Kwa kizazi hiki na tabia za sasa kuna umuhimu gani wa kupoteza fedha nyingi kutoa mahari?

Kwa kizazi hiki na tabia za sasa kuna umuhimu gani wa kupoteza fedha nyingi kutoa mahari?

hakuna cha umri bana wewe, sema.mnakumbatia upumbavu ambao umesha enea, kwahyo huko zamani waliokuwa wanatumia hicho kigezo walikuwa wadogo ?, tena hata wewe hukuepo?

Tatizo Umri Umri dogo.
 
Mwanamke asiyekuwa na Bikira hapaswi kutolewa mahari,yaani wanaume wengine wakugeuze kopo la kukojolea halafu Mimi ndiye nikutolee mahari!

Nitatoa mahari Kwa mwanamke mwenye Bikira tu!,nikikuta umepigwa na Mimi nitapiga Kisha nasepa kama walivyosepa wengine!
Safi sana.
 
Back
Top Bottom