Kwa kumbukumbu tu kuna wakati Bashe wa CCM na Sugu Chadema waliweza kuongea lugha moja bungeni lakini hawakusikilizwa!

Kwa kumbukumbu tu kuna wakati Bashe wa CCM na Sugu Chadema waliweza kuongea lugha moja bungeni lakini hawakusikilizwa!

Kwanini unawapangia cha kusema, kama wakanushe au wakiri,
si wao wenyewe wana ufahamu? Asione tissue ni mazwazwa.hata kimya ni jibu.
Kuna mtu yoyote amempangia mtu cha kusema?. Kushauri ndio kupangia?.

Jee wajua wakati wa Dr. Ulimboka Jack Zoka akiwa acting DGIS akizungumza na media.

Silence is the admission of guilt!.
P
 
Back
Top Bottom