Kwa kuwa kile chama kinaonekana kujihusisha na wanajeshi (JWTZ) wastaafu, nashauri pia shughuli zao za maandamano JWTZ wasiwe wanakaa mbali.

Kwa kuwa kile chama kinaonekana kujihusisha na wanajeshi (JWTZ) wastaafu, nashauri pia shughuli zao za maandamano JWTZ wasiwe wanakaa mbali.

Mwanajeshi mstaafu ni askari wa akiba mpaka kifo, ana kiapo kwa Amiri Jeshi Mkuu na Mkuu wa Majeshi, muda wowote anaweza kupewa amri afanye shughuli za kijeshi. Vinginevyo anahesabika muasi.

Nimeona wanajeshi wenye mafunzo maalum waliofukuzwa au kustaafu Jeshi wanajihusisha na hicho chama. Labda kinataka kuwatumia kwa shughuli maalum kutokana na utaalamu walio nao, hivyo waharibu amani ya nchi.

Kwa kuwa kuna tuna jeshi bora kabisa linalowajua, nashauri lisiwe linajiweka mbali kwa sababu sasa hivi maafisa wake wa zamani, baadhi wanataka kutumiwa na upande wa pili ambao wanataka kuitumia taaluma yao kusababisha uvunjifu wa amani.

Kota pini inashughulikiwa kwa kotapin
Double standard tu. Wale wanaojihusisha na ccm umewataja maana kule ndipo wapo wengi..
 
Mwanajeshi mstaafu ni askari wa akiba mpaka kifo, ana kiapo kwa Amiri Jeshi Mkuu na Mkuu wa Majeshi, muda wowote anaweza kupewa amri afanye shughuli za kijeshi. Vinginevyo anahesabika muasi.

Nimeona wanajeshi wenye mafunzo maalum waliofukuzwa au kustaafu Jeshi wanajihusisha na hicho chama. Labda kinataka kuwatumia kwa shughuli maalum kutokana na utaalamu walio nao, hivyo waharibu amani ya nchi.

Kwa kuwa kuna tuna jeshi bora kabisa linalowajua, nashauri lisiwe linajiweka mbali kwa sababu sasa hivi maafisa wake wa zamani, baadhi wanataka kutumiwa na upande wa pili ambao wanataka kuitumia taaluma yao kusababisha uvunjifu wa amani.

Kota pini inashughulikiwa kwa kotapin
Hadi leo hii unaweza kutupa idadi ya waliokuwa wanajeshi na kujiunga/bado wapona CHADEMA?
 
Uzuri ni kwamba wananchi wameamka na wanajitambua. Harakati zinazoendelea ndio zitaenda kuleta mabadiliko ya kisiasa nchini kwa kukiondoa chama kiovu cha ccm.

Ukiona hadi rais amepaniki kwa mshike mshike wa CDM ujue ametishika. Nguvu iko kwa wananchi sio serikali. Mambo ya stori za uvunjifu wa amani ni danganya toto inayoimbwa na walioko juu na kurudiwa na policcm ili waendelee kutafuna rasilimali za nchi kifisadi.

Biblia takatifu inasema hakuna amani kwa wabaya.
 
Mwanajeshi mstaafu ni askari wa akiba mpaka kifo, ana kiapo kwa Amiri Jeshi Mkuu na Mkuu wa Majeshi, muda wowote anaweza kupewa amri afanye shughuli za kijeshi. Vinginevyo anahesabika muasi.

Nimeona wanajeshi wenye mafunzo maalum waliofukuzwa au kustaafu Jeshi wanajihusisha na hicho chama. Labda kinataka kuwatumia kwa shughuli maalum kutokana na utaalamu walio nao, hivyo waharibu amani ya nchi.

Kwa kuwa kuna tuna jeshi bora kabisa linalowajua, nashauri lisiwe linajiweka mbali kwa sababu sasa hivi maafisa wake wa zamani, baadhi wanataka kutumiwa na upande wa pili ambao wanataka kuitumia taaluma yao kusababisha uvunjifu wa amani.

Kota pini inashughulikiwa kwa kotapin
Total ignorance.
 
Mwanajeshi mstaafu ni askari wa akiba mpaka kifo, ana kiapo kwa Amiri Jeshi Mkuu na Mkuu wa Majeshi, muda wowote anaweza kupewa amri afanye shughuli za kijeshi. Vinginevyo anahesabika muasi.

Nimeona wanajeshi wenye mafunzo maalum waliofukuzwa au kustaafu Jeshi wanajihusisha na hicho chama. Labda kinataka kuwatumia kwa shughuli maalum kutokana na utaalamu walio nao, hivyo waharibu amani ya nchi.

Kwa kuwa kuna tuna jeshi bora kabisa linalowajua, nashauri lisiwe linajiweka mbali kwa sababu sasa hivi maafisa wake wa zamani, baadhi wanataka kutumiwa na upande wa pili ambao wanataka kuitumia taaluma yao kusababisha uvunjifu wa amani.

Kota pini inashughulikiwa kwa kotapin
Akili yako ndogo sana!
Tatizo hujui tofauti kati ya Maslahi ya CCM na Maslahi ya Taifa!
Wewe unadhani Amiri Jeshi Mkuu lazima atoke CCM tu!
Hata CHADEMA kwa mujibu wa Katiba yetu wanaweza kutoa Amiri Jeshi Mkuu wakishinda uchaguzi wa Rais.
Tatizo hapa Tanzania watu hamna Elimu na maarifa.
Tim Walz na JD Vance hapo Marekani ni wagombea Urais wenza katika vyama viwili tofauti na wote ni wastaafu wa Jeshi la Marekani.
Kwa Wajinga kama nyie , democrasia ya kweli hapa Tanzania bado ina safari ndefu sana!
 
Mwanajeshi mstaafu ni askari wa akiba mpaka kifo, ana kiapo kwa Amiri Jeshi Mkuu na Mkuu wa Majeshi, muda wowote anaweza kupewa amri afanye shughuli za kijeshi. Vinginevyo anahesabika muasi.

Nimeona wanajeshi wenye mafunzo maalum waliofukuzwa au kustaafu Jeshi wanajihusisha na hicho chama. Labda kinataka kuwatumia kwa shughuli maalum kutokana na utaalamu walio nao, hivyo waharibu amani ya nchi.

Kwa kuwa kuna tuna jeshi bora kabisa linalowajua, nashauri lisiwe linajiweka mbali kwa sababu sasa hivi maafisa wake wa zamani, baadhi wanataka kutumiwa na upande wa pili ambao wanataka kuitumia taaluma yao kusababisha uvunjifu wa amani.

Kota pini inashughulikiwa kwa kotapin
Ni ujinga wa aina hii ndio unazidi kuniaminisha kuwa mfumo wa vyama vingi vya siasa hauwezekani Tanzania. Elimu na uelewa wa siasa za masuala ni karibia zero.

Mdau kazama kwenye siasa za ushabiki wa kundi (tribal politics) na uchawa kwa viongozi wa serikali (personality cult worship). Tutaishia kuwa sthl country kama D Trump alivyotubatiza.
 
Ni ujinga wa aina hii ndio unazidi kuniaminisha kuwa mfumo wa vyama vingi vya siasa hauwezekani Tanzania. Elimu na uelewa wa siasa za masuala ni karibia zero.

Mdau kazama kwenye siasa za ushabiki wa kundi (tribal politics) na uchawa kwa viongozi wa serikali (personality cult worship). Tutaishia kuwa sthl country kama D Trump alivyotubatiza.
Unalia nini?
 
Mwanajeshi mstaafu ni askari wa akiba mpaka kifo, ana kiapo kwa Amiri Jeshi Mkuu na Mkuu wa Majeshi, muda wowote anaweza kupewa amri afanye shughuli za kijeshi. Vinginevyo anahesabika muasi.

Nimeona wanajeshi wenye mafunzo maalum waliofukuzwa au kustaafu Jeshi wanajihusisha na hicho chama. Labda kinataka kuwatumia kwa shughuli maalum kutokana na utaalamu walio nao, hivyo waharibu amani ya nchi.

Kwa kuwa kuna tuna jeshi bora kabisa linalowajua, nashauri lisiwe linajiweka mbali kwa sababu sasa hivi maafisa wake wa zamani, baadhi wanataka kutumiwa na upande wa pili ambao wanataka kuitumia taaluma yao kusababisha uvunjifu wa amani.

Kota pini inashughulikiwa kwa kotapin
Vipi wale wa chamani,wali kuwa raia ama wamestaafu mara ya pili?
 
Back
Top Bottom