Siyo sawa hata chembeTanzania inaihitaji Rwanda ( tena hasa kwa Akili zao kubwa walizobarikiwa nazo na Mwenyezi Mungu ) kuliko ambavyo Rwanda inaihitaji Tanzania yako ( yenu ) sawa?
Ungekuwa Mnyarwanda usingekuwa 'brainless' hivi hata hivyo kwakuwa umetokea Taifa la Waswahili wenye Wivu na Chuki dhidi ya Taifa Barikiwa la Rwanda wala sikushangai.Mwanzoni kipindi fulani hivi nilikuwa nakuonaga kama akili kubwa ila kumbe bonge la zoba [emoji16][emoji16]
So far hii ndiyo post Bora katika Uzi huu.Kagame hawezi kushirikiana na mataputapu!
Tanzania kuna Uweledi? Nithibitishie,...!!Tanzania ikifuata weledi haina cha kujifunza kutoka kwa hizo nchi
Popoma hathibitishiwi kitu chochote kile hadi damuTanzania kuna Uweledi? Nithibitishie,...!!
Mbona wapo wengi huko SSIT na ZTWJ?Yule mlinzi nyuma ya mama Mnyaru 👍.
Mkuu usiihate Rwanda yote, kuna madem wakali sana kule.RWANDA NCHI MWIZI WA MALI ZA DRC HAKUNA LA KUIGA HUKO,ZAIDI YA LABDA AIGE UKANDAMIZAJI WA RAIA,NA INTELLEGENT YA KUUA WATU KWA HISIA.....I HATE RWANDA FOR ITS THEFT.
mitano tenaYule mlinzi nyuma ya mama Mnyaru 👍.
Na tumejaa kweli katika 'Systems' zenu.Mtutsi huyu arudishe kwao kigali,
Intelligence bora Afrika iko Rwanda tu.RWANDA NCHI MWIZI WA MALI ZA DRC HAKUNA LA KUIGA HUKO,ZAIDI YA LABDA AIGE UKANDAMIZAJI WA RAIA,NA INTELLEGENT YA KUUA WATU KWA HISIA.....I HATE RWANDA FOR ITS THEFT.
Nazipenda nchi za Rwanda na Israeli tu.Unaonekana unaipenda Rwanda sana. Ni ule udikteta wa paulo ndiyo unakuvutia au kitu gani?
Hapa nimeunganisha dot nyingine kuelekea proof ya uraia wa yule mtu.
Waimbaje wake wanajitokeza kuthibitisha hayo.
Tanzania mnaionea mno Wivu Rwanda.Siyo sawa hata chembe
Hivyo hatuwezi chukua ushauri wako.Nazipenda nchi za Rwanda na Israeli tu.
Iwe mwanzo na mwisho Kumsema vibaya Rais wa Rwanda Paul Kagame sawa? Kuwa makini sana na kaa mbali pia na Rwanda.Mkuu usiihate Rwanda yote, kuna madem wakali sana kule.
Rwanda kuna paulo,, huyu ndie mtu ovyo kabisa, mchukie huyu.
Tuache kama hutaki asemwe.Iwe mwanzo na mwisho Kumsema vibaya Rais wa Rwanda Paul Kagame sawa? Kuwa makini sana na kaa mbali pia na Rwanda.
Nimemaliza.
Nguvu ya 'Rwanda' ikikutaka inakupata.Tuache kama hutaki asemwe.
Ushauri wako peleka huko.
nimecheka sana ,democrasia atajifunzia kwetu eti eeeeIGP Sirro umeona mbali sana na GENTAMYCINE nakupongeza kwa Kuomba 'Ushirikiano' wa Kiuzoefu na Kiuweledi kutoka kwa Jeshi bora la Polisi Afrika la Rwanda nchi iliyobarikiwa kama ilivyobarikiwa nchi ya Israeli.
Kwakuwa IGP Sirro wa TP ameanza nawaomba na akina Msuya wa SSIT na Mabeyo wa ZTWJ nao wasione 'aibu' kuomba kupata 'Ushirikiano' wa 'Kiujuzi' na Taasisi kama zao zilizoko nchini Rwanda ( Israeli ya Afrika )
Na hata Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan jitahidi sana uwe karibu 'Kiushirikiano' na Rais wa Rwanda 'Shujaa wa Uchumi, Teknolojia na Maendeleo' Mheshimiwa Paul Kagame.
Na Watanzania wote ipendeni Rwanda.
Unauliza Maiti Mochwari?nimecheka sana ,democrasia atajifunzia kwetu eti eeee
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
wewe, usidhani kila mtu humu ni lofa.Nguvu ya 'Rwanda' ikikutaka inakupata.