Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Mnapo tamani itokee mifarakano.Wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnapo tamani itokee mifarakano.Wapi?
Kama luca na tlaaatlahhImajen Nchi ambayo ni Chuo cha Shida Duniani ila kuna Mtu tatizo lake ni Chadema.
Hawa chawa akishapewa jogoo akashiba anaandika chochoteImajen Nchi ambayo ni Chuo cha Shida Duniani ila kuna Mtu tatizo lake ni Chadema.
Mungu awakumbuse kula kwa Jasho kama Wanaume wengine.Kama luca na tlaaatlahh
mtabadili magoli sana tuTakwimu halisi kwa sasa ya nani anakubalika utaipata mitandaoni tu huko mitaani watu wamekuwa bize sana kitu kingine mikutano ya ccm mingi sio halisi wao wenyewe wanajua jinsi pesa nyingi walivyoitumia kukusanya hilo nyomi we haujilizi kwanini wanajaza nyomi lakini bado wanakuwa na hofu ya upinzani
Kwa sasa watz hawana muda na siasa, wote wanaonekana wahuniTakwimu halisi kwa sasa ya nani anakubalika utaipata mitandaoni tu huko mitaani watu wamekuwa bize sana kitu kingine mikutano ya ccm mingi sio halisi wao wenyewe wanajua jinsi pesa nyingi walivyoitumia kukusanya hilo nyomi we haujilizi kwanini wanajaza nyomi lakini bado wanakuwa na hofu ya upinzani
kati ya hao hata 10 wakibadilika inatoshaUkweli ambao utawaumiza wazee wa matusi pale ufipa ni juu ya picha za mikutano ya Mwenyekiti wa Chadema ndugu Freeman Mbowe katika ziara ya mikoa ya Kanda ya Kaskazini kuanzia Manyara, Kilimanjaro, Arusha na Tanga.
Picha zimeonyesha hali mbaya sana kwa chama hicho nimekuletea baadhi ya Picha uone jinsi Ufipa wanavyohangaika kwenye mikutano ni fedhea tupu.
View attachment 3043754View attachment 3043755View attachment 3043756View attachment 3043757View attachment 3043758
Kuna watu wanatamani iwe hivyo?Mnapo tamani itokee mifarakano.
Angalia "elimu" hii, hata huelewi kilicho andikwa na wewe unajibu kivingine kabisa!Hata Kama wanakusanya,ni wanachama wao
Unatafuta bwana!?..situmii washeliAngalia "elimu" hii, hata huelewi kilicho andikwa na wewe unajibu kivingine kabisa!
Ninakubaliana nawe katika hili.Pitia jengo la TLP pale magomeni ndio utajua madhara ya kugeuza taasisi kuwa mali ya mtu binafsi.
Ndiyo "elimu" ya aina hii hii niliyokupasha juu yake.Unatafuta bwana!?..situmii washeli
Nimekwambia situmii washeli,Kama Ina kutu peleka kwa gentamicin akusugulieNdiyo "elimu" ya aina hii hii niliyokupasha juu yake.
Najaribu kufuatilia nijue hasa "elimu" uliyo fuzu. Bila shaka safari hii utajieleza vizuri zaidi nielewe.Nimekwambia situmii washeli,Kama Ina kutu peleka kwa gentamicin akusugulie