Kwa kuwa Lissu ameamua kufunguka, naomba aulizwe:- je, ni kweli Wabunge 19 waliosheheni wake wa vigogo wa CHADEMA walijipeleka bungeni?

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Pamoja na covid-19 kubeba uongozi wa juu wa BAWACHA, lkn pia Kuna:-
1. Mke wa Benson Kigailla.....naibu katibu mkuu bara.
2. Mke wa Salum Mwalimu (naibu katibu mkuu Zanzibar).
3. Mke wa Ally Bananga (yuko ccm sasa).....alikuwa meneja kampeni wa mgombea urais wa chadema.

Bila shaka kama Mnyika angelikuwa na mke kipindi hicho, basi mkewe pia angekuwemo.

Ni kweli kuwa hawa wanawake waliingia bungeni bila mkono wa Mbowe na waume zao??

Naomba swali hili afikishiwe mzee wa ukweli na uwazi, Tundu Antipas Lissu.
 
Muna dada mmoja huko bawacha wakuitwa Hilda Newton,

Kutwa kucha ilikua ni kuwatukana akina bulaya huko twitwer kumbe hajui iyo ni michongo ya watu tena viongozi wake🤣
 
Haina haja ya kumuuliza lisu tumeishajuwa kuna baraka za chama cha chadema kwenye hilo kwa maslahi ya waume zao na kiongozi mkuu wa chama
 
Walipelekwa na Mnyika halafu Job akamkata demu wa J J yule Peneza na kumuweka Nusrat

Hapo ndipo ugomvi ulipoanzia wa J J kuikana Saini yake 🐼
 
Reactions: G4N
Walipelekwa na Mnyika halafu Job akamkata demu wa J J yule Peneza na kumuweka Nusrat

Hapo ndipo ugomvi ulipoanzia wa J J kuikana Saini yake 🐼
Kuna mtu alikuwa anasema chadema ni sawa na kikoba sasa ndio imezihili
 
Reactions: G4N
Mbowe anajua vizuri sana kuhusu Hawa wabunge, muda utasema
 
Reactions: G4N
Muna dada mmoja huko bawacha wakuitwa Hilda Newton,

Kutwa kucha ilikua ni kuwatukana akina bulaya huko twitwer kumbe hajui iyo ni michongo ya watu tena viongozi wake🤣
Huyo mwanadada ni wa kuhurumiwa tu. Hakujua kuwa yeye ndiyo anatumikishwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…