Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angesema lissu akigpmvea tumpigie kura sijui wangesemajeView attachment 3100809
Na kwakuwa polisi ni tawi la CCM.
Basi wananchi wasijihangaishe kupiga kura maana CCM haitotolewa kwa box la kura.
Sio kweli nyau weweMtumishi wa serikali lazima uwe kada,ndo maana wakampoteza mzee wetu juz
Double standard tu. Wale wanaojihusisha na ccm umewataja maana kule ndipo wapo wengi..Mwanajeshi mstaafu ni askari wa akiba mpaka kifo, ana kiapo kwa Amiri Jeshi Mkuu na Mkuu wa Majeshi, muda wowote anaweza kupewa amri afanye shughuli za kijeshi. Vinginevyo anahesabika muasi.
Nimeona wanajeshi wenye mafunzo maalum waliofukuzwa au kustaafu Jeshi wanajihusisha na hicho chama. Labda kinataka kuwatumia kwa shughuli maalum kutokana na utaalamu walio nao, hivyo waharibu amani ya nchi.
Kwa kuwa kuna tuna jeshi bora kabisa linalowajua, nashauri lisiwe linajiweka mbali kwa sababu sasa hivi maafisa wake wa zamani, baadhi wanataka kutumiwa na upande wa pili ambao wanataka kuitumia taaluma yao kusababisha uvunjifu wa amani.
Kota pini inashughulikiwa kwa kotapin
Wewe unashauri kama nani?nashauri
Hadi leo hii unaweza kutupa idadi ya waliokuwa wanajeshi na kujiunga/bado wapona CHADEMA?Mwanajeshi mstaafu ni askari wa akiba mpaka kifo, ana kiapo kwa Amiri Jeshi Mkuu na Mkuu wa Majeshi, muda wowote anaweza kupewa amri afanye shughuli za kijeshi. Vinginevyo anahesabika muasi.
Nimeona wanajeshi wenye mafunzo maalum waliofukuzwa au kustaafu Jeshi wanajihusisha na hicho chama. Labda kinataka kuwatumia kwa shughuli maalum kutokana na utaalamu walio nao, hivyo waharibu amani ya nchi.
Kwa kuwa kuna tuna jeshi bora kabisa linalowajua, nashauri lisiwe linajiweka mbali kwa sababu sasa hivi maafisa wake wa zamani, baadhi wanataka kutumiwa na upande wa pili ambao wanataka kuitumia taaluma yao kusababisha uvunjifu wa amani.
Kota pini inashughulikiwa kwa kotapin
Huwa wanalazimishwa kuingia huko au ni kwa chaguo lao?Wengi sana, inabidi wanajeshi kwa wanajeshi wapambane siku ya maandamano
kUna watu nawajuwa walifukuzwa kazi wengine kusimamishwa kutokana na kuonekana wapo chama pinzanSio kweli nyau wewe
Total ignorance.Mwanajeshi mstaafu ni askari wa akiba mpaka kifo, ana kiapo kwa Amiri Jeshi Mkuu na Mkuu wa Majeshi, muda wowote anaweza kupewa amri afanye shughuli za kijeshi. Vinginevyo anahesabika muasi.
Nimeona wanajeshi wenye mafunzo maalum waliofukuzwa au kustaafu Jeshi wanajihusisha na hicho chama. Labda kinataka kuwatumia kwa shughuli maalum kutokana na utaalamu walio nao, hivyo waharibu amani ya nchi.
Kwa kuwa kuna tuna jeshi bora kabisa linalowajua, nashauri lisiwe linajiweka mbali kwa sababu sasa hivi maafisa wake wa zamani, baadhi wanataka kutumiwa na upande wa pili ambao wanataka kuitumia taaluma yao kusababisha uvunjifu wa amani.
Kota pini inashughulikiwa kwa kotapin
Akili yako ndogo sana!Mwanajeshi mstaafu ni askari wa akiba mpaka kifo, ana kiapo kwa Amiri Jeshi Mkuu na Mkuu wa Majeshi, muda wowote anaweza kupewa amri afanye shughuli za kijeshi. Vinginevyo anahesabika muasi.
Nimeona wanajeshi wenye mafunzo maalum waliofukuzwa au kustaafu Jeshi wanajihusisha na hicho chama. Labda kinataka kuwatumia kwa shughuli maalum kutokana na utaalamu walio nao, hivyo waharibu amani ya nchi.
Kwa kuwa kuna tuna jeshi bora kabisa linalowajua, nashauri lisiwe linajiweka mbali kwa sababu sasa hivi maafisa wake wa zamani, baadhi wanataka kutumiwa na upande wa pili ambao wanataka kuitumia taaluma yao kusababisha uvunjifu wa amani.
Kota pini inashughulikiwa kwa kotapin
Ni ujinga wa aina hii ndio unazidi kuniaminisha kuwa mfumo wa vyama vingi vya siasa hauwezekani Tanzania. Elimu na uelewa wa siasa za masuala ni karibia zero.Mwanajeshi mstaafu ni askari wa akiba mpaka kifo, ana kiapo kwa Amiri Jeshi Mkuu na Mkuu wa Majeshi, muda wowote anaweza kupewa amri afanye shughuli za kijeshi. Vinginevyo anahesabika muasi.
Nimeona wanajeshi wenye mafunzo maalum waliofukuzwa au kustaafu Jeshi wanajihusisha na hicho chama. Labda kinataka kuwatumia kwa shughuli maalum kutokana na utaalamu walio nao, hivyo waharibu amani ya nchi.
Kwa kuwa kuna tuna jeshi bora kabisa linalowajua, nashauri lisiwe linajiweka mbali kwa sababu sasa hivi maafisa wake wa zamani, baadhi wanataka kutumiwa na upande wa pili ambao wanataka kuitumia taaluma yao kusababisha uvunjifu wa amani.
Kota pini inashughulikiwa kwa kotapin
Unalia nini?Ni ujinga wa aina hii ndio unazidi kuniaminisha kuwa mfumo wa vyama vingi vya siasa hauwezekani Tanzania. Elimu na uelewa wa siasa za masuala ni karibia zero.
Mdau kazama kwenye siasa za ushabiki wa kundi (tribal politics) na uchawa kwa viongozi wa serikali (personality cult worship). Tutaishia kuwa sthl country kama D Trump alivyotubatiza.
Vipi wale wa chamani,wali kuwa raia ama wamestaafu mara ya pili?Mwanajeshi mstaafu ni askari wa akiba mpaka kifo, ana kiapo kwa Amiri Jeshi Mkuu na Mkuu wa Majeshi, muda wowote anaweza kupewa amri afanye shughuli za kijeshi. Vinginevyo anahesabika muasi.
Nimeona wanajeshi wenye mafunzo maalum waliofukuzwa au kustaafu Jeshi wanajihusisha na hicho chama. Labda kinataka kuwatumia kwa shughuli maalum kutokana na utaalamu walio nao, hivyo waharibu amani ya nchi.
Kwa kuwa kuna tuna jeshi bora kabisa linalowajua, nashauri lisiwe linajiweka mbali kwa sababu sasa hivi maafisa wake wa zamani, baadhi wanataka kutumiwa na upande wa pili ambao wanataka kuitumia taaluma yao kusababisha uvunjifu wa amani.
Kota pini inashughulikiwa kwa kotapin
Wahuni sii watu vipi wananchi?Hao wanalinda maslahi ya nchi, sio wahuni