Kwa Maandalizi niliyoyaona kama Kesho Refa Kayoko akifuata Sheria zote 17, Kuna Timu itafungwa vibaya na hawatoamini

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Kuna Timu moja ina Washambuliaji Watatu wanaojua Kulazimisha Penati na kwa aina ya Mabeki Watatu wabovu wa Timu nyingine huenda Kesho Penati zikatokea nyingi.

Bahati nzuri MINOCYCLINE sina Timu.
 
Kuna Timu moja ina Washambuliaji Watatu wanaojua Kulazimisha Penati na kwa aina ya Mabeki Watatu wabovu wa Timu nyingine huenda Kesho Penati zikatokea nyingi.

Bahati nzuri MINOCYCLINE sina Timu.
 
Kuna Timu moja ina Washambuliaji Watatu wanaojua Kulazimisha Penati na kwa aina ya Mabeki Watatu wabovu wa Timu nyingine huenda Kesho Penati zikatokea nyingi.

Bahati nzuri MINOCYCLINE sina Timu.
Kesho itawageukia na mpaka dakika hii wameshaishiwa nguvu tokea waumbuke na ule moto kule south
 
Nguvu Mmoja...

Tunakimbiza Mwizi kimya kimya.

Mpaka wasemaji wao wanashangaa na ukimya uliopo,wanatulazimisha tuseme..
Waje tu kesho uwanjani watakachokutana nacho hawataamini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…