Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitaka kuanza kuulizana haya maswali wewe na hao kina Mabeyo ndo mtageuka waongo wa kutupwa! Nyie si mlikuwa mnabisha hata kama anaumwa mkasema yupo ofisini anapiga kazi hawezi kwenda magomeni.
Hata ishu ya kuumwa aliianzisha Lissu na mkabisha asilimia elfu
🤣 🤣 🤣
Kwani Mabeyo hawezi kudanganya? hata kama ni kwa sababu za kiusalama?. Kwani alikuonesha picha au video ya Huyo Mtu akiwa Mzena Hadi uamini sana upande wake?Kwanza kabisa Tundu Lisu anashangaa watanzania kufurahia madhila aliyopitia ikiwemo kupigwa risasi wakati na yeye alikuwa anafurahia madhila iliyokuwa inapitia nchi ikiwemo kukamatwa kwa ndege na alikuwa anamtukana rais waziwazi kabisa.
Pili Tundu Lisu alitangaza Hayati Magufuli amesafirishwa kwenda kutibiwa Nairobi na baadae kwenda nje ya nchi wakati kwenye maelezo ya CDF mstaafu Mabeyo hakikutokea kitu kama hicho na Magufuli hakusafirishwa popote na alifia hospitali ya Mzena iliyokuwa inalindwa na vyombo vyote vya ulinzi na usalama.
Kwa uongo wake huu Tundu Lisu anaamika na nani tena?
Alitaka aelezwe jinsi "mzarendo" aliyependa vya nyumbani na kukataa kusafiri nje ya nchi alivyosafirishwa kwa matibabu.Ulitaka Mabeyo akueleze nini zaidi ya alichoeleza?
Tatizo nyie uvccm hamuelewi kuwa kuna Wapinzani ambao ni CCM kuliko nyie ndio Sababu wakirudi tu hupokelewa na Vyeo 😀😀
🙄🙄Ubongo wako umechanganyika na haja kubwa wewe hata hujui unaandika nini. Tunachoshukuru tu watanzania ni kuwa Lissu yuko hai na dhalim Magufuli yuko motoni.
🤔🤔🤔Kwani Mabeyo hawezi kudanganya? hata kama ni kwa sababu za kiusalama?. Kwani alikuonesha picha au video ya Huyo Mtu akiwa Mzena Hadi uamini sana upande wake?
Na mbona Waziri Mkuu alitoa Taarifa kuwa yupo Ofisini? Muongo ni nani kwa upande huo?
CDF yupi?CDF hawezi kusema uongo
Nairobi wanapelekwa Chadema 😀Alitaka aelezwe jinsi "mzarendo" aliyependa vya nyumbani na kukataa kusafiri nje ya nchi alivyosafirishwa kwa matibabu.
Na tukapata Noahs zetu bure!Tutashitakiwa MIGA
🤣 🤣 🤣Na tukapata Noahs zetu bure!
Hakuna uongo kwani hakufariki Rais Wa Tanzania?Kwanza kabisa Tundu Lisu anashangaa watanzania kufurahia madhila aliyopitia ikiwemo kupigwa risasi wakati na yeye alikuwa anafurahia madhila iliyokuwa inapitia nchi ikiwemo kukamatwa kwa ndege na alikuwa anamtukana rais waziwazi kabisa.
Pili Tundu Lisu alitangaza Hayati Magufuli amesafirishwa kwenda kutibiwa Nairobi na baadae kwenda nje ya nchi wakati kwenye maelezo ya CDF mstaafu Mabeyo hakikutokea kitu kama hicho na Magufuli hakusafirishwa popote na alifia hospitali ya Mzena iliyokuwa inalindwa na vyombo vyote vya ulinzi na usalama.
Kwa uongo wake huu Tundu Lisu anaamika na nani tena?
Hahaaa.....etwege bwana na akili zake anazijua mwenyeweNa tukapata Noahs zetu bure!
Etwege ni matege mwili mzima.😂Hahaaa.....etwege bwana na akili zake anazijua mwenyewe
HahahaEtwege ni matege mwili mzima.😂
Ikawaje, yule profesa aliyekua anajiuma uma kingereza mahakaman SA ilikua ni kesi ya nini ile?Tutashitakiwa MIGA