Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaaah wapiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️Na mabikra ndo siye...kwani mnawataka wa ainagaje?
SitoiMtatoa tu
Masinglemom ndo tumejaa mjini na mnazidi kuzalisha...sasa mtakimbilia wapi? Mabikra ndo sisi sisi🤒Aaaah wapiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Haya🤣🤭Sitoi
single mom mwenye mtoto mmoja ndo bikra wa sasa😂 kwaio sisi ndio tukooooooooo 🙌🏾😂Masinglemom ndo tumejaa mjini na mnazidi kuzalisha...sasa mtakimbilia wapi? Mabikra ndo sisi sisi🤒
Wanasema kupanga kuchagua. Huwezi kunishawishi walikuwa hawajuani, tabia zipo wazi. Hazifichiki bwana, labda useme walichaguliwa wenza. Kuna kuteleza na kuna ambao wao ni kuanguka tu kila siku, hiyo ni tabia sasa. Utaijua tuAaaah wapi ingekuwa hivo ndoa zisingekuwa zinavunjika
Tatizo linaanzia pale ambapo malaya kaolewa na simp au binti mwema kaolewa na womanizer ndo kazi ilipo hapo sasa
Wahindi wana hiyo, sisi tunayo hii wazungu(baadhi) hawanaKwa hiyo wazazi wa kijana ndio hawatakiwi kupewa hiyo shukrani ya kumlea kijana wao mpaka akafikia umri wa kuoa au??
Nipe sababu za msingi ambazo hazina mfungamano wowote na dini ni kwanini tusiwe na groom price kama ambavyo tuna bride price?
SawaWanasema kupanga kuchagua. Huwezi kunishawishi walikuwa hawajuani, tabia zipo wazi. Hazifichiki bwana, labda useme walichaguliwa wenza. Kuna kuteleza na kuna ambao wao ni kuanguka tu kila siku, hiyo ni tabia sasa. Utaijua tu
Watawaoa akina half american hukosingle mom mwenye mtoto mmoja ndo bikra wa sasa😂 kwaio sisi ndio tukooooooooo 🙌🏾😂
Sawa shemu 🤸♂️🤸♂️🤝🤝Mshikamane😉
OkayShemu? Tangu lini...Kuna undugu gani kati yenu? Makubwa 🙌
😘😘😘ndoa ya mahakama tuSina shida mm niko na sweery wangu hatutaki stress 🤣🤣
Hutaki ya dini babe😘😘😘ndoa ya mahakama tu
Ingekuwa poa sana mwanawane mana ile hela ya mahari mnaenda enjoy huko honeymoonThamani ya mwanamke
Hivi ingekuwa mwanamke anolewa bila ya mahari ingekuwaje?
wala hatukatai 😌Watawaoa akina half american huko
Islam au christianHutaki ya dini babe