residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Kwa sentesi hii,umethibitisha kuwa wewe ni ama kilaza wa kutupwa, baba wa uongo au vyote viwili.Ukiibiwa kura unaenda mahakamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sentesi hii,umethibitisha kuwa wewe ni ama kilaza wa kutupwa, baba wa uongo au vyote viwili.Ukiibiwa kura unaenda mahakamani
Hata hujui kama tulishitakiwa kweli na kulipa mabilioni,kesi nyingine bado ziko mahakamani na makinikia yao walishachukua sijui unaishi kaburini chato hata hujui kinachoendelea. Unajiabisha sana kwa kutoa rejea ya miga kila siku.
Mabeyo bado ni CDF?Muongo wewe
Kama hata hujui wewe unangoja nini humu jukwaani,nenda kamalizie wanzuki yako ulale tu.Lete ushahidi wa hizo kesi tulizoshitakiwa au sivyo we ni nyumbu tu
Danganya kwa namna nyingine hatushawishiki na hizo propaganda uchwaraKwanza kabisa Tundu Lisu anashangaa watanzania kufurahia madhila aliyopitia ikiwemo kupigwa risasi wakati na yeye alikuwa anafurahia madhila iliyokuwa inapitia nchi ikiwemo kukamatwa kwa ndege na alikuwa anamtukana rais waziwazi kabisa.
Pili Tundu Lisu alitangaza Hayati Magufuli amesafirishwa kwenda kutibiwa Nairobi na baadae kwenda nje ya nchi wakati kwenye maelezo ya CDF mstaafu Mabeyo hakikutokea kitu kama hicho na Magufuli hakusafirishwa popote na alifia hospitali ya Mzena iliyokuwa inalindwa na vyombo vyote vya ulinzi na usalama.
Kwa uongo wake huu Tundu Lisu anaamika na nani tena?
Shahidi namba moja ambaye ni dereva wa Lisu amefichwa UbelgijiWewe mpuuzi dawa ya deni ni kulipa yule mzungu aliwashinda mahakamani deni lilikuwepo kitambo kitendo cha serikali kujikausha kama hakuna deni huku inadaiwa ndio uzuzu huo.
Magufuli alilazwa Nairobi kama ulikuwa hufahamu uliza na CDF alizungumza machache tu kati ya mengi kwani aliwataja kwa majina waliokuwa wanazuia Samia asiwe rais , jibu ni hapana basi jua yalikuwepo mengi sana katika nyakati za mwishi za kifo cha Magufuli .
Lissu ameshambuliwa lakini hadi leo hakuna mtu mmoja aliyetuhumiwa wala polisi haijaendesha uchunguzi juu ya shambulio lile tena katika eneo lenye ulinzi saa 24!
Nyinyi wasukuma wachache ndio mnaibisha jamii nzima na wasukuma wanaonekana washamba kisa yule mhutu aliyejipachika usukuma fake.
Huyo CDF wako alikutajia waliotaka kupindisha Katiba Samia asiapishwe?Kwanza kabisa Tundu Lisu anashangaa watanzania kufurahia madhila aliyopitia ikiwemo kupigwa risasi wakati na yeye alikuwa anafurahia madhila iliyokuwa inapitia nchi ikiwemo kukamatwa kwa ndege na alikuwa anamtukana rais waziwazi kabisa.
Pili Tundu Lisu alitangaza Hayati Magufuli amesafirishwa kwenda kutibiwa Nairobi na baadae kwenda nje ya nchi wakati kwenye maelezo ya CDF mstaafu Mabeyo hakikutokea kitu kama hicho na Magufuli hakusafirishwa popote na alifia hospitali ya Mzena iliyokuwa inalindwa na vyombo vyote vya ulinzi na usalama.
Kwa uongo wake huu Tundu Lisu anaamika na nani tena?
Mtu amehusika katika tukio akiwa naye kashambuliwa unataka atoe ushahidi gani??Shahidi namba moja ambaye ni dereva wa Lisu amefichwa Ubelgiji
Lisu mwenyewe anashangaa watu kushangilia kupigwa kwake risasi
Lisu mwenyewe anashangaa watu kushangilia kupigwa kwake risasi
😂 😂 😂 😂Shahidi namba moja ambaye ni dereva wa Lisu amefichwa Ubelgiji
Huna hoja wewe na uelewa wako wa mambo ni finyuTutashitakiwa MIGA tukidai haki zetu kwenye madini
Wewe ndo akili hauna. Unadhani pale CDF aliongea kila kitu..??Kwanza kabisa Tundu Lissu anashangaa watanzania kufurahia madhila aliyopitia ikiwemo kupigwa risasi wakati na yeye alikuwa anafurahia madhila iliyokuwa inapitia nchi ikiwemo kukamatwa kwa ndege na alikuwa anamtukana rais waziwazi kabisa.
Pili Tundu Lisu alitangaza Hayati Magufuli amesafirishwa kwenda kutibiwa Nairobi na baadae kwenda nje ya nchi wakati kwenye maelezo ya CDF mstaafu Mabeyo hakikutokea kitu kama hicho na Magufuli hakusafirishwa popote na alifia hospitali ya Mzena iliyokuwa inalindwa na vyombo vyote vya ulinzi na usalama.
Kwa uongo wake huu Tundu Lisu anaamika na nani tena?