Kwa kutowaita Kapombe na Tshabalala Taifa Stars na kuita Wengi wa Yanga SC naiombea Laana ifungwe

Kwa kutowaita Kapombe na Tshabalala Taifa Stars na kuita Wengi wa Yanga SC naiombea Laana ifungwe

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yaani Mabeki Kapombe na Tshabalala wanaopambana Klabu Bingwa Wanaachwa na Kuitwa Mabeki wanaocheza Shirikisho?

Halafu unaita Wachezaji wa Yanga SC Sita huku wa Timu inayoshiriki Klabu Bingwa Afrika Simba SC ukiita Wachezaji Watatu tu na unadhani hakutokuwa na Shida?

Tafadhali GENTAMYCINE nikiamka Kesho naomba TFF, Wizara na Serikali mumfukuze haraka Kocha Mkuu Mteule wa Taifa Stars sawa?
 
Sio Mbaya.

Ni faida pia kwa klabu.

Mchezaji anaepuka Majeraha, anaepuka uchovu.
Na misumari.

Hawa wachezaji wamecheza Sana wamecheza Mno mashindano Mengi kwa KIPINDI KIFUPI. Miiili Yao inahitaji pia kupumzika.

Coach pia anatengeneza Attention ya yake mwenyewe.
 
Timu yetu haitafanya vizuri kwa kuwa wachezaji wengi wanaochaguliwa kocha ajapata muda wa kuwaangalia ni kama Teuzi za Bungeni yaani TFF ina majina chukua huyu acha huyu waliwahi mchezesha Msuva ambae alikua hana Timu na kuwaacha watu nje mwamnyeto,Beno na baadhi hawakutakiwa kuitwa hata hao wakina Samata wapumzike bhana waitwe vijana kama huyo chipukizi wa Yanga na beki za Ihefu sio hayo mambo kila kukicha makosa yale yale...
 

Attachments

  • Screenshot_2023-03-14-08-09-49-68.jpg
    Screenshot_2023-03-14-08-09-49-68.jpg
    117 KB · Views: 4
Yaani Mabeki Kapombe na Tshabalala wanaopambana Klabu Bingwa Wanaachwa na Kuitwa Mabeki wanaocheza Shirikisho...
Hivi unafikiri wajinga. TFF wanajua yote mnayoyafanya nyuma ya ushindi wenu kwani ni washiriki wenza. Angalia goli la Viper lilivyofunikwa. Pamoja na kushiriki club bingwa wajuzi kuna vingi wanaangalia katika kuteua national team.
 
Back
Top Bottom