Kwa maelezo ya CDF Mabeyo, Tundu Lissu ni muongo wa kutupwa

Kwa maelezo ya CDF Mabeyo, Tundu Lissu ni muongo wa kutupwa

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Akili hauna wewe na inaonekana wewe ni Kibabu cha miaka 80+ Huna hoja na kutetea kile ulichokiandika hivi kwanini mmekuwa Watumwa wa wa fikra zenu wenyewe?

Dereva wa Lisu aje atoe ushahidi
 
Wewe ndo akili hauna. Unadhani pale CDF aliongea kila kitu..??
Kama hauoni zile withdraw gesture akiwa anazungumza, basi hata akili za kusema Lissu ni muongo haukupaswa kuwa nazo.

Kwa hiyo na Nairobi nao wametunza siri?

Nyumbu mkubwa wewe
 
Kwanza kabisa Tundu Lissu anashangaa watanzania kufurahia madhila aliyopitia ikiwemo kupigwa risasi wakati na yeye alikuwa anafurahia madhila iliyokuwa inapitia nchi ikiwemo kukamatwa kwa ndege na alikuwa anamtukana rais waziwazi kabisa.

Pili Tundu Lisu alitangaza Hayati Magufuli amesafirishwa kwenda kutibiwa Nairobi na baadae kwenda nje ya nchi wakati kwenye maelezo ya CDF mstaafu Mabeyo hakikutokea kitu kama hicho na Magufuli hakusafirishwa popote na alifia hospitali ya Mzena iliyokuwa inalindwa na vyombo vyote vya ulinzi na usalama.

Kwa uongo wake huu Tundu Lisu anaamika na nani tena?
We mwenyewe muongo kuliko. Maana umemwamini moja Kwa chuki zako hujamwamini ilhali Kati ya hao haujui mkweli ni nani maana wote wanasiasa na wanalinda maslahi ya nchi. We unaona Nan mkweli? Aliyesema Mzee baba ni mzima ulitaka aende sokoni umuone ndo useme? Huyo c ulimwamini?
 
Kwanza kabisa Tundu Lissu anashangaa watanzania kufurahia madhila aliyopitia ikiwemo kupigwa risasi wakati na yeye alikuwa anafurahia madhila iliyokuwa inapitia nchi ikiwemo kukamatwa kwa ndege na alikuwa anamtukana rais waziwazi kabisa.

Pili Tundu Lisu alitangaza Hayati Magufuli amesafirishwa kwenda kutibiwa Nairobi na baadae kwenda nje ya nchi wakati kwenye maelezo ya CDF mstaafu Mabeyo hakikutokea kitu kama hicho na Magufuli hakusafirishwa popote na alifia hospitali ya Mzena iliyokuwa inalindwa na vyombo vyote vya ulinzi na usalama.

Kwa uongo wake huu Tundu Lisu anaamika na nani tena?
Buku saba akili zao bana
 
Kwanza kabisa Tundu Lissu anashangaa watanzania kufurahia madhila aliyopitia ikiwemo kupigwa risasi wakati na yeye alikuwa anafurahia madhila iliyokuwa inapitia nchi ikiwemo kukamatwa kwa ndege na alikuwa anamtukana rais waziwazi kabisa.

Pili Tundu Lisu alitangaza Hayati Magufuli amesafirishwa kwenda kutibiwa Nairobi na baadae kwenda nje ya nchi wakati kwenye maelezo ya CDF mstaafu Mabeyo hakikutokea kitu kama hicho na Magufuli hakusafirishwa popote na alifia hospitali ya Mzena iliyokuwa inalindwa na vyombo vyote vya ulinzi na usalama.

Kwa uongo wake huu Tundu Lisu anaamika na nani tena?
Kitu gani kunakufanya uamini Mabeyo sie anaesema uwongo na Tundu Lissu ndie anasema kweli? Tuanzie hapo kwanza. Kumbuka, Mabeyo katika suala la Magufuli amekuwa na namna ya kujipigia debe kama vile alizuia mapinduzi. Unaamini anayosema? Na usisahau Mabeyo alichaguliwa na Magufuli kuwa CDF si kwa sifa zake za kuwa kikazi.
 
Ulitegemea CDF aeleze kiiilakitu?? Refresh ubongo wako masta
Yaani mtoa mada anafikiri Mabeyo kazungumza kilichopo ....
Mabeyo hawezi kwenda nje ya mstari ...
Kilichosema na hali ilivyokuwa ndani ni tofauti ... Zaidi ya hapo ni siri kuu kwa kilichomtokea Alwatan Jiwe ..

Na hata hiyo tarehe iliyotajwa kuondoka siyo yenyewe ...aliondoka muda sana
 
Yaani mtoa mada anafikiri Mabeyo kazungumza kilichopo ....
Mabeyo hawezi kwenda nje ya mstari ...
Kilichosema na hali ilivyokuwa ndani ni tofauti ... Zaidi ya hapo ni siri kuu kwa kilichomtokea Alwatan Jiwe ..

Na hata hiyo tarehe iliyotajwa kuondoka siyo yenyewe ...aliondoka muda sana

Kwa na kupigwa risasi Lisu mengi hayajasemwa?
 
Back
Top Bottom