Kwa mademu wachunaji, mkinichukia poa tu!

Kwa mademu wachunaji, mkinichukia poa tu!

tena unakuta mwingine anadai na hela ya MATUMIZI kabisa. Eti dear hela ya matumiz mbona hujaacha nitumie basi kwenye M-PESA! Yaani hapo hana hata hamu ya kukuona ye anataka pesa itumwe, wewe ukafie mbele!
 
nakukubali sana stunter, keep it up my brother
 
Dawa ni HIT & RUN. Yaani hakikisha unatoa hela siku unaenda kupiga mzigo baada ya hapo tusijuane *****.
**inabid mtu kuwa na line ya Magumasho ya HALOTEL au ZANTEL ukimaliza kazi unatupa kule.
 
Mi sioni mbaya je mimi nimewahurumia sanaa binadamu nyie wanaume matokeo wameoa wengine je ningewachuna ningepata chakukumbukia sasa napanda daladala waleo nivizuri hata wakiuza hizo nanilii zenu ni sawa tu. Nawaunga mkono kabisaa wanawachuna wakaka wababa safii sanaa endeleeni na moyo huo huo hamjazaliwa nao yanini huruma hawana shukuranii hao kabisaa hawana nimafisi tu waliovalia ngozii ya kondooo ukiwahurumia utajuta bora uwapakue vyote ikiwezekana hadi boxer kwelii eti kanunue shamba kwanii we ni chizii hujitambui? Mpaka ukumbushwe cha kufanya hujui unataka nini maishani mwako mpaka uambiwe mwanaume ukimuhurumia anakuona fala lakini ukimpa majukumu ndio heshima ipo.
Itakuwa ulikutana na vivulana wewe, haujawahi kukutana na dume la mbegu
 
Achana na madem jibaba.Wewe piga bia na nyama choma yako kisha unaenda kulala.
Its better to be alone, than to be with someone who makes you feel alone
 
Aisee mi nilikuwa na kidemu flan amazing enzi hizo full mizinga hadi kero...mara dia nimepoteza laki 3 ya mama akijua atanifukuza home nitumie nimrudishie...mara kuna kitchen party sare laki na nusu...
 
Mimi hizi mambo nilikua nasoma humu JF tu nacheka zangu lakini juzi tu hapa kuna kabinti nimekutana nako ofisini kama mara mbili hivi, Basi nikaomba namba katika kuchat siku ya pili kakaniambia hakapo OK nikauliza kwanini? Akaniambia ni personal nikasema poa. Siku inayofuata akaniambia tena sipo OK eeeh vipi akauliza nikikwambia utanisaidia? Nikasema nikiweza ntakusaidia hata ushauri, Khaaa nikaambiwa nimechoka kukaa home nahitaji kupanga unaweza nitafutia room nikaona ohooo yale yale, Basi nikamwambia nalala kesho job nitakujibu mpaka leo nawaza kweli hata wiki bado anataka room wakati mi mwenyew na kazi yangu ila bado nakaa home, Hapana aisee.
hahaha, pole sana
 
Kwa tabia zao hizo kuolewa majaliwa,Mwanamke ana mizinga mpaka unaogopa kumpigia simu,maana ukimpigia tu basi mzinga,na hapo anakuambia "Baby si ulisema mwezi huu utaenda kujitambulisha Nyumbani",nani?,na kiukwel miaka ya sasa ni wengi wanapenda kuolewa ila ndiyo hivyo vijana wengi wamefunga dirisha la usajili wa kudumu labda wa muda,kutokana na tabia Kama hii ya mizinga,ingawa sababu zipo nyingi ila hii nayo ni miongoni mwa sababu kubwa
Kweli kabisa, wengi huwa wanajitakia wenyewe
 
Alafu mnaotoaga mada hiz ndo walaiiiini mnatafuta confidence tu muonekane vidume kumbe mnachunwa hadi mnaweka rehan atm. Shame on you.
Hahahahah... Mkuu nitakutafuta hahahha
 
Aisee mi nilikuwa na kidemu flan amazing enzi hizo full mizinga hadi kero...mara dia nimepoteza laki 3 ya mama akijua atanifukuza home nitumie nimrudishie...mara kuna kitchen party sare laki na nusu...
Labda alikuona Chimwaga
 
Dawa ni HIT & RUN. Yaani hakikisha unatoa hela siku unaenda kupiga mzigo baada ya hapo tusijuane *****.
**inabid mtu kuwa na line ya Magumasho ya HALOTEL au ZANTEL ukimaliza kazi unatupa kule.
Hahahah... Hiyo ni hatari aisee, siku mkikutana njiani sipati picha utakavyozuga ili asikuone
 
tena unakuta mwingine anadai na hela ya MATUMIZI kabisa. Eti dear hela ya matumiz mbona hujaacha nitumie basi kwenye M-PESA! Yaani hapo hana hata hamu ya kukuona ye anataka pesa itumwe, wewe ukafie mbele!
Ndomana skuizi vijana wameamua bora hela wakazitolee Lodge
 
Bado kwa hali ya sasa wataongezeka, ila kauli watabadilisha na Kuwa...
Baby naomba hata buku nikanunue unga na dagaa
Kwani wanajua kupika hadi waombe za dona na dagaa? Demu anaewaza burger za Steers na sandwich za American Garden anajua hata kuchemsha maji ya chai? Acha utani bro!
 
Back
Top Bottom