Kwa maelezo ya CDF Mabeyo, Tundu Lissu ni muongo wa kutupwa

Kwa maelezo ya CDF Mabeyo, Tundu Lissu ni muongo wa kutupwa

Kwanza kabisa Tundu Lisu anashangaa watanzania kufurahia madhila aliyopitia ikiwemo kupigwa risasi wakati na yeye alikuwa anafurahia madhila iliyokuwa inapitia nchi ikiwemo kukamatwa kwa ndege na alikuwa anamtukana rais waziwazi kabisa.

Pili Tundu Lisu alitangaza Hayati Magufuli amesafirishwa kwenda kutibiwa Nairobi na baadae kwenda nje ya nchi wakati kwenye maelezo ya CDF mstaafu Mabeyo hakikutokea kitu kama hicho na Magufuli hakusafirishwa popote na alifia hospitali ya Mzena iliyokuwa inalindwa na vyombo vyote vya ulinzi na usalama.

Kwa uongo wake huu Tundu Lisu anaamika na nani tena?
CDF ameamua kukitetea chama chake. Ila akumbuke uswazi hatupokei amri za kijeshi.
 
Kama makamu wa rais alifichwa ndiyo utaambiwa ukweli wewe! Mijitu mingine haijielewi kweli.
 
Kwani Mabeyo hawezi kudanganya? hata kama ni kwa sababu za kiusalama?. Kwani alikuonesha picha au video ya Huyo Mtu akiwa Mzena Hadi uamini sana upande wake?

Na mbona Waziri Mkuu alitoa Taarifa kuwa yupo Ofisini? Muongo ni nani kwa upande huo?

Muongo ni Lisu maana alikuwa getoni kwake Ubelgiji
 
Kwanza kabisa Tundu Lisu anashangaa watanzania kufurahia madhila aliyopitia ikiwemo kupigwa risasi wakati na yeye alikuwa anafurahia madhila iliyokuwa inapitia nchi ikiwemo kukamatwa kwa ndege na alikuwa anamtukana rais waziwazi kabisa.

Pili Tundu Lisu alitangaza Hayati Magufuli amesafirishwa kwenda kutibiwa Nairobi na baadae kwenda nje ya nchi wakati kwenye maelezo ya CDF mstaafu Mabeyo hakikutokea kitu kama hicho na Magufuli hakusafirishwa popote na alifia hospitali ya Mzena iliyokuwa inalindwa na vyombo vyote vya ulinzi na usalama.

Kwa uongo wake huu Tundu Lisu anaamika na nani tena?
Una ujinga mwingi sana hata hao wanaokulipa ni wajinga bora hizo fedha wangezipeleka kwa watoto yatima.
 
Una ujinga mwingi sana hata hao wanaokulipa ni wajinga bora hizo fedha wangezipeleka kwa watoto yatima.

Lakini wewe ni mjinga zaidi ndiyo maana hujikiti kwenye mada
 
Kwanza kabisa Tundu Lisu anashangaa watanzania kufurahia madhila aliyopitia ikiwemo kupigwa risasi wakati na yeye alikuwa anafurahia madhila iliyokuwa inapitia nchi ikiwemo kukamatwa kwa ndege na alikuwa anamtukana rais waziwazi kabisa.

Pili Tundu Lisu alitangaza Hayati Magufuli amesafirishwa kwenda kutibiwa Nairobi na baadae kwenda nje ya nchi wakati kwenye maelezo ya CDF mstaafu Mabeyo hakikutokea kitu kama hicho na Magufuli hakusafirishwa popote na alifia hospitali ya Mzena iliyokuwa inalindwa na vyombo vyote vya ulinzi na usalama.

Kwa uongo wake huu Tundu Lisu anaamika na nani tena?
Magufuli alishakufa na Mabeyo alishataafu, weka hoja za watu wanao trend sasa hivi. Alafu elewa kwamba mteule wa raisi Nyekundu anaweza akakuambia ni njano na wewe ukaamini.
 
Tutashitakiwa MIGA
Hata hujui kama tulishitakiwa kweli na kulipa mabilioni,kesi nyingine bado ziko mahakamani na makinikia yao walishachukua sijui unaishi kaburini chato hata hujui kinachoendelea. Unajiabisha sana kwa kutoa rejea ya miga kila siku.
 
Back
Top Bottom