GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #41
Nimeshakuonya kuwa makini na Watusi.wewe, usidhani kila mtu humu ni lofa.
Nakujibu kwa mara ya mwisho,, naona unaleta utoto wakati ni mtu mzima wewe.Nimeshakuonya kuwa makini na Tutsi.
Hao 'Wanao' unataka uwaache duniani?Nakujibu kwa mara ya mwisho,, naona unaleta utoto wakati ni mtu mzima wewe.
Huwa nakuheshimu sana GENTAMYCINE lakini kwenye hili sipo nawe hata chembeTanzania mnaionea mno Wivu Rwanda.
Toa ujinga na utoto wako hapa, mi siyo mtoto mwenzio.Hao 'Wanao' unataka uwaache duniani?
IGP Sirro umeona mbali sana na GENTAMYCINE nakupongeza kwa Kuomba 'Ushirikiano' wa Kiuzoefu na Kiuweledi kutoka kwa Jeshi bora la Polisi Afrika la Rwanda nchi iliyobarikiwa kama ilivyobarikiwa nchi ya Israeli.
Kwakuwa IGP Sirro wa TP ameanza nawaomba na akina Msuya wa SSIT na Mabeyo wa ZTWJ nao wasione 'aibu' kuomba kupata 'Ushirikiano' wa 'Kiujuzi' na Taasisi kama zao zilizoko nchini Rwanda (Israeli ya Afrika)
Na hata Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan jitahidi sana uwe karibu 'Kiushirikiano' na Rais wa Rwanda 'Shujaa wa Uchumi, Teknolojia na Maendeleo' Mheshimiwa Paul Kagame.
Na Watanzania wote ipendeni Rwanda.
Hakuna cha kujifunza huko zaidi ya udiktetaTanzania inaihitaji Rwanda ( tena hasa kwa Akili zao kubwa walizobarikiwa nazo na Mwenyezi Mungu ) kuliko ambavyo Rwanda inaihitaji Tanzania yako ( yenu ) sawa?
Zaidi ya kupora congo kipi cha kutegemeaUngekuwa Mnyarwanda usingekuwa 'brainless' hivi hata hivyo kwakuwa umetokea Taifa la Waswahili wenye Wivu na Chuki dhidi ya Taifa Barikiwa la Rwanda wala sikushangai.
GENTAMYCINE, nime ku quote purposely, ili tuongee ukweli.IGP Sirro umeona mbali sana na GENTAMYCINE nakupongeza kwa Kuomba 'Ushirikiano' wa Kiuzoefu na Kiuweledi kutoka kwa Jeshi bora la Polisi Afrika la Rwanda nchi iliyobarikiwa kama ilivyobarikiwa nchi ya Israeli.
Kwakuwa IGP Sirro wa TP ameanza nawaomba na akina Msuya wa SSIT na Mabeyo wa ZTWJ nao wasione 'aibu' kuomba kupata 'Ushirikiano' wa 'Kiujuzi' na Taasisi kama zao zilizoko nchini Rwanda (Israeli ya Afrika)
Na hata Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan jitahidi sana uwe karibu 'Kiushirikiano' na Rais wa Rwanda 'Shujaa wa Uchumi, Teknolojia na Maendeleo' Mheshimiwa Paul Kagame.
Na Watanzania wote ipendeni Rwanda.
Triple likeGENTAMYCINE, nime ku quote purposely, ili tuongee ukweli.
Mshikaji,
Nahisi wewe ndio una ongoza kwa ban hapa JF kutokana na tabia yako mbaya ya majibu yasiyo mazuri, sitaki kwenda bahari kina (deep sea)
Ila all in all, huaminiki kwa sababu umekuwa unajiita Mkurya, mara Mnyarwanda.
Kwa taarifa yako, mashushu wa Kinyarwanda wamejaa nchini na hawakuoni wewe Kama valuable asset na reliable source of information.
Wewe ni mpiga zumari unayeangaliwa kwa karibu na mashirika yote ya kijasusi, kwetu na hapo ng'ambo ya Rusumo, ila hauko potential, ila unaangaliwa Kama threat item.
Huu mcharazo wako JF haukupi hata kumi zaidi ya kukuhatarisha
Hamna Mkurya wala m Tutsi mbilikimoAm happy to see that Imbecile like You congratulating Your fellow Moron on his rotten comment.
Cc: Bujibuji
Kwahiyo kwakuwa 'Basha' zako wote ni Emolo ( Mbilikimo ) ndiyo unadhani nami nipo hivyo? Pole sana.Hamna Mkurya wala m Tutsi mbilikimo
Kama 'Babaako' vile...!!leta hoja ni han th i
Hah hah, hah nacheka kwa dharauKwahiyo kwakuwa 'Basha' zako wote ni Emolo ( Mbilikimo ) ndiyo unadhani nami nipo hivyo? Pole sana.
Mimi mbona 'nilishakudharau' Kitambo?Hah hah, hah nacheka kwa dharau