Where do your publish your papers?? Mnazo PhD, hivi what kind of researches you did?
A steel mill and a decent road from Ludewa will add steel per capital consumption in Tanzania. Reduce imports and add more money from more exports generated. Hizo pesa in the long run zingejenga viwanja vingi vya ndege.
Huyo mjinga, mwenye fake PhD publication, has been a construction Minster for decades, sector hiyo ndiyo back bone ya nchi yoyote kwa uchumi wa Taifa. At least angeweka hiyo sector mikononi mwa wananchi wa Tanzania. Lakini 5 years gone, hiyo sector bado ipo chini ya wageni, sasa hivi baada ya kuwa chini ya wazungu sasa Wachina wanacontrol 100%. Na yeye huyo mjinga, anasema anatwala nchi wakati uchumi wote wa construction revenue unaenda nje. That money goes out. If MECCO was the owner of these projects then that money will remain here and raise the standard of our middle class.
My question again where do you publish your papers you bigots!!