Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hiyo kauli anaipenda sana.Aifanyie lamination na kuitundika sebuleni kwao.šIkawaje, yule profesa aliyekua anajiuma uma kingereza mahakaman SA ilikua ni kesi ya nini ile?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo kauli anaipenda sana.Aifanyie lamination na kuitundika sebuleni kwao.šIkawaje, yule profesa aliyekua anajiuma uma kingereza mahakaman SA ilikua ni kesi ya nini ile?
CDF ameamua kukitetea chama chake. Ila akumbuke uswazi hatupokei amri za kijeshi.Kwanza kabisa Tundu Lisu anashangaa watanzania kufurahia madhila aliyopitia ikiwemo kupigwa risasi wakati na yeye alikuwa anafurahia madhila iliyokuwa inapitia nchi ikiwemo kukamatwa kwa ndege na alikuwa anamtukana rais waziwazi kabisa.
Pili Tundu Lisu alitangaza Hayati Magufuli amesafirishwa kwenda kutibiwa Nairobi na baadae kwenda nje ya nchi wakati kwenye maelezo ya CDF mstaafu Mabeyo hakikutokea kitu kama hicho na Magufuli hakusafirishwa popote na alifia hospitali ya Mzena iliyokuwa inalindwa na vyombo vyote vya ulinzi na usalama.
Kwa uongo wake huu Tundu Lisu anaamika na nani tena?
Hata nduguzo si wote wanakuamini.Na ww unadhani kila mtu anamuamini huyo Lissu?
Anatafuta nini kwenye uwanja huu wa siasa? Kama vipi avue magwanda tumpambe maua yake.Kuna vitu Mabeyo hawezi kusema in details....
Hakuna hoja hapo...Jikite kwenye hoja
Kwani Mabeyo hawezi kudanganya? hata kama ni kwa sababu za kiusalama?. Kwani alikuonesha picha au video ya Huyo Mtu akiwa Mzena Hadi uamini sana upande wake?
Na mbona Waziri Mkuu alitoa Taarifa kuwa yupo Ofisini? Muongo ni nani kwa upande huo?
CDF wa nchi gani?Zingatia tenses darasa la pili Chee!Mabeyo
Una ujinga mwingi sana hata hao wanaokulipa ni wajinga bora hizo fedha wangezipeleka kwa watoto yatima.Kwanza kabisa Tundu Lisu anashangaa watanzania kufurahia madhila aliyopitia ikiwemo kupigwa risasi wakati na yeye alikuwa anafurahia madhila iliyokuwa inapitia nchi ikiwemo kukamatwa kwa ndege na alikuwa anamtukana rais waziwazi kabisa.
Pili Tundu Lisu alitangaza Hayati Magufuli amesafirishwa kwenda kutibiwa Nairobi na baadae kwenda nje ya nchi wakati kwenye maelezo ya CDF mstaafu Mabeyo hakikutokea kitu kama hicho na Magufuli hakusafirishwa popote na alifia hospitali ya Mzena iliyokuwa inalindwa na vyombo vyote vya ulinzi na usalama.
Kwa uongo wake huu Tundu Lisu anaamika na nani tena?
Na wewe ukawa umetumwa ukaziharibu kamera za ile nyumba alipopigwa risasi!Lisu muda huo alikuwa kwenye geto la Amsterdam Ubelgiji
Wewe hukubisha?Mabeyo alibisha?
Kwani Lisu alimsaliti nani?.Siyo iliyotumiwa na msaliti Lisu?
Magufuli alishakufa na Mabeyo alishataafu, weka hoja za watu wanao trend sasa hivi. Alafu elewa kwamba mteule wa raisi Nyekundu anaweza akakuambia ni njano na wewe ukaamini.Kwanza kabisa Tundu Lisu anashangaa watanzania kufurahia madhila aliyopitia ikiwemo kupigwa risasi wakati na yeye alikuwa anafurahia madhila iliyokuwa inapitia nchi ikiwemo kukamatwa kwa ndege na alikuwa anamtukana rais waziwazi kabisa.
Pili Tundu Lisu alitangaza Hayati Magufuli amesafirishwa kwenda kutibiwa Nairobi na baadae kwenda nje ya nchi wakati kwenye maelezo ya CDF mstaafu Mabeyo hakikutokea kitu kama hicho na Magufuli hakusafirishwa popote na alifia hospitali ya Mzena iliyokuwa inalindwa na vyombo vyote vya ulinzi na usalama.
Kwa uongo wake huu Tundu Lisu anaamika na nani tena?
Mimi niko peponiAlafu wewe utakuwa wapi
Hata hujui kama tulishitakiwa kweli na kulipa mabilioni,kesi nyingine bado ziko mahakamani na makinikia yao walishachukua sijui unaishi kaburini chato hata hujui kinachoendelea. Unajiabisha sana kwa kutoa rejea ya miga kila siku.Tutashitakiwa MIGA
Hakusemea akiwa jF....amevua gwanda yupo mstaafu sasa...tumuachebĆ pumzkAnatafuta nini kwenye uwanja huu wa siasa? Kama vipi avue magwanda tumpambe maua yake.