Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,294
- 10,970
Uamuzi wa Rais wa Marekani Donald Trump kuanzia mwaka 2025 kuzilazimisha nchi za Afrika kujitegemea kupitia kuzinyima misaada mbalimbali umeshaabiana na Uamuzi wa Rais wa tano wa Tanzania hayati Magufuli kuanzia mwaka 2015-2020 kuilazimisha Tanzania kuacha kutegemea misaada ya mabeberu na badala yake watanzania wajitegemee kupitia kujenga viwanda vyao.
Hayati Magufuli alikataa hata misaada ya mawazo kutoka kwa mabeberu aliposema kuwa katika kipindi chake Tanzania haitakuwa nchi ya kukopi na kupaste kutoka kwa mabeberu. Chukulia mfano suala la Corona.
Sasa hivi watanzania hawana wasiwasi hata tukinyimwa misaada maana tulishafundishwa na Magufuli kuwa watanzania tunaweza na nchi yetu ni tajiri.
Maamuzi ya Trump yamechelewa sana, yalitakiwa yawahi ili kukomesha tabia ya viongozi kupanda ndege first class na rundo la wasanii kwenda kuomba misaada kwa mabeberu.
Hayati Magufuli alikataa hata misaada ya mawazo kutoka kwa mabeberu aliposema kuwa katika kipindi chake Tanzania haitakuwa nchi ya kukopi na kupaste kutoka kwa mabeberu. Chukulia mfano suala la Corona.
Sasa hivi watanzania hawana wasiwasi hata tukinyimwa misaada maana tulishafundishwa na Magufuli kuwa watanzania tunaweza na nchi yetu ni tajiri.
Maamuzi ya Trump yamechelewa sana, yalitakiwa yawahi ili kukomesha tabia ya viongozi kupanda ndege first class na rundo la wasanii kwenda kuomba misaada kwa mabeberu.