Tunajaribu kuona kama itawezekanaHaya mambo yalikuwepo toka kitambo tu,sema vijana wa siku hizi hawajui kutunza siri,
Ushahidi upo hata humu JF mtu hata akikutana na mdada wa JF tu nje ya JF anakuja kumfungulia uzi,
Zamani watoto wa nje ya ndoa walijulikana pale anapofariki Baba yao,pia maradhi hayakua mengi,
Sababu nyingine,wakati huu ni wakati wa utandawazi,mambo yamekua rahisi sana kupata mwingine muda wowote ule,ni hela yako tu.
Waaminifu tupo,Tunajaribu kuona kama itawezekana
Nlikwambia natafuta mkuu🙄?Kama hujapata bado mwaminifu, nipo hapa
Najua nipo kwenye kundi ganiKipimo cha uaminifu ni wewe mwenyewe jiangalie Upo kwenye kundi gani
Inakuwa bahati nasibu..na binadamu tunajua KUFICHA makuchaInawezekana mkuu ila ubahatike
Sisis ni binadamu.tumepewa ufahamu tofauti na wanyamaHili ni suala mtambuka, yaani HALITATULIKI.
Sisi ni wanyama, njaa, kiu na ngono lazima vituendeshe kama wanyama wengine.
😅
Hakuna kuficha makucha kwenye suala la uzinzi hata ufanyeje ipo siku utajulikana tu.Inakuwa bahati nasibu..na binadamu tunajua KUFICHA makucha
Uhuni huwa haufichiki mkuu 🤣CHUKUA TAHADHARI BASI.MLINDE MWENZA WAKO NA JITAHIDI KUFICHA UHUNI WAKO
Ndio ukweli.ila waaminifu naamini wapoUtapewa wa kufanana nae! Sema bn kutulia nae ngumu kama mshkaji wako katulia bas jua ana hali ngumu kiuchumi, ana misimamo ya kidini au madhaifu ya kibioz
Comment yangu isiguswe
Unafichika bwana...mnajisahau tu na kujiachia kupitilizaUhuni huwa haufichiki mkuu 🤣
Sawa basi tulindane.kurisk Maisha ya mwenzio kisa tamaa zako sio sawaHaiwezekani. Ingia ukijua at any time "t", the unthinkables will happen
NimekuelewaSister Abigail una jina la mwanangu wewe.
Well,wapo waaminifu na wenye maadili lakini muhimu inabidi muhusika mwenyewe kama kijana kuanza yeye kuonyesha uaminifu kwa vitendo kwa mwenzake the same kwa wewe binti.
Na pia ni namna mioyo inavyomungana.muaminifu anaungana kipanga,mwaminifu mwingine anaungana na mwaminifu.hiyo ya kwanza lazima alie mtuNi possible kabisa, wapo watu safi na wema , changamoto is wapo wachache, na demand yao ni kubwa
Wa kumlpeleka sabasaba maonyesho tukamwoneWa kazi gani sasa huyo mmoja mwaminifu?