Baba yao,pia maradhi hayakua mengi,
Sababu nyingine,wakati huu ni wakati wa utandawazi,mambo yamekua rahisi sana kupata mwingine muda wowote ule,ni hela yako tu.