Kwa maamuzi haya ya Rais Trump bila shaka Hayati Magufuli alikuwa mbele ya muda

Kwa maamuzi haya ya Rais Trump bila shaka Hayati Magufuli alikuwa mbele ya muda

Kwa nini Watanzania wote million 63 hawakuchanjwa?
Mwanzo ulisema watanzania hawakutaka chanjo, nimeleta rejea unasema watu milion 63 kwanini hawakuchanja!

Unajua katika hiyo milion 63 ni kundi gani lilihataji chanjo na wako kiasi gani ?

Au nikuulize swali rais akizuia kuingiza dawa za ugonjwa wa kisukari watakaoumia ni watu milion 63?

Hakuna chanjo itakayofaa katika kila kundi na kila mtu ila chanio zilikuwa na wahitaji na ndio maana walichanja bila kulazimishwa.

Na ndio maana tulikemea uzuzu wa huyo Magufuli kuzuia chanjo ilhali kulikuwa na wahitaji ila yeye kwakuwa hakuitaji akafikiria sasa ni watu wote hawahitaji.
 
Mimi ninatumia akili wewe unaendeshwa na ukabila ilhali hata Magufuli hakuwa msukuma.

Ni aibu karne ya 21 mtu kutumia ukabila kama turufu ya uongozi.

Magufuli alizuia chanjo kwa sababu anazozijua yeye kikatiba huyu alizuia haki za wengine na ni kinyume cha taratibu na haki za binadamu , mkileta mada zake tutamjadili tu maana ukweli ni kuwa aliyafanya tunayoyasema.
Kwahy waliokataa chanjo pamoja na kutolewa bure pia nao walikuwa wanajinyima haki za kibinadamu?
 
Kwahy waliokataa chanjo pamoja na kutolewa bure pia nao walikuwa wanajinyima haki za kibinadamu?
Ukinisoma vizuri nimeandika chanjo zilipokuja waliokuwa wahitaji walichanja bila kulazimishwa na wasio na uhitaji hawakuchanjwa.

Hoja zangu ziko katika suala la kuzuia kitu kwakuwa wewe hukihitaji hivyo unadhani wote hawana ulazima ndio maana nimetoa mfano wa dawa za kisukari hapo juu.
 
Ukinisoma vizuri nimeandika chanjo zilipokuja waliokuwa wahitaji walichanja bila kulazimishwa na wasio na uhitaji hawakuchanjwa.

Hoja zangu ziko katika suala la kuzuia kitu kwakuwa wewe hukihitaji hivyo unadhani wote hawana ulazima ndio maana nimetoa mfano wa dawa za kisukari hapo juu.
Sasa hapo huon kwamba kuna ambao walikuwa wanamuona JPM anakosea na wengine wanaona yupo sahihi, mpaka hapo sio kuvunja haki za kibinadamu
 
Sasa hapo huon kwamba kuna ambao walikuwa wanamuona JPM anakosea na wengine wanaona yupo sahihi, mpaka hapo sio kuvunja haki za kibinadamu
Kwahiyo hao waliokosa chanjo ulitaka wavuke mpaka kuzifuata chanjo?

Chanjo zilipokuja wasiochanja walipata/wangepata athari zipi kuliko waliochanja?
 
Mwanzo ulisema watanzania hawakutaka chanjo, nimeleta rejea unasema watu milion 63 kwanini hawakuchanja!

Unajua katika hiyo milion 63 ni kundi gani lilihataji chanjo na wako kiasi gani ?

Au nikuulize swali rais akizuia kuingiza dawa za ugonjwa wa kisukari watakaoumia ni watu milion 63?

Hakuna chanjo itakayofaa katika kila kundi na kila mtu ila chanio zilikuwa na wahitaji na ndio maana walichanja bila kulazimishwa.

Na ndio maana tulikemea uzuzu wa huyo Magufuli kuzuia chanjo ilhali kulikuwa na wahitaji ila yeye kwakuwa hakuitaji akafikiria sasa ni watu wote hawahitaji.
Jibu swali
 
Jibu swali
Majibu yako hapo huoni?

Nakuongeza mfano mwingine hapa.

Sio watanzania wote wanatumia pombe hivyo leo hii utakuwa ni uwendawazimu kuzuia mauzo na utengenezaji wa pombe maana kuna wahitaji hivyo mwenye uhitaji wa pombe ataenda kunywa asiyehitaji hatokunywa ni rahisi sana.
 
Ukinisoma vizuri nimeandika chanjo zilipokuja waliokuwa wahitaji walichanja bila kulazimishwa na wasio na uhitaji hawakuchanjwa.

Hoja zangu ziko katika suala la kuzuia kitu kwakuwa wewe hukihitaji hivyo unadhani wote hawana ulazima ndio maana nimetoa mfano wa dawa za kisukari hapo juu.
Kumbe unajua wapo waliokataa kuchanjwa na hawakupata madhara yoyote?
 
Kumbe unajua wapo waliokataa kuchanjwa na hawakupata madhara yoyote?
Hapa hoja haikuwa kutopatwa au kupatwa na madhara hoja ni kwanini uzuie chanjo wakati kuna wahitaji yaani kwa sababu wewe hutaki ndio uzuie kwa wote?
 
Majibu yako hapo huoni?

Nakuongeza mfano mwingine hapa.

Sio watanzania wote wanatumia pombe hivyo leo hii utakuwa ni uwendawazimu kuzuia mauzo na utengenezaji wa pombe maana kuna wahitaji hivyo mwenye uhitaji wa pombe ataenda kunywa asiyehitaji hatokunywa ni rahisi sana.
Kumbe Corona haukuwa ugonjwa wa kuua wote?
 
Hapa hoja haikuwa kutopatwa au kupatwa na madhara hoja ni kwanini uzuie chanjo wakati kuna wahitaji yaani kwa sababu wewe hutaki ndio uzuie kwa wote?
Sasa kama haina faida yoyote na inatumia kodi ya watanzania ina haja gani?
 
Sasa kama haina faida yoyote na inatumia kodi ya watanzania ina haja gani?
Haina faida kwa nani?

Waliochanja ni walipa kodi hiyo ni faida kwao.

Kwani Condom mnazopewa msaada na USAID wanatumia watu wote?

Watumiaji wa ARV kwa takwimu ni 1.4 M hivyo hiyo misaada ikikatwa itaathiri kundi la watu kadhaa na sio guarantee kusema tupuuze kisa kati ya 63M wanaoumwa ni 1.4 M tu.
 
Kumbe Corona haukuwa ugonjwa wa kuua wote?
Malaria inaua watu wote?

Neti za msaada walichukua watu wote ?

Ukianza kufanya inclusivity hakuna kitu cha watu wote na ndio maana kuna mgawanyo wa rasilimali kutoka eneo moja hadi lingine, gharama za uendeshaji shughuli za Dar es Salaam sio sawa na Simiyu.

Leo hii mapato ya Dar es Salaam hayawezi kulingana na Simiyu kwenu japo wote mnalipa kodi.

Gharama za maisha Simiyu na Dar es Salaam haziwezi kuwa sawa japo wote mnaishi Tanganyika.

Hata idadi ya watu Dar es Salaam sio sawa na Simiyu hivyo hata chanjo zilizopelekwa Dar es Salaam haziwezi kuwa sawa kwa idadi na Simiyu.
 
Haina faida kwa nani?

Waliochanja ni walipa kodi hiyo ni faida kwao.

Kwani Condom mnazopewa msaada na USAID wanatumia watu wote?

Watumiaji wa ARV kwa takwimu ni 1.4 M hivyo hiyo misaada ikikatwa itaathiri kundi la watu kadhaa na sio guarantee kusema tupuuze kisa kati ya 63M wanaoumwa ni 1.4 M tu.
Trump alishafuta huo msaada wa kondomu
 
Malaria inaua watu wote?

Neti za msaada walichukua watu wote ?

Ukianza kufanya inclusivity hakuna kitu cha watu wote na ndio maana kuna mgawanyo wa rasilimali kutoka eneo moja hadi lingine, gharama za uendeshaji shughuli za Dar es Salaam sio sawa na Simiyu.

Leo hii mapato ya Dar es Salaam hayawezi kulingana na Simiyu kwenu japo wote mnalipa kodi.

Gharama za maisha Simiyu na Dar es Salaam haziwezi kuwa sawa japo wote mnaishi Tanganyika.

Hata idadi ya watu Dar es Salaam sio sawa na Simiyu hivyo hata chanjo zilizopelekwa Dar es Salaam haziwezi kuwa sawa kwa idadi na Simiyu.
Lakini hatulazimishwi kufanya lockdown ya malaria
 
Lakini hatulazimishwi kufanya lockdown ya malaria
Wewe nani alikulazimisha kufanya lockdown wakati wa Covid -19?

Halafu lockdown ni kwa magonjwa ya kuambikizwa kupitia kukutana mtu na mtu , hivyo hakuna lockdown ya malaria.
 
Back
Top Bottom