Ukweli ambao utawaumiza wazee wa matusi pale ufipa ni juu ya picha za mikutano ya Mwenyekiti wa Chadema ndugu Freeman Mbowe katika ziara ya mikoa ya Kanda ya Kaskazini kuanzia Manyara, Kilimanjaro, Arusha na Tanga.
Picha zimeonyesha hali mbaya sana kwa chama hicho nimekuletea baadhi ya Picha uone jinsi Ufipa wanavyohangaika kwenye mikutano ni fedhea tupu.
Picha zimeonyesha hali mbaya sana kwa chama hicho nimekuletea baadhi ya Picha uone jinsi Ufipa wanavyohangaika kwenye mikutano ni fedhea tupu.