Kwa kuwa kile chama kinaonekana kujihusisha na wanajeshi (JWTZ) wastaafu, nashauri pia shughuli zao za maandamano JWTZ wasiwe wanakaa mbali.

Kwa kuwa kile chama kinaonekana kujihusisha na wanajeshi (JWTZ) wastaafu, nashauri pia shughuli zao za maandamano JWTZ wasiwe wanakaa mbali.

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Mwanajeshi mstaafu ni askari wa akiba mpaka kifo, ana kiapo kwa Amiri Jeshi Mkuu na Mkuu wa Majeshi, muda wowote anaweza kupewa amri afanye shughuli za kijeshi. Vinginevyo anahesabika muasi.

Nimeona wanajeshi wenye mafunzo maalum waliofukuzwa au kustaafu Jeshi wanajihusisha na hicho chama. Labda kinataka kuwatumia kwa shughuli maalum kutokana na utaalamu walio nao, hivyo waharibu amani ya nchi.

Kwa kuwa kuna tuna jeshi bora kabisa linalowajua, nashauri lisiwe linajiweka mbali kwa sababu sasa hivi maafisa wake wa zamani, baadhi wanataka kutumiwa na upande wa pili ambao wanataka kuitumia taaluma yao kusababisha uvunjifu wa amani.

Kota pini inashughulikiwa kwa kotapin
 
Nimeona wanajeshi wenye mafunzo maalum waliofukuzwa au kustaafu Jeshi wanajihusisha na hicho chama. Labda kinataka kuwatumia kwa shughuli maalum kutokana na utaalamu walio nao, hivyo waharibu amani ya nchi.

Kwa kuwa kuna tuna jeshi bora kabisa linalowajua, nashauri lisiwe linajiweka mbali kwa sababu sasa hivi maafisa wake wa zamani, baadhi wanataka kutumiwa na upande wa pili ambao wanataka kuitumia taaluma yao kusababisha uvunjifu wa amani
Ktk siasa ucheze kisiasa. Siasa ni dynamic state not static state
 

Na kwakuwa polisi ni tawi la CCM.

Basi wananchi wasijihangaishe kupiga kura maana CCM haitotolewa kwa box la kura.
 
Nimeona wanajeshi wenye mafunzo maalum waliofukuzwa au kustaafu Jeshi wanajihusisha na hicho chama. Labda kinataka kuwatumia kwa shughuli maalum kutokana na utaalamu walio nao, hivyo waharibu amani ya nchi.

Kwa kuwa kuna tuna jeshi bora kabisa linalowajua, nashauri lisiwe linajiweka mbali kwa sababu sasa hivi maafisa wake wa zamani, baadhi wanataka kutumiwa na upande wa pili ambao wanataka kuitumia taaluma yao kusababisha uvunjifu wa amani
Mwandishi wa hotuba!!
Unatafuta janga jingine!! Chawa umekosa trip ya USA 😂😂😂 Unahaha
 
Nimeona wanajeshi wenye mafunzo maalum waliofukuzwa au kustaafu Jeshi wanajihusisha na hicho chama. Labda kinataka kuwatumia kwa shughuli maalum kutokana na utaalamu walio nao, hivyo waharibu amani ya nchi.

Kwa kuwa kuna tuna jeshi bora kabisa linalowajua, nashauri lisiwe linajiweka mbali kwa sababu sasa hivi maafisa wake wa zamani, baadhi wanataka kutumiwa na upande wa pili ambao wanataka kuitumia taaluma yao kusababisha uvunjifu wa amani.

Kota pini inashuvhulikiwa kwa kotapin
Waza tu kwa kutumia utumbo mwembamba? Kwamba askari akistaafu ajiunge tu chama chenu chakavu au ujumbe wake ni kwamba mauaji ya polisi unaona hayatoshi na jeshi la wananchi watumie silaha za kivita?
 
Mwanajeshi mstaafu ni askari wa akiba mpaka kifo, ana kiapo kwa Amiri Jeshi Mkuu na Mkuu wa Majeshi, muda wowote anaweza kupewa amri afanye shughuli za kijeshi. Vinginevyo anahesabika muasi.

Nimeona wanajeshi wenye mafunzo maalum waliofukuzwa au kustaafu Jeshi wanajihusisha na hicho chama. Labda kinataka kuwatumia kwa shughuli maalum kutokana na utaalamu walio nao, hivyo waharibu amani ya nchi.

Kwa kuwa kuna tuna jeshi bora kabisa linalowajua, nashauri lisiwe linajiweka mbali kwa sababu sasa hivi maafisa wake wa zamani, baadhi wanataka kutumiwa na upande wa pili ambao wanataka kuitumia taaluma yao kusababisha uvunjifu wa amani.

Kota pini inashughulikiwa kwa kotapin
Je unajuwa uwezo wa komandoo mmoja na gharama za mafunzo yake na ujuzi alio nao. Je hawa wataalamu wanastahili kukaa tu bila kujishughulisha madhara yake ni yepi
 
Mwanajeshi mstaafu ni askari wa akiba mpaka kifo, ana kiapo kwa Amiri Jeshi Mkuu na Mkuu wa Majeshi, muda wowote anaweza kupewa amri afanye shughuli za kijeshi. Vinginevyo anahesabika muasi.

Nimeona wanajeshi wenye mafunzo maalum waliofukuzwa au kustaafu Jeshi wanajihusisha na hicho chama. Labda kinataka kuwatumia kwa shughuli maalum kutokana na utaalamu walio nao, hivyo waharibu amani ya nchi.

Kwa kuwa kuna tuna jeshi bora kabisa linalowajua, nashauri lisiwe linajiweka mbali kwa sababu sasa hivi maafisa wake wa zamani, baadhi wanataka kutumiwa na upande wa pili ambao wanataka kuitumia taaluma yao kusababisha uvunjifu wa amani.

Kota pini inashughulikiwa kwa kotapin
Wako pia wanaotumiwa na upande wa kwanza au wewe ni kipofu?
 
Back
Top Bottom