Kwa Maelezo ya Tundu Lissu dhidi ya ' Makahaba wa Kisiasa ' ni dhahiri shahiri kuwa ' Wameshalaanika ' vibaya mpaka kwa Mwenyezi Mungu

Kwa Maelezo ya Tundu Lissu dhidi ya ' Makahaba wa Kisiasa ' ni dhahiri shahiri kuwa ' Wameshalaanika ' vibaya mpaka kwa Mwenyezi Mungu

Mzukulu

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2020
Posts
1,401
Reaction score
2,641
Kama kuna Siku ambayo nimeyasoma Maelezo ya Tundu Lissu kwa umakini wake kabisa huku nikiwa nimetulia kabisa mpaka Mzukulu nikajikuta nashindwa Kujizuia kwa Uchungu na kujikuta natokwa na Machozi basi ni haya aliyoyatoa leo kwa wale ' Makahaba wa Kisiasa ' wanaoihama CHADEMA.

Na kama kuna Mbunge wa CHADEMA ambaye si tu kwamba CHADEMA ilimhangaikia na Viongozi wake Waandamizi wengi kupoteza muda wao Kwake ili Kumuokoa na kwamba sasa ameshajizolea Laana za Wapenda haki na Demokrasia na za Mwenyezi Mungu ni Bwana Peter Lijuakali.

Nilichokiona tu kupitia Maelezo ya Tundu Lissu hasa kwa hawa Wabunge wa CHADEMA wanaohamia CCM ( Makahaba wa Kisiasa ) ni kwamba kwa sasa wanaweza Kufurahia huo Usaliti wao ila nina uhakika 99% yao Laana Kali ya wana Demokrasia na ya Mwenyezi Mungu itawatesa hadi Umauti.


Ushauri wangu Kwao kama wakiweza basi Kisirisiri waende Kuwaangukia Viongozi na wana CHADEMA ili wasalimike hasa.
 
Umetokwa machozi?
Inaonekana machozi yako hayana kazi ya kufanya.
 
Hata Mwalimu aliwalaani kwa kuwaita malayaa malayaaa
 
chadema wakamwangukie dr slaa wamuombe msamaa. labda wanaweza simama tena bila hivyo.hawatakaa wasimame tena.
laana ya dr slaa inawamaliza chadema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lissu anaona km dunia imemtenga waliokuwa wanakaa nao kudanganyana alidhani wapo wamoja

Hapo analakujifunza anaweza kuwa anapanga na kina Mbowe mambo kumbe Mbowe anatumikia mamlaka nyingine

Kuna mtu aliwahi kusema lissu ana akili za darasani tu
 
Kama kuna Siku ambayo nimeyasoma Maelezo ya Tundu Lissu kwa umakini wake kabisa huku nikiwa nimetulia kabisa mpaka Mzukulu nikajikuta nashindwa Kujizuia kwa Uchungu na kujikuta natokwa na Machozi basi ni haya aliyoyatoa leo kwa wale ' Makahaba wa Kisiasa ' wanaoihama CHADEMA.

Na kama kuna Mbunge wa CHADEMA ambaye si tu kwamba CHADEMA ilimhangaikia na Viongozi wake Waandamizi wengi kupoteza muda wao Kwake ili Kumuokoa na kwamba sasa ameshajizolea Laana za Wapenda haki na Demokrasia na za Mwenyezi Mungu ni Bwana Peter Lijuakali.

Nilichokiona tu kupitia Maelezo ya Tundu Lissu hasa kwa hawa Wabunge wa CHADEMA wanaohamia CCM ( Makahaba wa Kisiasa ) ni kwamba kwa sasa wanaweza Kufurahia huo Usaliti wao ila nina uhakika 99% yao Laana Kali ya wana Demokrasia na ya Mwenyezi Mungu itawatesa hadi Umauti.


Ushauri wangu Kwao kama wakiweza basi Kisirisiri waende Kuwaangukia Viongozi na wana CHADEMA ili wasalimike hasa.
Mkuu wala usisikitike juu ya Tundu zlissu.
Hajawahi kuwa kiongozi mzuri wa kuaminika kisiasa au hata kupokea changamoto kama mtu aliyekua kifikra.
Mtaji wake mkuu uliompatia janga la kutundikwa risasi ni matusi.

Mdomo wa Lissu siku zote una ukakasi si wa kujenga bali wa kubomoa.
Huwa hajui kuwa wanawake huwa wanaobomoa nyumba zao kwa midomo yao, kama anavyofanya Lissu.
 
Hivi kwenye mambo yenu ya kijinga hamuwezi kuongea bila kumtaja Mwenyezi Mungu?? Muwe na adabu kidogo. Ongea siasa hiv hivi tutakuelewa. Kwani Mungu aliwahi shuka au kutuma malaika halafu akasema chama chemu ndio alichokituma? Au mshawaweka viongozi wenu kuwa manabii wa kizazi chetu? Tuache kumshirikisha mungu kwenye mambo yetu ya ajabu ajabu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kuna Siku ambayo nimeyasoma Maelezo ya Tundu Lissu kwa umakini wake kabisa huku nikiwa nimetulia kabisa mpaka Mzukulu nikajikuta nashindwa Kujizuia kwa Uchungu na kujikuta natokwa na Machozi basi ni haya aliyoyatoa leo kwa wale ' Makahaba wa Kisiasa ' wanaoihama CHADEMA.

Na kama kuna Mbunge wa CHADEMA ambaye si tu kwamba CHADEMA ilimhangaikia na Viongozi wake Waandamizi wengi kupoteza muda wao Kwake ili Kumuokoa na kwamba sasa ameshajizolea Laana za Wapenda haki na Demokrasia na za Mwenyezi Mungu ni Bwana Peter Lijuakali.

Nilichokiona tu kupitia Maelezo ya Tundu Lissu hasa kwa hawa Wabunge wa CHADEMA wanaohamia CCM ( Makahaba wa Kisiasa ) ni kwamba kwa sasa wanaweza Kufurahia huo Usaliti wao ila nina uhakika 99% yao Laana Kali ya wana Demokrasia na ya Mwenyezi Mungu itawatesa hadi Umauti.


Ushauri wangu Kwao kama wakiweza basi Kisirisiri waende Kuwaangukia Viongozi na wana CHADEMA ili wasalimike hasa.
Tunawatakia kila la heri
 
Back
Top Bottom