Kwa kuangalia uchangiaji wa mada nimegundua watumiaji wengi wa JF hutumia device za maofisini mwao

[emoji419][emoji419]nakazia
 
Namm nilifanya utafiti kama huu miaka kadhaa iliyopita namm nikathibitisha pasipo kuacha shaka watu wengi wanaingia humu kwa kutumia nyenzo za mwajili mf. umeme, kompyuta, simu, "indaneti" kama alivyosema mtoa mada ila sio kesi acha maisha yaende. hoja ya eti wikendi wanaenda shambani ni km hoja ya yanga na mamelodi tu
 

Na kwa nini isiwe kwamba wakati wa weekend watu hujikita kwenye kufanya shughuli zao binafsi, hivyo kukosa muda wa kulog in hapa...
 
Kwa uzoefu, weekend watu wanakuwa kwenye majukumu ya kijamii na kula bata. Sio rahisi kuanza kuhangaika na chit chat ama JF garage.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…