Pre GE2025 Kwa lugha ya picha CHADEMA imekata tamaa!

Pre GE2025 Kwa lugha ya picha CHADEMA imekata tamaa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kina Kimario wanawaza mbege tu hapo.

Ila usidanyike na picha za kuchagua angle, CHADEMA bado ina ushawishi mkubwa mno.
 
Takwimu halisi kwa sasa ya nani anakubalika utaipata mitandaoni tu huko mitaani watu wamekuwa bize sana kitu kingine mikutano ya ccm mingi sio halisi wao wenyewe wanajua jinsi pesa nyingi walivyoitumia kukusanya hilo nyomi we haujilizi kwanini wanajaza nyomi lakini bado wanakuwa na hofu ya upinzani
mtabadili magoli sana tu

Hadi watoto?
 
Takwimu halisi kwa sasa ya nani anakubalika utaipata mitandaoni tu huko mitaani watu wamekuwa bize sana kitu kingine mikutano ya ccm mingi sio halisi wao wenyewe wanajua jinsi pesa nyingi walivyoitumia kukusanya hilo nyomi we haujilizi kwanini wanajaza nyomi lakini bado wanakuwa na hofu ya upinzani
Kwa sasa watz hawana muda na siasa, wote wanaonekana wahuni
 
Ukweli ambao utawaumiza wazee wa matusi pale ufipa ni juu ya picha za mikutano ya Mwenyekiti wa Chadema ndugu Freeman Mbowe katika ziara ya mikoa ya Kanda ya Kaskazini kuanzia Manyara, Kilimanjaro, Arusha na Tanga.

Picha zimeonyesha hali mbaya sana kwa chama hicho nimekuletea baadhi ya Picha uone jinsi Ufipa wanavyohangaika kwenye mikutano ni fedhea tupu.

View attachment 3043754View attachment 3043755View attachment 3043756View attachment 3043757View attachment 3043758
kati ya hao hata 10 wakibadilika inatosha
 
Pitia jengo la TLP pale magomeni ndio utajua madhara ya kugeuza taasisi kuwa mali ya mtu binafsi.
Ninakubaliana nawe katika hili.
Sasa nakuomba uligeuzie huko CCM upate picha itakuwaje pakiondolewa gundi inayo lishikilia genge ndani ya chama hicho.
 
Back
Top Bottom