M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
tena unakuta mwingine anadai na hela ya MATUMIZI kabisa. Eti dear hela ya matumiz mbona hujaacha nitumie basi kwenye M-PESA! Yaani hapo hana hata hamu ya kukuona ye anataka pesa itumwe, wewe ukafie mbele!