Pre GE2025 Kwa lugha ya picha CHADEMA imekata tamaa!

Pre GE2025 Kwa lugha ya picha CHADEMA imekata tamaa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

mapessa

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2014
Posts
664
Reaction score
1,168
Ukweli ambao utawaumiza wazee wa matusi pale ufipa ni juu ya picha za mikutano ya Mwenyekiti wa Chadema ndugu Freeman Mbowe katika ziara ya mikoa ya Kanda ya Kaskazini kuanzia Manyara, Kilimanjaro, Arusha na Tanga.

Picha zimeonyesha hali mbaya sana kwa chama hicho nimekuletea baadhi ya Picha uone jinsi Ufipa wanavyohangaika kwenye mikutano ni fedhea tupu.

IMG_0620.jpeg
IMG_0624.jpeg
IMG_0572.jpeg
b5c7d7df-2114-4bbb-877c-36d7fb33e9ee.jpeg
599eb791-8415-4b36-a639-f1067e704436.jpeg
 
Takwimu halisi kwa sasa ya nani anakubalika utaipata mitandaoni tu huko mitaani watu wamekuwa bize sana kitu kingine mikutano ya ccm mingi sio halisi wao wenyewe wanajua jinsi pesa nyingi walivyoitumia kukusanya hilo nyomi we haujilizi kwanini wanajaza nyomi lakini bado wanakuwa na hofu ya upinzani
 
Ukweli ambao utawaumiza wazee wa matusi pale ufipa ni juu ya picha za mikutano ya Mwenyekiti wa Chadema ndugu Freeman Mbowe katika ziara ya mikoa ya Kanda ya Kaskazini kuanzia Manyara, Kilimanjaro, Arusha na Tanga.

Picha zimeonyesha hali mbaya sana kwa chama hicho nimekuletea baadhi ya Picha uone jinsi Ufipa wanavyohangaika kwenye mikutano ni fedhea tupu.
haina matumaini wala uhakika wa kesho yake, dah🐒
 
Ukweli ambao utawaumiza wazee wa matusi pale ufipa ni juu ya picha za mikutano ya Mwenyekiti wa Chadema ndugu Freeman Mbowe katika ziara ya mikoa ya Kanda ya Kaskazini kuanzia Manyara, Kilimanjaro, Arusha na Tanga.

Picha zimeonyesha hali mbaya sana kwa chama hicho nimekuletea baadhi ya Picha uone jinsi Ufipa wanavyohangaika kwenye mikutano ni fedhea tupu.
Tupicha twako mchongo umetutoa wapi?
 
Ukweli ambao utawaumiza wazee wa matusi pale ufipa ni juu ya picha za mikutano ya Mwenyekiti wa Chadema ndugu Freeman Mbowe katika ziara ya mikoa ya Kanda ya Kaskazini kuanzia Manyara, Kilimanjaro, Arusha na Tanga.

Picha zimeonyesha hali mbaya sana kwa chama hicho nimekuletea baadhi ya Picha uone jinsi Ufipa wanavyohangaika kwenye mikutano ni fedhea tupu.
Hahaha. Mbona hukuleta zile za Chato, Geita, Mwanza, Singinda, Loliondo, Arusha, Moshi, Tanga, Dar es Salaam, Mbeya, nk?
 
Ukweli ambao utawaumiza wazee wa matusi pale ufipa ni juu ya picha za mikutano ya Mwenyekiti wa Chadema ndugu Freeman Mbowe katika ziara ya mikoa ya Kanda ya Kaskazini kuanzia Manyara, Kilimanjaro, Arusha na Tanga.

Picha zimeonyesha hali mbaya sana kwa chama hicho nimekuletea baadhi ya Picha uone jinsi Ufipa wanavyohangaika kwenye mikutano ni fedhea tupu.

View attachment 3043754View attachment 3043755View attachment 3043756View attachment 3043757View attachment 3043758
Fanya kazi wewe
 
Hii kitu sijawahi elewa, M/Mwenyekiti Lissu alikuwa na ziara maeneo ya sSingida, Iringa na kwingineko, tena akifanya mwenyewe, ghafla picha na ratiba za mikutano ya Mwenyekiti Mbowe zikaanza kusambaa.

Mikutano ya Lissu ikafa, iko ya Mbowe tu, na Lissu haonekani public, kuna nini ndani ya CDM.
 
Hii kitu sijawahi elewa, M/Mwenyekiti Lissu alikuwa na ziara maeneo ya sSingida, Iringa na kwingineko, tena akifanya mwenyewe, ghafla picha na ratiba za mikutano ya Mwenyekiti Mbowe zikaanza kusambaa.

Mikutano ya Lissu ikafa, iko ya Mbowe tu, na Lissu haonekani public, kuna nini ndani ya CDM.
Huko ni full shangwe we unaonaje.
 
Back
Top Bottom