Shetani katika ubora wako. Watu wakiumia unapata raha gani?CCM ni chama kinachobadilika kutokana na wakati na mazingira. Sasa ni wakati sahihi kurudi katika siasa za awamu ya tano.
Ni wakati sahihi Sabaya na wenzake warudi ili watakaoleta ubabe wanyooshwe barabara.
Inatakiwa ku-fine tuneand sharpen the instruments/tools
Kwa hiyo mnajiandaa kunywa damu za watu?Ndio mfumo wa siasa za miaka mitano ijayo
Mimi sina mambo ya kihuni, hakiwezi kunipataAisee wewe ni mjinga sana! Kwa hiyo raha Yako ni kuona damu za Watanzania wenzio zikimwagika?
Raha Yako ni kuona Watanzania wenzio wananyanyaswa kisa tofauti za kiitikadi?
Alafu mungu alivyo wa ajabu sasa unachokiombea kwa mwenzako Kuna siku utakipata mara2 yake.
nginja nginja ya kutumia polisi?CCM ni chama kinachobadilika kutokana na wakati na mazingira. Sasa ni wakati sahihi kurudi katika siasa za awamu ya tano.
Ni wakati sahihi Sabaya na wenzake warudi ili watakaoleta ubabe wanyooshwe barabara.
Inatakiwa ku-fine tuneand sharpen the instruments/tools
Kwani sasa hivi ccm ina siasa za aina gani?CCM ni chama kinachobadilika kutokana na wakati na mazingira. Sasa ni wakati sahihi kurudi katika siasa za awamu ya tano.
Ni wakati sahihi Sabaya na wenzake warudi ili watakaoleta ubabe wanyooshwe barabara.
Inatakiwa ku-fine tuneand sharpen the instruments/tools
Walikwambia? Wapi walisema wanataka kumwaga damu za watu?Na wao wamejiandaa kufanya vurugu, kama hamu ya damu wameanza kuionyesha wao