Hata Kama wanakusanya,ni wanachama waoTakwimu halisi kwa sasa ya nani anakubalika utaipata mitandaoni tu huko mitaani watu wamekuwa bize sana kitu kingine mikutano ya ccm mingi sio halisi wao wenyewe wanajua jinsi pesa nyingi walivyoitumia kukusanya hilo nyomi
haina matumaini wala uhakika wa kesho yake, dahπUkweli ambao utawaumiza wazee wa matusi pale ufipa ni juu ya picha za mikutano ya Mwenyekiti wa Chadema ndugu Freeman Mbowe katika ziara ya mikoa ya Kanda ya Kaskazini kuanzia Manyara, Kilimanjaro, Arusha na Tanga.
Picha zimeonyesha hali mbaya sana kwa chama hicho nimekuletea baadhi ya Picha uone jinsi Ufipa wanavyohangaika kwenye mikutano ni fedhea tupu.
Tupicha twako mchongo umetutoa wapi?Ukweli ambao utawaumiza wazee wa matusi pale ufipa ni juu ya picha za mikutano ya Mwenyekiti wa Chadema ndugu Freeman Mbowe katika ziara ya mikoa ya Kanda ya Kaskazini kuanzia Manyara, Kilimanjaro, Arusha na Tanga.
Picha zimeonyesha hali mbaya sana kwa chama hicho nimekuletea baadhi ya Picha uone jinsi Ufipa wanavyohangaika kwenye mikutano ni fedhea tupu.
Sasa wewe angalia wala kwa urefu wa kamba watakavyo poteana karibuni.Chadema ya sasa ni kama kikundi cha wacheza kamari tu.....muda wowote wanasambaratika na kusambatarishana
Kidumu kilisha vuja zamaani ila wenyewe hawana hata habari.Kidumu milele chama Cha mapinduzi β€οΈβ€οΈ
Hahaha. Mbona hukuleta zile za Chato, Geita, Mwanza, Singinda, Loliondo, Arusha, Moshi, Tanga, Dar es Salaam, Mbeya, nk?Ukweli ambao utawaumiza wazee wa matusi pale ufipa ni juu ya picha za mikutano ya Mwenyekiti wa Chadema ndugu Freeman Mbowe katika ziara ya mikoa ya Kanda ya Kaskazini kuanzia Manyara, Kilimanjaro, Arusha na Tanga.
Picha zimeonyesha hali mbaya sana kwa chama hicho nimekuletea baadhi ya Picha uone jinsi Ufipa wanavyohangaika kwenye mikutano ni fedhea tupu.
Zimudu milele fikra za mwalimu Nyerere ππππKidumu kilisha vuja zamaani ila wenyewe hawana hata habari.
Fanya kazi weweUkweli ambao utawaumiza wazee wa matusi pale ufipa ni juu ya picha za mikutano ya Mwenyekiti wa Chadema ndugu Freeman Mbowe katika ziara ya mikoa ya Kanda ya Kaskazini kuanzia Manyara, Kilimanjaro, Arusha na Tanga.
Picha zimeonyesha hali mbaya sana kwa chama hicho nimekuletea baadhi ya Picha uone jinsi Ufipa wanavyohangaika kwenye mikutano ni fedhea tupu.
View attachment 3043754View attachment 3043755View attachment 3043756View attachment 3043757View attachment 3043758
Naache kuzurura korido za kijani.Fanya kazi wewe
Huko ni full shangwe we unaonaje.Hii kitu sijawahi elewa, M/Mwenyekiti Lissu alikuwa na ziara maeneo ya sSingida, Iringa na kwingineko, tena akifanya mwenyewe, ghafla picha na ratiba za mikutano ya Mwenyekiti Mbowe zikaanza kusambaa.
Mikutano ya Lissu ikafa, iko ya Mbowe tu, na Lissu haonekani public, kuna nini ndani ya CDM.
Wapi?Huko ni full shangwe we unaonaje.