DOKEZO Kwa Lugumi na Miss Rwanda 2016, Dola isiruhusu mahusiano ya Lugumi na Viongozi waandamizi nchini na asipewe kazi yoyote ndani ya Majeshi!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Upuuzi mwingine, Rwanda phobia! Fear of of people with rwandese ethinic background, acha kujifsnya unajua ujasusi, kwa tasrifa yako,military officers wa Rwanda wapo baadhi wanafundisha chuo cha maofisa, TMA Arusha, majasusi wapo ubalozini kwao, hapa Dar, yaani wamtumie huyo msichana kufanaya ujasusi, wakati wapo na nanafsi kibao za kufanya ujasusi,
Inajulikana, wajaruo,masai,wapo Kenya, na Bongo, na hata mjaluo au mmasai akishika nafsi kubwa serikalini, wa bongo wenye akili kama zako, wala hawaoni tishio, ngoja MTU kutoka Kagera, karagwe,tena awe na pua nyembamba kama watusi, ashike nafasi, conspiracy kibao zitasemwa,
Rwanda anaweza akawatumia watu kutoka jamii za kimasai, kijaluo, akawapa mountain, na akatengeneza jasusi hatari, maana hayo makabila, bongo hayaogopeki kabisa,
Ujasusi sio bongo fleva, au post za Instagram.
 
Una hoja mtoa mada,Kuna espionage ya Sexpionage warembo ndio bait!
Tena kama huyu ni Miss Rwanda ni mtu convenient kutumika.
Kwa tunavyoijua Bongo tunavyoishi kisungura na kama kweli lugumi anapewa Dili za silaha na Jeshi lazima MI wamweke under the radar wanajua ana crucial information.
 
Mkuu mkuu kama ni kweli uhusiano upo tena mkubwa sana sana kuliko unavyofikiri, tuliza kichwa tafakari utapata majibu magumu sana kwa maswali rahisi
Kama masuala nyeti ya usalama wa nchi wanafahamu mtu kama Lugumi, basi nchi si salama, hapo hakuna haja kumzuia mtu anataka awe na mahusiano na mwanamke anayempenda kisa uzembe na ujinga wa viongozi.
 
watu wanazichukulia poa sana security agency za TZ kina born town wameeaza kwenda ussr na china 1980s huko kupata mafunzo leo waje wazidiwe ujanja kirahisi ivo
Huwa nawacheka sana.

Maana tupo vizuri.
 
Wanawake wanatumika sana mbona....tena ukiwa kwenye kitengo nyeti epuka umalaya na kupenda pombe

Ova
 
By then Lugumi alikuwa akipewa michongo na hayati maana ni jamaa yake wa karibu akiwa Nyanza Mwanza hayati nje ya gate la Nyanza Lugumi alikuwa shoe shiner so michongo mingi
Wewe ni njinga wa kwanza duniani kwa hii statement
 
unashindwaje hilo wakati kwenu mtera mnakunywa tope kabisa na bado Livingstone mnampa chapuo
 
Oya mwanangu huyo dada yako kama hajaolewa naomba namba tuunge udugu asee. umesema ni mnyarwanda ee?
 
Juzi kati ktk pitapita zangu nilikutana na wadada kutoka kwa pk hapo Dom.Siwezi kusema ni hao implanted ama laa maana sikuchunguza chochote juu yao
Kuna uzi humu uliwazungumzia sana hao watu nimeutafuta sijaupata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…