Ni kabila lenu au unatashi tu wazazi wako ndio hawawezi kupokea mahariMkristo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kabila lenu au unatashi tu wazazi wako ndio hawawezi kupokea mahariMkristo
Wazazi ndo wanasema ivo furaha yanguNi kabila lenu au unatashi tu wazazi wako ndio hawawezi kupokea mahari
Wazazi wako wamekomaa kiakiliWazazi ndo wanasema ivo furaha yangu
kwanza ili siku mambo ya kishindikana na rudi kwetu kwa amani
😂😂thanksWazazi wako wamekomaa kiakili
Tatizo Umri Umri dogo.
Safi sana.Mwanamke asiyekuwa na Bikira hapaswi kutolewa mahari,yaani wanaume wengine wakugeuze kopo la kukojolea halafu Mimi ndiye nikutolee mahari!
Nitatoa mahari Kwa mwanamke mwenye Bikira tu!,nikikuta umepigwa na Mimi nitapiga Kisha nasepa kama walivyosepa wengine!