Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Obama baba mkenyaYes upo sahihi sana mkuu. Mbona professor Sarungi ana ndugu yake mmoja aliwahi kuwa Waziri Kenya..
Mzee hio haina uhusiano"Duuhh Jamaa anakojoa pazuri, huyu demu hata maji yake alofulia Chupi au aloogea unaweza kuyanywa kama maji ya kunywa simply because she is so fine."
Madhara ya kuruka nyeto kwenye makuzi ndio haya.
Hakuna mtu mwenye rangi ya hivyo,hizo ni filter,hao na nyuchi kama gati namba tano pale bandarini na maji mengi,visimi virefu kama dole la kati..acha kuikuza taasisi ya kikachero ya Rwanda,haina lolote la maana ilichofanyaUnaweza kushangaa hizi kampeni zote za Lugumi akimwaga Pesa, mara watoto Yatima n.k zina lengo gan na kwanini nguvu kubwa inatumika kumtakatisha !!.
Rais Paul Kagame, ni Rais alojaliwa kua na Taasisi ya kijasusi ilofanikiwa Hapa Africa na Duniani, na Huenda baadhi ya Oparesheni za Rwanda ,huwaacha watu midomo wazi, Hilo halikuja Kwa bahati mbaya, Uwekezaji mkubwa, watu kufundishwa uzalendo na utaifa wangali wadogo ndo kunafanya Taasisi za Ujasusi za Rwanda kuonekana tishio .
Ikiwa kweli Bilionea Lugumi yuko Penzin na Miss Rwanda,
Na Kwamba sasa Bilionea Lugumi yuko karibu sana na viongozi waandamizi wa Nchi hii .
Na wengine siku hizi wanadai anatafutiwa Dili majeshini .
Kuna Haja ya Taa Nyekundu Kuwaka Kwa masilahi Mapana ya Taifa
Penzi lake libaki kua lake, ila Kwa namna yoyote Ile lisiruhusiwe kua na matokeo Kwa Taifa !!
View attachment 3198578
.
View attachment 3198580
Duuhh Jamaa anakojoa pazuri, huyu demu hata maji yake alofulia Chupi au aloogea unaweza kuyanywa kama maji ya kunywa simply because she is so fine
Uhusiano upo wapi?Mzee hio haina uhusiano
Lugumi kweli ana ushamba licha ya kuwa na hela ila bado mshamba
Ova
Wabongo badala ya kupigania payee ipunguzwe na Kikotoo kile kifutwe ili ule maisha mazuri wewe usalama usalama....pambania Usalama ukupe maisha mazuri hata kama mshahara wako ni laki tatu...Mkuu wivu kisa wanawake? Itakua hatuna mambo ya kufiria labdaπ€
Mhm labda bongo ya zamani mkuu πWabongo badala ya kupigania payee ipunguzwe na Kikotoo kile kifutwe ili ule maisha mazuri wewe usalama usalama....pambania Usalama ukupe maisha mazuri hata kama mshahara wako ni laki tatu...
Bongo wee vaa suti nyeusi then nyoa kipara nenda kaunta baa kubwaa kunywa windihoku huku una tazama tazama kila kona....hapo kaunta utaona watu wanaanza kukimbia moja moja
Ndio maana jk π Huwa anacheka maana anajua hii nchi , Ina watu wapumbavu sana , lugumi sio TU ni supplier wa jewi , bali pia ni supplier wa nyumba nyeupe.Nchi ya kiwaki sana yaani mshona viatu bado anaendelea kuwa msambazaji mkuu wa vifaa vya kijeshi.
ππ€£π€£π€£Tatizo la JF kila mmoja ni TISS kasoro mimi tu..
Halafu Jamaa mshamba wa mbususu, eti maji ya chupi ana kunywaππKuna uhusiano gani kati ya usalama wa nchi na jamaa kwenda kuzagamua miss Rwanda?
Ina maana hii nchi usalama wake upo mikononi mwa Lugumi?
Mkuu nimeona hii bar kubwa Picnic Arusha π€£π€£π€£Mhm labda bongo ya zamani mkuu π
Hivi kumbe siku hizi arusha nako ni bongoππ zamani tulijua bongo ni dar tu.Mkuu nimeona hii bar kubwa Picnic Arusha π€£π€£π€£
Mtanzania aolewe hata na Kagame ila asiwe karibu na mifumo yetu ya ulinzi na usalamaTumeunda jumuiya ya Afrika Mashariki mtu yuko huru kuoa au kuolewa au kuwa na mahusiano popote na mtu wa nchi yeyote
Vinginevyo jumuiya ya Africa Mashariki itakuwa haina maana kabisa
Hata mtanzania akitaka kuolewa au kuoa ndugu au mtoto wa Kagame au kuolewa na kagame kama mke wake sioni shida
Na chumvini kama kawa πWallah hapo shekhe wangu hata condom unaitupa uvunguni
Geneva of Africa ππHivi kumbe siku hizi arusha nako ni bongoππ zamani tulijua bongo ni dar tu.
Aisee kumbe na wewe ume liona hilo, yaani unywe maji ya chupi ππ"Duuhh Jamaa anakojoa pazuri, huyu demu hata maji yake alofulia Chupi au aloogea unaweza kuyanywa kama maji ya kunywa simply because she is so fine."
Madhara ya kuruka nyeto kwenye makuzi ndio haya.
Akili za BavichaNchi ya kiwaki sana yaani mshona viatu bado anaendelea kuwa msambazaji mkuu wa vifaa vya kijeshi.
Mtu akipitia kipindi cha nyeto na kina mia Khalifa na nk hawezi kuwa hivi kamweππππAisee kumbe na wewe ume liona hilo, yaani unywe maji ya chupi ππ
Mshamba Sana, ila wewe maji ya huyu si una kunywaga ππHapa ndipo ulipoharibu